Wajuvi naomba kujuzwa: Does The Republican follow Catholic tradition and values?

Tangu Trump ashinde urais wa Marekani nimeona akihusishwa sana na tunu za kikatoliki na hata yeye kusema wazi ataziendeleza. Pia ameonekana kusifia kazi kubwa inayofanywa na taasisi za kikatoliki na kusema atawalinda dhidi ya wote wanaozipiga vita!

Tunu au values ambazo Trump na Republican wanasimama kwazo ni pamoja na kukataa ndoa za jinsia moja, kukataa utoaji mimba, n.k.
Kwa hiyo republicans wanaonekana kuishi kufuatana na tunu za kikatoliki ambazo ni traditional and conservative.

Democrats wao wanatetea yote hayo, utoaji mimba n.k. na wanaonekana zaidi kuishi kufuatana protestant au pentecostal values ambazo ni more liberal.

Ndio sasa nimekuwa najiuliza hivi vyama vimegawanyika katika mtizamo wa religious traditions?

Mwanzo nilidhani majority of Americans are pentecostals. Na influence ya Catholicism ni ndogo sana.

Wajuvi mtupe mwanga kwa hili!

Theology, Philosophy and Science

Tunu zilivyochambuliwa kwa kina za Republicans na Democrats by Dinesh De Souza



Source: Theology, Philosophy and Science
 
kaka tiliza akili usipende kusikia tu kile ambacho unapenda kukisikia wala usipende kusikia na kuelewa kile tu ambacho umelishwa au umezoeshwa kukisikia,tambua tupo kizani mengi tumedanganywa sana ili tusielewe ukweli.wao ndio wanachagua nini tuambiwe na vyombo vya habari.
iweke akili yako huru tafuta ukweli,usifungamane na uliyolishwa utaujua ukweli
Ngoja nikae sawa maana watu kama wewe ni sawa na kuanza kumfundisha mwanafunzi wa darasa la kwanza
 
Sidhani Trump anaweza kuwa na mlengo wa kikatoliki zaidi ,yeye pamoja na chama chake.Bali msimamo wake na chama chake unajali zaidi maadili waliyokuwa nayo wamarekani tangu zamani.Na kama utakumbuka vyema,wamarekani wengi wana asili ya u protestant na hasa kwa vile wengi wao walikimbia mateso ya wakatoliki waliokuwa wakiwaadhibu wakristo waliopinga baadhi ya mafundisho ya kikatoliki.Wakristo hao waliopinga mafundisho hayo ya kikatoliki waliitwa "waasi".Hawa ni pamoja na akina Martin Luther.Bado hata katika uprotestant wako watu wenye msimamo mkali dhidi ya mafundisho yanayoonekana kuasi maagizo ya kibiblia.Jambo ninaloliona hapo,ni kuwa wote Democratic na Republican wameathiriwa na mifumo ya ki illuminat na wanatofautiana tu mikakati ya kufikia malengo yao.Democrat wanatumia akili kuhakikisha binadamu anatawaliwa wakati hawa Republican wanatakahata kama ni mabavu yatumike kuhakikisha binadmu "wajinga wajinga" wanatawaliwa.Namuona Trump si mtu wa mchezo mchezo na hawa wanaosema urais ni taasisi,wanasahau pia kuwa hata katika bunge la Congress,chama cha Trump kinaongoza kwa viti vingi.Kwa hiyo maamuzi yake hatapata shida kuyatekeleza.Nachoona sasa,huyu jamaa atainyoosha dunia na wale wanaopenda kujipendekeza kwa wachina na warusi.
Mkuu ulianza vizuri sana kuelezea ila umekuja kuharibu hapo kwenye "illuminat" hapo ndo point yako imeingia doa, Yaani ni sawa na kuchanganya "pilau na mihogo".
 
kw
Wapentecoste most of them are Liberal Church...Ni pro-choice....Ndio maana Blacks wengi ambao ni Pentecostal/evangelicals ambao ni kundi dogo sana hawakumpigia Trump kura...
kwa hiyo unataka kusema kwamba :
1.Trump ni Mkatoliki
2.Asilimia kubwa ya Wamarekanai ni Wakattoliki na ndo maana wakamchangua Mkatoliki mwenzao Donald Trump
 
Binti wa Trump - Ivanka anaenda kanisani siku ya jumamosi sabato huenda Trump anaimani ya kisabato
 
kw

kwa hiyo unataka kusema kwamba :
1.Trump ni Mkatoliki
Nani kasema!!

