Wajue wabunge VIHIYO wa CCM...

si afadhali ya hawa chadema walitaka kutuletea makamu wa rais wa darasa la saba sasa wanaweza kuwakosoa ccm kweli? Angekua anaenda nje ya nchi na mkalimani kama marehemu kawawa? Au angeongeaje na mabalozi wakimtembelea?

wewe mwehu, acha akili za matope, hapa tunazungumzia elimu na uwezo wa ku analyze mambo na si kuongea kiingereza..kuna warasta kibao ferry hawajaenda hata darasa moja na uwezo wao wa kufafanua mambo ni mdogo mno ila wanaongea lunga kadhaa za kimataifa, so huitaji kwenda shule ili kujua kiingereza..acha kukariri..sijui umetokea kijiji gani wewe unayedhani kuongea lugha ndo elimu..mwanangu ana miaka mitano, hajaanza hata shule na anavunja yai...be critical na uache wehu!!
 
Wewe sio MPENDANCHI bali ni MPENDAUCHI.

Viongozi huzaliwa ndugu yangu. Ndio maana nchi kubwa kama UK zimekuwa zikiongozwa na watu wasio na elimu ambayo wewe unadhani ndio kigezo cha kuongoza vizuri. UMEPOTOKA KWELIKWELI.
Uongozi hutawaliwa na HEKIMA na BUSARA na sio Elimu. HEKIMA haina chuo. Kiongozi ni mtu anayejiweka yeye katika nafsi za watu wengine kabla ya kuchukua uamuzi wowote. Hujiuliza maswali ya Hekma na busara kabla ya kuamua jambo kwa maslahi ya watu wengine.
Tuna maprofesa na madakatari Lukuki hapa nchini. Lakini lakini bahati mbaya wanatum,ia Elimu yao bila HEKIMA. Wasomi wengi ni MCHWA TU.
Hivyo si sahihi kudhani shule ndefu ndiyo msingi wa uongozi bora. NOOOOOOO. Ni HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA, HEKIMA. mfalme Suleiman alipoulizwa na Mungu ni kupe nini kati ya mali na HEKIMA. Jibu ilikuwa ni HEKIMA. Viongozi wa sasa ambao most of them wanakuwa wasomi wangeuliwzwa swali hilo hata baada ya kusoma vitabu vitakatifu wangejibu NIPE MALI maana wengi wao huabudu mali.

hapo ndo huwa mnakosea kuifananisha Tanzania siji na UK au Marekani, nyie watu hizi ni nchi mbili tofauti kabisa, kwa system za uchaguzi na uongozi za wenzetu unahitaji tuu sifa fulani kuweza kuongoza, lakini hiyo si kwa nchi masikini zinazotafuta kuendelea kama Tanzania..hizo quotes zako za biblia ngoja niziache kwanza, ila kwa kuwa wasomi wachache hawajaperform then you can not jenerolaizi na kusema hatuhitaji elimu,...mnapotoka.tunataka watu walobukua watuongoze..si mnaona mkwere wenu anavojichechetua na kiphd cha heshima, hizo nyerere, mkapa, mandela n.k walikuwa nazo za kutosha, ila ulishasikia wanajiita sijui Dr. mandela, dr. nyerere na kadhalika? kwa sababu walijua maana yake ni nini..mkwere anaona siiifa..kaa darasani, bukua, pata maarifa, elimika na uwe na uchungu na nchi then njoo tuongoze..sawa!!?
 
Kama asilimia 16.7% ya Wabunge ni darasa la saba na form IV basi hii ni nchi ya ajabu kweli kweli. Ndio maana walikuwa wakiambiwa elimu compulsory itakuwa form IV walibisha . Umaskini mtupu. Agrrrrr.
 
Tunaweza kuwapima kwa kazi zao, walichofanya na ambacho hawajafanya? Badala ya hii kasumba ya ukoloni mamboleo ya kuhusudu vyeti bila kujali performance ya mtu ?

Kuna watu wengine wana akili sana wanaona kwenda shule kupoteza muda tu.

Hivi John Mnyika kaenda Chuo gani zaidi ya Form Six? Lakini ushawahi kumsikia John Mnyika aki articulate vitu? Ushawahi kusoma policy analysis za Mnyika? He has all the markings of a policy wonk, hana hata degree moja na I doubt kama ana cheti chochote zaidi ya Form Six, lakini ka invest muda wake katika social causes, kapata elimu dunia kubwa ambayo hata Harvard huwezi kuipata.

Ukinipa mtu kama huyu mimi naona ana elimu kubwa sana kumshinda Chenge aliyeenda Harvard lakini yuko horribly out of touch with wananchi.

