doctorz
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 916
- 228
Wapo majaji ambao wamesomea contitunal law. Hao mara nyingi wanatumiwa na nchi za nje ili waanda mabadiliko ya katiba. Na wanajulikana sababu hawana upande watakao chukuwa na wanajali uzalendo Awachukuwe hao.
Kutaka wananchi au taasisi kupendekeza ni delay tactics tu.
Kutaka wananchi au taasisi kupendekeza ni delay tactics tu.