Bila shaka madreva wa Iringa na wengine mliowahi kupita tu mjini hapa mtakubaliana na mimi kuwa watembea kwa miguu tunavitumia vibaya vivuko vyetu, utakuta wa wanapita taratiibu wengine hadi wanaanza kusalimiana katikati ya zebra. Watu wa usalama barabarani jaribu kutuelimisha vinginevyo kutatokea watu kugongwa na madreva wasiokuwa na subira..