Hebu muangalie Mnyika anavyo articulate mambo eloquently, with poise and confidence, sasa unataka kuniambia mtu kama huyu kwa mujibu wa list hiyo ya juu hajaelimika?



Nilimsikia mtu anasema alikuwa rais UDSM, sina history yake lakini but its good to know. Wadau hivi ni kweli Mnyika hana degree?
 
Last edited by a moderator:
WAJUE WABUNGE WALIO NA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI, hawa hapa,!!!!!




1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha

Jamani na huyu si Naibu Waziri wa wizara nyeti kabisa ya Fedha? Then form IV? dah. MATATIZO
 
Halafu hiyo headingi yako, "vihiyo....."
Unaelewa ni watanzania wangapi wenye elimu ya msingi na sekondari?? Kwa hiyo kwa mwono wako 80% ya Wa Tz ni vihiyo??
wacha kutukana Watanzania ndugu

ukiwa unapinga uwe unato hoja yenye uzito na sio kupinga..
hivi wakiwa wanaongelea mambo ya uchumio au kukuza elimu iwe bora, unafikiri hao walio na elimu ya chini wanaweza kuchangia hoja???
mana hawajapata changamoto katika elimu za mbele zaidi.. Pia ndo hao hao wanaounga mkono wanachuo wapewe mkopo tena kwa %..
fikiri kabla ya kuchangia mdau mwenzangu

tafakari chukua hatua... HAKI ELIMUUUUUU
 
Vihiyo siku zote watetea vihiyo kumbuka Mwl. Nyerere alijua nini maana ya elimu kwa maendeleo ya nchi ndiyo sababu alipigania sana wananchi wake angalau wajue kusoma na kuandika, bunge ni chombo muhimu sana kwa maendeleo ya taifa kumbuka wabunge hawa ndiyo watakaopitia bajeti najaribu kufikiria jinsi mh. Ngonyani atavyochangia mapungufu na maongezeko ya bajeti athari za vihiyo hazitaathiri majimbo yao tu bali nchi nzima, tusikatae ukweli viwango vya elimu ni muhimu sana kwa wabunge. Kina Chenge walipitisha mikataba mingi mibovu kwani wanajua udhaifu wa wabunge wetu kielimu, hawana wanachoelewa.
 
WAJUE WABUNGE WALIO NA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI, hawa hapa,!!!!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro

12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya


Hao wenye nyekundu wote ni wahitimu wa Seminary ya Kipalapala

mmhhhh SEMINARY??

Kweli CCM yajenga nchi.

ZIDUMU FIKRA ZA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE
 
Mkuu sikubaliani na wewe. j sumari ni naibu waziri wa fedha anawezakua frm iv kweli?

Mgimwa alikua Bosi mkubwa BOT na ana PhD kutoka chuo cha BOT Mwanza. CV yake nimeiona.

Rage kitaluma ni mhasibu na inasemekana ana CPA sasa hiyo frm Iv imetoka wapi mkuu?

Aliipata wapi? Simba sports club? tuwekee hapa evidence
 
haki elimu 'elimu ni ujuzi sio vyeti" kama madoctor na maprofessor wamechemsha kuiendesha nchi , kwanini tusirudi kwenye ujima. Waziri wa elimu ni professor lakini changanua maamuzi yake utapata jibu.
 
WAJUE WABUNGE WALIO NA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI, hawa hapa,!!!!!

Elimu ya msingi ( CCM )
1. Deo Kasenyenda Sanga ( JAH PEOPLE) -Njombe kaskazini, Iringa
2. Lameck Okambo Airo - Rorya Mara
3. Luckson ndaga Mwanjale - kujiendeleza-Mbeya vijijini ( Sijui kamaliza msingi au? )
4. hussein Nassor Amar - Nyang'wale , Mwanza
5. stephen Ngonyani - Korogwe Vijijini, Tanga
6. Lussinde Livingstone J. - Mtera, Dodoma
7. Aeshi Khalfan Hilaly - Sumbawanga mjini, Rukwa

