Gilala
Member
- Apr 8, 2012
- 24
- 0
Nimekuwa nikisikia watu wakisema, kuwa mtu mwenye mimba hasa changa hatakiwi kunywa dawa chungu mf:ALOE VERA,MWAROBAINI nk. yaweza kusababisha mimba kuharibika.
Hii imetokea kwa jirani yangu mkewe alikuwa na mimba ya miez3 ikaharibika, lakin baadae ikaja gundulika kuwa alilamba aloe vera kutokana na kichefu chefu kumpelekea kutaman kulamba vitu vichungu.
Ombi langu naomba maelezo ya kina kuhusu hii ALOE VERA ambayo tumekuwa tukiitumia kama dawa kwa magonjwa mbali mbali. Inakuweje kugeuka tena na kuwa sumu kwa mtu mwenye mimba?
Hii imetokea kwa jirani yangu mkewe alikuwa na mimba ya miez3 ikaharibika, lakin baadae ikaja gundulika kuwa alilamba aloe vera kutokana na kichefu chefu kumpelekea kutaman kulamba vitu vichungu.
Ombi langu naomba maelezo ya kina kuhusu hii ALOE VERA ambayo tumekuwa tukiitumia kama dawa kwa magonjwa mbali mbali. Inakuweje kugeuka tena na kuwa sumu kwa mtu mwenye mimba?