Wakaka: Ukiona nyani mjini ujue kaletwa

Hahahahhhhhh!! Ukiona nyani town town ujue ana mwenyewe au kaletwa,msemo wenye maana pana sana,ila ungeendelea kugegeda tu as far haikucost sana,
haya katafute ngedere waliojileta town wenyewe uone,utamkumbuka huyo dada.
 
Vijana wengi wakigundua mwanamke anajiweza na yupo na mtu anamfinance hugeuza mapenzi hayo kuwa fursa ya ajira yaani atafanya kila wawako faragha kuakikisha jimama achomoki ..na baada ya mda sound zinakuja kama mvua...
Mkuu hiyo mdada anauwezo,anakuja.ameevaa heleni,mkufu wa shingoni,saa ya mkononi,bracelet,cheni ya kiunoni vyote pure Gold toka Muscat,sio uhindini kule karibu na crock tower kwa chini! ana gali lake zuri.vijana wapenda mtelemko wasingemweza kwakuwa anapenda mwanaume anayejitegemea hiyo ndio sifa yake.japo hali hela yako ya kumhonga.zaidi ya matumizi yenu. kasafiri nchi nyingi yuko exposed na maisha mazuri na taste ya watu awatakao!
 
Ngoja mm nikatafute ngedere aliyejileta mwenyewe mjini
 
Hahahahhhhhh!! Ukiona nyani town town ujue ana mwenyewe au kaletwa,msemo wenye maana pana sana,ila ungeendelea kugegeda tu as far haikucost sana,
haya katafute ngedere waliojileta town wenyewe uone,utamkumbuka huyo dada.
Hawa wanapiga hela tu mkuu! ukimuaga bila kumshika mkono anaganda hapohapo kama amepigwa shot ya radi.
 
Huu msemo nimeuelewa lakini una maana zaidi ya hiyo nahisi kutumiwa neno "nyani" kama negativity
 
mkuu fahari wawili hawakai.zizimoja.asilani.siwezi kula sahani moja na mwanaume mwenzangu.

Sasa mkuu, unadhani kuna mwanamke yuko single hapa duniani? Asilani, wengi ni vidushe vinapishana tuu. Cha kushukuru ni kuwa haviachi alama. Vingekuwa kila mwanaume akiingiza dushe linaacha alama, kitu kinafanya tallying ungekuta wewe ni wa 2,500
 
Back
Top Bottom