Wakae pembeni kupisha uchunguzi

Waridi

JF-Expert Member
Mar 30, 2008
1,025
172
Kufuatia kitendo cha kikatili cha kumteka, kumpiga na kumjeruhi vibaya sana Dr. Ulimboka, katika mazingira ya yeye na madaktari wenzake kudai haki, wafuatao wakae pembeni kupisha uchunguzi;
1. Waziri wa Afya (kwa kuwa ana dhamana ya wizara husika)
2. Afisa wa Ikulu, David (kufuatia tuhuma za kumpigia simu mwathirika)
3. Mkuu wa usalama wa Taifa (shuku ya umma kwamba idara anayoiongoza huenda inahusika)
4. ...
5. ...

Wabunge wetu komaeni na hili.
Tena itafaa kama uchunguzi utaendesha na vyombo vya kimataifa, maana hivi vya ndani huenda ndio hao hao wahusika.
 
Back
Top Bottom