jimbo la mbezi lipo mkoa gani? wagombea uliowataja wanagombea jimbo la Kawe Dsm. kwa taarifa yako mbatia anagawana kura na ccm na kumuachia njia nyeupe Halima. sisi tupo huku jimboni wewe umesimuliwa na Kinana na redet yenu. mbatia anaona aibu huku, amepaka marangi picha za Halima lakini haita msaidia kitu maana tunamjua Halima akiwa nasi miaka kadhaa iliyopita. mbatia anatafuta justification ya kula pesa za chama chake kupitia kugombea hapa Kawe ila anajua anapoteza muda....jana nimesikia eti anasema atakubali matokeo? matokeo yepi atakayopata? wenzio wanaikampenia ccm waziwazi naona yeye anasubiri siku zikibaki chache ili afanye kama chama cha wakulima zanzibar kinakampenia ccm pemba,tlp inakampenia ccm bara...watajiunga wote kama walivyofanya jimbo la iringa lakini bado hamfiki popote mpaka mtakapoacha unafiki na kujiunga na upinzani wa kweli.Mayu
Hakuna habari ya unafiki hapa, kama wewe ni mkaazi wa Dar hebu fikiria nguvu ya Mtatiro, nakisha ya Mnyika upande wa ubungo, niwazi watagawana kura tu,
vipi kuhusu Mbezi kwa Mdee na Mbatia
mkuu hizi ni taarifa zilizo fanyiwa kazi na sio uzushi kama unavyo weza fikiria