Wakaka wa JF...

Tatizo haliko kwetu,tunapenda sana kuwatumia PM na hata kuwasemesha,ila tunachohofia ni ukali wenu,mkituahidi kupunguza ukali basi mambo yatakuwa mswano na nitaanza na wewe.

Mkuu hiyo kitu ni normal sana usiwe unaogopa hiyo ,maama wengine ni wastaarabu sana
 
Mimi AVATAR ya Rose1980, ndio ina nikwaza, Ahsante Pauline, Naona 2011 watu wapendane zaidi. Rose naomba niku PM, ama vipi??????
 
Hahahaaa mwe pauline umepatwa na nini mpenz? Unapenda kusemeshwa na jinsia me hawa wakishikwa na hamu hata mwendawazimu barabarani wanamuona ni miss tz akishamaliza haja yake ndio anagundua ala kumbe nimelala na mwendawazimu? So be careful my sis ingawa na mimi naanza kuhis waweza kuwa ni he wewe mwe
 
Hahahaaa mwe pauline umepatwa na nini mpenz? Unapenda kusemeshwa na jinsia me hawa wakishikwa na hamu hata mwendawazimu barabarani wanamuona ni miss tz akishamaliza haja yake ndio anagundua ala kumbe nimelala na mwendawazimu? So be careful my sis ingawa na mimi naanza kuhis waweza kuwa ni he wewe mwe

Hao wanaume unaowazungumzia na babu ndani yake.
 
Hao wanaume unaowazungumzia na babu ndani yake.

mh! Babu mbona swali gumu? Kwa uelewa wangu mdogo most of them wanaongozwa na hamu na tamaa hasa hamu ikiwashika wanaweza fanya lolote na kujilaumu baadae
 
Pauline hapo shuzi limepata mjambaji tks noted ukipata pm uwe shapu kujibu pia
 
Pole mkuu kama yalikutokea hayo
Mimi yalinikuta ya kutolewa balu na Mbwa wa kwao. kwani ilibidi mi nifuate mtoto kwao.
Mh....!! Kujiamini? Kujiamini kulikwisha siku nimefunga safari kwenda kutongoza kufika huko nikatolewa mbio na mawe.
 
Tutumieni PM...jamani....

yaani hamna kitu mwanamke anafurahi kama kusemeshwa na mwanaume njiani!...ndio maana tunavaa vizuri,vimini nk hii yote ni kuhakikisha tunakuwa 'NOTICED' na wakaka!!

Kwa kweli mkaka akikusemesha unajihisi sexy,wanted and complete kama mwanamke!...inatuongezea makonfidensi hadi rahaa!...

For the same reasons hapa JF tunatafuta avatar nzuuuri...kupata attention yenu!angalia avatar nyingi za wanawake ni zile za kuvutia!!
.....kumwambia mtu tu kny forum, avatar yake ni nzuri ,inatosha kumfanya ajihisi furaha ya kuwa amekuwa noticed ila ingependeza kama ungemtumia PM!!!!...this shows umekuwa really impressed,,,na hivyo kumfanya huyo dada ajihisi spesho zaidi...lols!

Kwa hio wakaka tutumieni PM please...najua mtaniuliza kwa nini tusianze sie kutuma lakini huu si utamaduni wa mwafrica!...ni shurti mwanaume akuanze atiii...kwanza tuna haya za kike....!LOLS

wadada ole wenu mniruke hapa kuwa hamtaki PM...hahaahahahaah

*note-sio lazima kila PM ilead mahusiano!!!

:rofl::rofl::target:
Asante kwa kunyonyoa kuku manyoya....kwani lazima utamla......!!
 
Tutumieni PM...jamani....

yaani hamna kitu mwanamke anafurahi kama kusemeshwa na mwanaume njiani!...ndio maana tunavaa vizuri,vimini nk hii yote ni kuhakikisha tunakuwa 'NOTICED' na wakaka!!

Kwa kweli mkaka akikusemesha unajihisi sexy,wanted and complete kama mwanamke!...inatuongezea makonfidensi hadi rahaa!...

For the same reasons hapa JF tunatafuta avatar nzuuuri...kupata attention yenu!angalia avatar nyingi za wanawake ni zile za kuvutia!!
.....kumwambia mtu tu kny forum, avatar yake ni nzuri ,inatosha kumfanya ajihisi furaha ya kuwa amekuwa noticed ila ingependeza kama ungemtumia PM!!!!...this shows umekuwa really impressed,,,na hivyo kumfanya huyo dada ajihisi spesho zaidi...lols!

Kwa hio wakaka tutumieni PM please...najua mtaniuliza kwa nini tusianze sie kutuma lakini huu si utamaduni wa mwafrica!...ni shurti mwanaume akuanze atiii...kwanza tuna haya za kike....!LOLS

wadada ole wenu mniruke hapa kuwa hamtaki PM...hahaahahahaah

*note-sio lazima kila PM ilead mahusiano!!!

:rofl::rofl::target:
Staili mupya ya kutanga NIA au...?
 
Tutumieni PM...jamani....

yaani hamna kitu mwanamke anafurahi kama kusemeshwa na mwanaume njiani!...ndio maana tunavaa vizuri,vimini nk hii yote ni kuhakikisha tunakuwa 'NOTICED' na wakaka!!

Kwa kweli mkaka akikusemesha unajihisi sexy,wanted and complete kama mwanamke!...inatuongezea makonfidensi hadi rahaa!...

For the same reasons hapa JF tunatafuta avatar nzuuuri...kupata attention yenu!angalia avatar nyingi za wanawake ni zile za kuvutia!!
.....kumwambia mtu tu kny forum, avatar yake ni nzuri ,inatosha kumfanya ajihisi furaha ya kuwa amekuwa noticed ila ingependeza kama ungemtumia PM!!!!...this shows umekuwa really impressed,,,na hivyo kumfanya huyo dada ajihisi spesho zaidi...lols!

Kwa hio wakaka tutumieni PM please...najua mtaniuliza kwa nini tusianze sie kutuma lakini huu si utamaduni wa mwafrica!...ni shurti mwanaume akuanze atiii...kwanza tuna haya za kike....!LOLS

wadada ole wenu mniruke hapa kuwa hamtaki PM...hahaahahahaah

*note-sio lazima kila PM ilead mahusiano!!!

:rofl::rofl::target:
LETS TURN THE TABLE...CAN U PM ME SWEET LADY....:pray2:
 
wadada wengine wame-block pm zao, hlf wengine ukiwatumia text humu jf or fb, insta etc hawajibu kabisa...mm nahic mnataka atttention ya wanaume ili mkuze ego zenu mxeeew pauline
 
Hii kitu ya zamani toka jk akiwa madarakani bora izo siku zirudi tu maana huyu sizonje anafungulia bomba vibaya
Ila sijachelewa ntakufata uko uko pm
 
Back
Top Bottom