wajue Kina Dada wa Ki-Nigeria wanaowika ktk movie..so good!

ICU na mimi nakupenda pia!pamoja daima!
thank you jamani ila nilivyozoea kuishi na wagonjwa wangu hawa mapenzi yangu hutoyafurahia mumy. Lakini mapenzi yako at the same time yanaweza kunifanya nibadilishe kazi niwe hata mcheza filamu kama hawa wanaigeria ili nisikukose. Pamoja siku zote cheusimangala
 
sasa hiyo kazi, hado watoto! wanajuaje mbele ya safari hao watoto wakipenda rangi yao ya asili itakuwaje? huku ni kumkosoa Mungu. Kuna binamu yangu alikuwa mweusi kushinda mimi wakati tunakuwa, siku hizi mweupe sasa huwa namtaniaga mwenzangu kulikoni, mbona umenipita rangi? basi anaona aibu tu
mpendwa tatizo la mtu kujichubua linanzia ndani,mtu anakuwa hajiamini,hajui who she is,na ndiyo sbb vitu wanavyofanya ni vingi na vya ajabu sana!
imagine mtu yuko tayari kufa na cancer lkn awe tu mweupe,kuna siku nilitajiwa chemicals ambazo dada mmoja ndugu yangu anachanganya ili ajipake awe mweupe nililia!
na ukimweleza anakwambia mind ur biznes jealou people!
 
thank you jamani ila nilivyozoea kuishi na wagonjwa wangu hawa mapenzi yangu hutoyafurahia mumy. Lakini mapenzi yako at the same time yanaweza kunifanya nibadilishe kazi niwe hata mcheza filamu kama hawa wanaigeria ili nisikukose. Pamoja siku zote cheusimangala
hapana usibadili kazi,wagonjwa mahututi wanakuhitaji zaidi yangu!
 
safi sana Masaki picha nimeiona kwani na wewe unaangalia Mikanda yao ..maana utawasikia wanaume wananong'ona ooh hii mikanda ya wanawake ha ha ha ha
 
stella-2.jpg


Stella Damasus-Aboderin
my sister the one n only fl1 in her 70th birthday!
 
Walishachelewa shule, watasoma lini wakati wanahitaji kujionyesha kwa jamii. Kupatikana kwa wasanii wenye vipaji, kutatokana na sanaa kuanza kufundishwa kwa watoto wadogo!
 
mercyjohnson.jpg
Mercy Johnson! anafly kwa spidi kali sana, hao hapo zilipendwa!

11219-merc.jpg


159387_mercy_johnson2_jpgc2db225719d0517af819c26b7019792d
sina lengo baya

mmercy.jpg


mercy10.jpg



mercy_johnson.JPG
 
safi sana Masaki picha nimeiona kwani na wewe unaangalia Mikanda yao ..maana utawasikia wanaume wananong'ona ooh hii mikanda ya wanawake ha ha ha ha

Huwa naangalia sana tu! Kwa kuwa kwangu kuna wapenzi wengi wa hizo movies!
 
Nadia.jpg



Nadia Buari

Nadia Buari is an actress in the film industry of Ghana, Africa. Nadia was born in Ghana.Nadia Buari is the daughter of both Khadija Buari and Alhaji Sidiku Buari, a well-known and successful musician in Ghana who is chairman of the African Action Committee of the Federation of Musicians (FIM), the acting chairman of the Copyright Society of Ghana (COSGA)and the former President of the Musicians Union of Ghana.
 
Ngoja kesho zamu ya wale mahandsome wa kinigeria kuna dada mmoja hapa JF huwa anachanganyikiwa akimuona nani ..anajijua

hahaaaaaaaaaaaaa, tuletee hao mahendisamu, ingawa kuna warembo wengine pale mtaa wa pili (Ghana) akina Jackie Apiah, nao wanafanya mambo ya ajabu.
BTW FL1, ule upaparazi wa valentines day mbona hukutuletea? au ulipewa mshiko usirushe hewani? angalia yasije yakakupata ya fulani.
 