2.Asilimia kubwa ya Wamarekanai ni Wakattoliki na ndo maana wakamchangua Mkatoliki mwenzao Donald Trump
Hapana...Sera zake zimewavutia Wakatoliki walio wengi kumpigia Kura...Trump amepata kura ktoka makundi mbalimbali..
 
kwa
Nani kasema!!

Hapana...Sera zake zimewavutia Wakatoliki walio wengi kumpigia Kura...Trump amepata kura ktoka makundi mbalimbali..[/QUOT
Wakatoliki ni asilimia ngapi katika Marekani,na asilimia ngapi walimpigia kura Trump?
 
kw

kwa hiyo unataka kusema kwamba :
1.Trump ni Mkatoliki
2.Asilimia kubwa ya Wamarekanai ni Wakattoliki na ndo maana wakamchangua Mkatoliki mwenzao Donald Trump
Trump sio mkatoliki,ila ni kweli a likuwa mkatoliki akahama,pia wakatoliki wapo milion 65 ambao ni 22% ya raia wote wa marekani.ikumbukwe japo USA ni taifa la kiprotestanti lakini bado kanisa la Roman catholic ndilo lenye nguvu kuliko yote.mfano siku chache kabla ya uchaguzi walipotoka kwenye mdahalo wa mwisho,Clinton na Trump wote wawili walialikwa kwenye tsfrija ya jioni na Askofu wa katoliki akiwemo kissinger.
pia Trump ni zao la jesuits akiwa amesoma chuo kikuu cha Fodham kinachomilikiwa na jesuits
 
Nimesoma mada nzima,nilichojifunza ni kuna watu wanao abudu Kanisa badala ya Mwenyenzi Mungu.
Kwa akili ya kawaida uwezi kupigania kanisa ila utapigania imani yako.

Tubadilike,kanisa alimpeleki mtu mahali popote. Umelikuta na pia utaliacha.
 
Nimesoma mada nzima,nilichojifunza ni kuna watu wanao abudu Kanisa badala ya Mwenyenzi Mungu.
Kwa akili ya kawaida uwezi kupigania kanisa ila utapigania imani yako.

Tubadilike,kanisa alimpeleki mtu mahali popote. Umelikuta na pia utaliacha.
sijaelewa kiongozi weka sawa unachomaanisha
 
Trump sio mkatoliki,ila ni kweli a likuwa mkatoliki akahama,pia wakatoliki wapo milion 65 ambao ni 22% ya raia wote wa marekani.ikumbukwe japo USA ni taifa la kiprotestanti lakini bado kanisa la Roman catholic ndilo lenye nguvu kuliko yote.mfano siku chache kabla ya uchaguzi walipotoka kwenye mdahalo wa mwisho,Clinton na Trump wote wawili walialikwa kwenye tsfrija ya jioni na Askofu wa katoliki akiwemo kissinger.
pia Trump ni zao la jesuits akiwa amesoma chuo kikuu cha Fodham kinachomilikiwa na jesuits
what are you trying to validate?....kualikwa kwao na Askofu kuna maanisha RC ndo strongest Christian denomination in America?,au ilikuwa inahusisha kuweka mazingira mazuri ya ufanyaji kazi na yeyote atakayeshinda?,ni maraisi wangapi wa Marekani ni RCs?,ikiwa kama kutakuwa na nusu ya marais wa Marekani ni RCs ,we can then conclude that RC is the stongest Christian denomination in the US
 
what are you trying to validate?....kualikwa kwao na Askofu kuna maanisha RC ndo strongest Christian denomination in America?,au ilikuwa inahusisha kuweka mazingira mazuri ya ufanyaji kazi na yeyote atakayeshinda?,ni maraisi wangapi wa Marekani ni RCs?,ikiwa kama kutakuwa na nusu ya marais wa Marekani ni RCs ,we can then conclude that RC is the stongest Christian denomination in the US
Tangu kuundwa kwa taifa la USA ni JF.Kennedy pekee toka Rc aliewai kuwa rais,ninajaribu kukionyesha hapo ni namna gani vaticani ina influence kubwa sana USA japo kiongoz anaekuwa madarakani sio RC,wote ni lazima watii matakwa ya RC.
 