Elimu ya Sekondari. Kidato cha Nne

1. Jeremiah Solomon Sumari Nne/ IV Arumeru Mashariki, Arusha
2. Michael Lekule Laizer Nne/ IV Longido, Arusha
3. Hassasn Mohamed Mgimwa Nne/ IV Mufindi Kaskazini, Iringa
4. Assumpter Nshuju Mshama Nne/ IV Nkenge, Kagera
5. Kifu Gulam H. Shabani Nne/IV Kigoma Kusini, Kigoma
6. Jitu Vrajil Soni Nne/IV Babati Vijijini, Manyara
7. Aziz Mohamed ABOOD Nne / IV Morogoro mjini, Morogoro
8. SHABIBY Ahmed Mabukhut Nne/ IV Gairo, Morogoro
9. Innocent Kalogeris Nne/ IV Morogoro kuisini, Morogoro
10.Abdulsalaam uleiman Sas Nne/ IV Mikumi, Morogoro
11. Abdul Rajabu Mteketa Nne/ IV Kilombero, Morogoro
12. Murji Hasnain Mohamedi Nne/ IV Mtwara Mjini, Mtwara
13. Dunstan daniel Mkapa Nne/ IV Nanyumbu, Mtwara
14. Richard Mganga Ndasa Tatu/ III Sumve, Mwanza
15. Mtutura Abdallah Mtutura Nne/I V Tunduru kusini, Ruvuma
16. Ismail Aden Rage Nne/ IV Tabora, Tabora
17. Said Juma Nkumba Nne/ IV Sikonge, Tabora
18. Sumar Shaffin Mamlo Nne/ IV Tabora kaskazini, Tabora
19. Henry Daffa Shekifu Nne/ IV Lushoto, Tanga
20. Brig. Gen Hassan Ngwilizi Nne/ IV Mlalo, Tanga
21. Idd Mohamed Azzan Nne/ IV Kinondoni, Dar es Salaam
22. Mussa Azzan Zungu Chuo cha anga..!!!?? Ilala, Dar-es-Salaam
23. Mtemvu Abbas Zuberi Nne/IV Temeke, Dar-es-Salaam
24. Faith M. Mitambo Nne/ IV Liwale, Lindi
25. Mohamedi Abdulazizi Nne/ IV Lindi Mjini, Lindi - Hakupita
26. Abdulkarim E. Shaha Nne/ IV Mafia, Pwani
27. Malocha Aloyce Ignace Nne/ IV Kwela, Rukwa
28. Ally Mohd Kessy Nne/ IV Nkasi kaskazini, Rukwa
29. Deusderius Mipata Nne/ IV Nkasi kusini, Rukwa
30. Nchambi Seleman Massoud Nne/ IV Kishapu, Shinyanga
31. James Daudi Lembeli Nne/ IV Kahama, Shinyanga
32. Ahmed Ally Salum Nne / IV Solwa, Shinyanga
33. Christopher Ole Sendeka Nne/IV Simanjiro, Manyara
34. Kisena Robert simon Nne/ IV Maswa Magharibi, Shinyanga

35. Sebastian simon Kapufi Sita / VI Mpanda kati, Rukwa
36. Bwanausi dismas Jerome Sita/ VI Lulindi, Mtwara
37. Dickson Modestus Kilufi Sita/ VI Mbarali, Mbeya
38. Christopher Ole Sendeka - Simanjiro
Na hapo je?
 
Turudi kwenye ujima mara ngapi? utendaji wa kazi wa mawaziri hufuata maelekezo ya sera za chama na si uwezo wao kitaaluma, sasa angalia hiyo sekritariati kuu ya chama ilivyojaa vihiyo na wababaishaji unategemea hawa mawaziri watafanya kitu gani?Maelekezo yote yanatoka kwa watu kama kina Makamba Kwa hizo Ph.d na masters hazisaidii chochote kwenye utendaji wao kikazi. Vihiyo tulieni ipeni nafasi elimu ifanye kazi yake. kama elimu haina maana mbona viongozi wengi wemekimbilia kuchongesha Ph.d mpaka leo hii ukiwauliza wamesomea wapi hawana majibu yanayoeleweka?
 
Mbona mgombea mwenza wa Slaa ni darasa la saba? Elimu sio ishu sana.
 
Naambiwa mwaka huu shehe yahaya nae atakuwa mbunge wa kuteuliwa na jk. Elimu madrasa.
 
Actually Kihiyo ni mtu anayefoji cheti, hawa mpaka sasa tuhuma zao ni kwamba wana elimu ndogo, kwa hiyo sifa ya uKihiyo hawana, watafutie jina lingine.
Asili ya hiyo slang ni hiyo, but immediately hilo has been used kumaanisha mtu mwenye elimu hafifu (maamuma) lakini akijikweza ktk social pyramid.
 
Kama asilimia 16.7% ya Wabunge ni darasa la saba na form IV basi hii ni nchi ya ajabu kweli kweli. Ndio maana walikuwa wakiambiwa elimu compulsory itakuwa form IV walibisha . Umaskini mtupu. Agrrrrr.

Ni form VI nafaikiri ulikuwa unamaanisha hivyo.
 
Back
Top Bottom