FL mie si mshabiki sana wa hizi movie ila huyu mdada kwa kweli ananivutia sana na naipenda kazi yake;
dsc_0084.jpg


Omotola Jalade Ekeinde (1978- ), also known as Omosexy, is one of the top actresses in Nollywood, the Nigerian film industry. Known all across English-speaking Africa and beyond, only Genevieve Nnaji clearly outshines her.She is probably best known for “Blood Sisters” (2003), “The Prostitute” and, the film that made her name, “Mortal Inheritance” (1996). She has been in more than 250 films. Most Nollywood films are cheap, straight-to-video affairs.In American terms she is sort of like Toccara Jones with the acting talent of Uma Thurman.According to this blog, she is the second most beautiful Nigerian actress. I would watch a film just because she was in it. She is one of those women that it is hard for me to take my eyes off of. She has an amazing body, a full African figure. Her eyes seem a bit small and far apart, but I love her face all the same.

Especially her mouth and the way she moves it.Her beauty is even more amazing when you consider that she has had four children. She had them pretty early so it was easier for her to get back to her old shape. But now that her body knows a larger size, she has to fight it, exercising every day (walking) and watching what she eats (plenty of fruit, turkey and chicken without the skin).She says the secret to being beautiful is to love yourself. Get that right and all else will follow.It was easy for her to get into film: not only is she beautiful but she has natural acting talent, making characters come to life. Producers wanted her in their films!In the early days her mother stopped her from taking certain parts: she was a strict Christian and brought up Omotola that way. It seems to have stuck with her. For one thing, Omotola has been married to the same man for 12 years. That is a long time for the Nollywood set.Her father, the manager of a Lagos country club, died when she was young. It made her more serious than most. It also made acting possible: her father would not have allowed her to act, but with him gone they needed the money.Omotola is Yoruba, but speaks English as if it was her mother tongue. Maybe it is.In 2006 it was discovered that film producers were paying her and other top stars huge sums of money. So they were not allowed to act in any films for a year.

Some thought Nollywood would fall, but it made it through. In the meantime Omotola went into singing. She came out with one album and in 2008 is working on her second. Her first one was not so great.Like Angelina Jolie, Omotola is a goodwill ambassador for the United Nations. They sent her to Sierra Leone and Liberia, two countries torn apart by war. The people there have seen her films and love her.

She is one of my favourite Nigerian actresses too...movie hata ikiwa mbaya mradi yeye anaigiza mimi huwa naangalia tu!
icon10.gif
 
Naaanza na ma -sterring wa kike wanaotikisa Movie huko Nigerian
Genevieve Nnaji, born May 3, 1979 in Mbaise, Imo State, Nigeria), is a Nigerian actress. In 2005 she won the African Movie Academy Award for Best Actress
Genevieve Nnanji- Elimu ya chuo kikuu..aliipatia nchini Ghana



naija_actress2.gif

Naona maelezo yako kuhusu Genevieve yanapingana na haya hapa chini.

Genevive Nnaji

Genevieve Nnaji grew up in Lagos the commercial capital of Nigeria. The fourth of eight children, she was brought up in a middle class environment. Her father worked as an engineer and her mother as a teacher. She attended the Methodist Girls College Yaba, before heading onto the University of Lagos. While at the university Genevieve began auditioning for acting jobs amongst the many Nollywood projects
3_blowup(2).jpg
 
halafu nimekujibu kumbe ulishatoa link yenye sura yake!huyo simjui kabisa bwana!
labda fl1 atakufanyia ze nidful!


Chioma Chukwuka who hails from Oraifite in Nigeria, is a Nollywood actress who has starred in over 50 films.

She is a banking and Finance graduate of Lagos State University, and is one of the most prolific actresses in Nollywood.

Chioma is also a member of choir in the Pastor Paul Adefarasin’s “House on the Rock” church and a back up singer for Sammy Okposo’s Ex-generation band

She is married to Mr. Akpotha and the couple were blessed with a baby in 2007.
 
hahaaaaaaaaaaaaa, tuletee hao mahendisamu, ingawa kuna warembo wengine pale mtaa wa pili (Ghana) akina Jackie Apiah, nao wanafanya mambo ya ajabu.
BTW FL1, ule upaparazi wa valentines day mbona hukutuletea? au ulipewa mshiko usirushe hewani? angalia yasije yakakupata ya fulani.

Nadia Buari - (Ghana)

233-buari.jpg



233-buari1.jpg


233-buari2.jpg
 
Kumbe wana elimu ya juu ndo maana angalau some movies zinamake sense.
Uyu Geneviv huwa nampenda sana
Ila kuna mmoja namjua kwa picture tuu jina silijui endelea kuweka picha zao bwana huwa nampenda yuko calm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom