Mwanaume wa pouda anakera sana kwakweli....ndio wale vichomi wa jana ulikuwa unawazungumzia nini FL1?hapana lakini si wote na mapowder kama Ray wetu
Mwanaume wa pouda anakera sana kwakweli....ndio wale vichomi wa jana ulikuwa unawazungumzia nini FL1?hapana lakini si wote na mapowder kama Ray wetu
Mwanaume wa pouda anakera sana kwakweli....ndio wale vichomi wa jana ulikuwa unawazungumzia nini FL1?
Desmond Eliott na Richard Mofe Damijo nawakubalihawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
A Masters Degree holder in International Law and Diplomacy from the University of Lagos
Huyu ananogesha sana movie za Nigeria, sura yake, macho na mdomo anaqualify kabisa kwenye uigizaji hasa akiigiza ana hofu, playboy,kusalitiwa n.k
This is Tony Umez, baba wa watoto watatu ndani ya ndoa ya miaka 12.
I repeat I am writing this so that we Tanzania graduate we should change our mind, kazi sio ofisini tu kama tulivyolelewa na kuambiwa na wazazi wetu, I know many waigizaji ambao leo ni wasomi we can do thia na kuitangaza nchi yetu na utamaduni wetu kupitia uigizaji, cheki elimu ya jamaa na vitu anavyofanya,
Desmond Eliott na Richard Mofe Damijo nawakubali
pat atta nammind sana, angekuwa bongo!
A Masters Degree holder in International Law and Diplomacy from the University of Lagos
Huyu ananogesha sana movie za Nigeria, sura yake, macho na mdomo anaqualify kabisa kwenye uigizaji hasa akiigiza ana hofu, playboy,kusalitiwa n.k
This is Tony Umez, baba wa watoto watatu ndani ya ndoa ya miaka 12.
I repeat I am writing this so that we Tanzania graduate we should change our mind, kazi sio ofisini tu kama tulivyolelewa na kuambiwa na wazazi wetu, I know many waigizaji ambao leo ni wasomi we can do thia na kuitangaza nchi yetu na utamaduni wetu kupitia uigizaji, cheki elimu ya jamaa na vitu anavyofanya,
Ni kweli mkuu, naamini pia kuwa fani hii ikivamiwa na wasomi itasonga mbele sana tofauti na sasa.
Lakini huyu Tony Umez mimi bwana akiigiza mahali kama mtu wa hovyo anakuwa wa ovyo kweli!! mimi hadi namchukia kabisa...anajua sana kuvaa uhalisia.
wabeyora,
UKO JUU
pat atta nammind sana, angekuwa bongo!
mbona wao, hujatuandikia elimu zao????
Wazee mimi huyu nampenda sana hasa kwenye ile movie yake ya mr . Ibu kuna mmoja aliigiza umofia in london naye ni moto wa kuotea mbali.