Elections 2010 Wajue wapinzani mahiri waliokaliwa kooni majimboni

Mayu
Hakuna habari ya unafiki hapa, kama wewe ni mkaazi wa Dar hebu fikiria nguvu ya Mtatiro, nakisha ya Mnyika upande wa ubungo, niwazi watagawana kura tu,
vipi kuhusu Mbezi kwa Mdee na Mbatia
mkuu hizi ni taarifa zilizo fanyiwa kazi na sio uzushi kama unavyo weza fikiria
jimbo la mbezi lipo mkoa gani? wagombea uliowataja wanagombea jimbo la Kawe Dsm. kwa taarifa yako mbatia anagawana kura na ccm na kumuachia njia nyeupe Halima. sisi tupo huku jimboni wewe umesimuliwa na Kinana na redet yenu. mbatia anaona aibu huku, amepaka marangi picha za Halima lakini haita msaidia kitu maana tunamjua Halima akiwa nasi miaka kadhaa iliyopita. mbatia anatafuta justification ya kula pesa za chama chake kupitia kugombea hapa Kawe ila anajua anapoteza muda....jana nimesikia eti anasema atakubali matokeo? matokeo yepi atakayopata? wenzio wanaikampenia ccm waziwazi naona yeye anasubiri siku zikibaki chache ili afanye kama chama cha wakulima zanzibar kinakampenia ccm pemba,tlp inakampenia ccm bara...watajiunga wote kama walivyofanya jimbo la iringa lakini bado hamfiki popote mpaka mtakapoacha unafiki na kujiunga na upinzani wa kweli.
 
mkuu ulizia vizuri uambiwe ya tarime watu bado wanamkubali sana jamaa swahiba wake wangwe

mkuu jifunze tu kuukubali ukweli kuwa hapa dar upinzani umekaliwa vibaya, naamini kungekuwa na utaratibu wa kuachiana basi mtatiro angemuachia myika ubungo. Na mdee angemuachia mbatia mbezi

tumeamua kumalizana wapinzani na kuachia ushindi kwa ccm kiulaiiini!!!. Tusilalame!
Tukishauri tusimamishe mgombea mmoja wa upinzani, ubinafsi unatawala. Kwa mtaji huu, tutakiondoa chama tawala madarakani kweli???
 
jimbo la mbezi lipo mkoa gani? wagombea uliowataja wanagombea jimbo la Kawe Dsm. kwa taarifa yako mbatia anagawana kura na ccm na kumuachia njia nyeupe Halima. sisi tupo huku jimboni wewe umesimuliwa na Kinana na redet yenu. mbatia anaona aibu huku, amepaka marangi picha za Halima lakini haita msaidia kitu maana tunamjua Halima akiwa nasi miaka kadhaa iliyopita. mbatia anatafuta justification ya kula pesa za chama chake kupitia kugombea hapa Kawe ila anajua anapoteza muda....jana nimesikia eti anasema atakubali matokeo? matokeo yepi atakayopata? wenzio wanaikampenia ccm waziwazi naona yeye anasubiri siku zikibaki chache ili afanye kama chama cha wakulima zanzibar kinakampenia ccm pemba,tlp inakampenia ccm bara...watajiunga wote kama walivyofanya jimbo la iringa lakini bado hamfiki popote mpaka mtakapoacha unafiki na kujiunga na upinzani wa kweli.
Mkuu nashukuru kwa sahihisho lako ni jimbo la kawe si mbezi
halima hana cha kuupoteza anajua ana nafsi viti maalum,ndio maana inaonekana kama anamvurugia Mbatia
 
Mkuu nashukuru kwa sahihisho lako ni jimbo la kawe si mbezi
halima hana cha kuupoteza anajua ana nafsi viti maalum,ndio maana inaonekana kama anamvurugia Mbatia
...labda mbatia ndo anategemea viti maalum,Halima anashinda Kawe
 
huu ni ujinga na upumbavu wa elimu..


wewe subiri tarehe 31oct10 utajua nani mshindi..

wewe sema CCM sema Jk ila utajua nini kinachoendele 01 Nov.. wakati watanzania watakaposema uamuzi wao....
 
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha
Zitto na Demokrasia
 
Nilimsikia yule mgombea wa CCM kawe,jamani yaani ni bure anachokisema hata ukimuanagalia machoni hakijui! yaani awe mbunge yule ni aibu kubwa.uwezo wake ni mdogo sana na anaonekana ni shangingi flani hivi.tutalinda kura na pia tutapiga kura.
 
Nilimsikia yule mgombea wa CCM kawe,jamani yaani ni bure anachokisema hata ukimuanagalia machoni hakijui! yaani awe mbunge yule ni aibu kubwa.uwezo wake ni mdogo sana na anaonekana ni shangingi flani hivi.tutalinda kura na pia tutapiga kura.
Mkuu naheshimu sana mawazo lakini hapo kwenye red umeharibu
 
Hongera mzee CCM kujenga hoja zizizokuwa na ukweli ili kuhakikisha watu walio na mapenzi bora na nchi hii wanakata tamaa na kugeuka ili kuipigia kura CCM. Wewe kwa hakika siyo mzalendo hata kidogo.
 
DANCING.jpg

Mkulu hayo anayapatia, tatizo lake ni, kutekeleza matakwa ya mafisadi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom