Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Waja JF,
Wajumbe watatu wa UVCCM arusha wakiongozwa na Aliye kuwa M/Kiti wa UVCCM (wilaya ya arusha mjini) zamani bwana Bananga na Mjumbe wa UVCCM arusha Mjini na Mjumbe wa UVCCM Arumeru, Majira haya wana hojiwa na vyombo hivyo vya habari kuhusiana na mambo au changamoto zima la viongozi wengi wa UVCCM sana sana kwa Arusha kujitoa CCM na kuhamia CHADEMA.
Wajumbe hao kwa pamoja wana heshimu maamuzi ya aliyekuwa M/Kiti wa UVCCM J.Millya kuhamia CHADEMA na wapetoa mapendekezo tu kwa Millya ndoto zake zote aziendeleze kwa wananchi kama alivyo kuwa amekusudia kufanya.
Bananga alikiri kuwa kuna haja ya kujiangalia UVCCM na kujitathimini kulikoni viongozi wengi wa juu UVCCM wanakihama chama hicho na ni wapiganaji haswa.
Ila inaonekana kuna mtafaruku ndani ya UVCCM kwani kuna jambo Bananga aliligusia kuhusu Mrisho Gambo ambae nae ni mwiba ndani ya UVCCM hapa Arusha.
kwa bahati mbaya sikuweze malizia mahojiano yao ingawa kulikuwa na tetesi ya tuhuma za pesa kutafunwa.
Habari kamili saa mbili usiku
My Take;
UVCCM inapaswa ibadilike wawe wakweli na wasiwe pale UVCCM kwa minaajiri ya kuwabeba watu fulani na kujipendekeza kwa wakubwa fulani au kwa maslahi yao kibinafsi wawatumikie wananchi na kuiweka Utaifa mbele kuliko Chama na chama chao kitambue UTAIFA/UZALENDO ni nini.
Wajumbe watatu wa UVCCM arusha wakiongozwa na Aliye kuwa M/Kiti wa UVCCM (wilaya ya arusha mjini) zamani bwana Bananga na Mjumbe wa UVCCM arusha Mjini na Mjumbe wa UVCCM Arumeru, Majira haya wana hojiwa na vyombo hivyo vya habari kuhusiana na mambo au changamoto zima la viongozi wengi wa UVCCM sana sana kwa Arusha kujitoa CCM na kuhamia CHADEMA.
Wajumbe hao kwa pamoja wana heshimu maamuzi ya aliyekuwa M/Kiti wa UVCCM J.Millya kuhamia CHADEMA na wapetoa mapendekezo tu kwa Millya ndoto zake zote aziendeleze kwa wananchi kama alivyo kuwa amekusudia kufanya.
Bananga alikiri kuwa kuna haja ya kujiangalia UVCCM na kujitathimini kulikoni viongozi wengi wa juu UVCCM wanakihama chama hicho na ni wapiganaji haswa.
Ila inaonekana kuna mtafaruku ndani ya UVCCM kwani kuna jambo Bananga aliligusia kuhusu Mrisho Gambo ambae nae ni mwiba ndani ya UVCCM hapa Arusha.
kwa bahati mbaya sikuweze malizia mahojiano yao ingawa kulikuwa na tetesi ya tuhuma za pesa kutafunwa.
Habari kamili saa mbili usiku
My Take;
UVCCM inapaswa ibadilike wawe wakweli na wasiwe pale UVCCM kwa minaajiri ya kuwabeba watu fulani na kujipendekeza kwa wakubwa fulani au kwa maslahi yao kibinafsi wawatumikie wananchi na kuiweka Utaifa mbele kuliko Chama na chama chao kitambue UTAIFA/UZALENDO ni nini.