SALA NA KAZIwakot: 18595277 said:
Ahsante na hakikisha ukirudi, usirudi na historia za kukopi na kupest toka nyanzo visivyo rasmi sababu naona unategemea google kupata na kuchota historia za mambo kuwa makini unaweza kuwa na majibu lukuki na yenye maelezo mengi ambayo kwa nje na haraka haraka yanatazamika na kusomeka kama majibu lakini kumbe ni yakawa si sahihi ni chuki za wapinga imani katoliki (nakushauri penda na tafuta hardcopy za vitabu na historia toka sehemu husika au kwenye website zao)
note: mitandaoni kila mtu anaweza kuweka na kupost anavyo na anachojisikia (MUNGU yu kazini lakini kumbuka na SHETANI NAYE PIA YU KAZINI (wapinga kristo na imani katoliki nao wapo kazini pia)) so kuwa makini na unavyo visoma toka huko
Na hakika ukiendelea tegemea historia toka google pekee na mitandao utajikuta unajipinga mwenyewe
ILA KWA HUFUPI HAYO MAELEZO YAKO KUHUSU JESUITS IN CATHOLIC NAWEZA KUKWAMBIA KUWA:
"Utawala uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yayopingana itaanguka. na ikiwa shetani anamfukuza shetani, anajipinga mwenyewe. Basi utawala wake utasimamaje ?"
NA MWISHO JIULZE, catholic church zaidi ya miaka 2000 WHY and HOW ?
(ni kwa nguvu na msaada wa binadamu kweli ?)
kama biblia isemavyo "cha mwanadamu kitakufa tu cha mungu lazima kionekane juu"
NI HAYO TU MACHACHE ILA NITARUDI(SIJAPOTEZEA) KUWEKA SAWA
(WAZI) UKWELI WA MAMBO KUHUSU JESUITS IN CATHOLIC..........
asante kwa ushauri wako ,lakini kinachonibana ni muda na maxingira,nimepitia vitabu vingi ambavyo vingine bado ninavyo vnigine havippo,vilivyopo vipo mbali na nilisoma muda mrefu ivyo kushondwa kuweka ref.tafuta vitabu vifuatavyo
vifuatavyo; 1.vatican Assassini mwandshi Eric Jon Phelps nadhan cha 2006
2.The Gospel of Rome comparing catholic tradition and the word of God cha James G. McCarthy
3.the church of Rome at the bar of history
4.Rome's Rensponsibility for the assassination of Abraham Lincoln cha Brigadier Gen.Thomas M.Harris wa USA.
5.Fifty years in the church of Rome cha Charles chiniquy
6.In the Name of God cha mwandishi nguli wa habari za uchunguzi David Yallop,vitabu vingine kama vya yallop na Eric phelps vinapatikana kirahisi kwa ku download kupitia torrent iwe kickas au piratebay.vatican assassin ninacho ukishindwA kudownload niambie nikutumie
 
Tangu kuundwa kwa taifa la USA ni JF.Kennedy pekee toka Rc aliewai kuwa rais,ninajaribu kukionyesha hapo ni namna gani vaticani ina influence kubwa sana USA japo kiongoz anaekuwa madarakani sio RC,wote ni lazima watii matakwa ya RC.
Mkuu America inaongozwa na katiba,Je,unataka kusem akwamba katiba ya Amerika iliandikwa kwa kufuata misingi ya RC?
 
Ok kwa hiyo Republican ni conservative kamacwsjatoliki walivyo? Lakini wakati huo huo Marekani ni baba wa liberalism na democracy vitu ambavyo haviendani na mafundisho ya kidini!
Mkuu Republican ni conservative siku zote. Halafu ukisema Marekani ni baba wa liberalism unakosea, Marekani wako more conservative kuliko liberal. Ndio maana ishu kama immigration, gay marriage na abortion bado zina mjadala mkali.
 
Back
Top Bottom