kuna rafiki yangu mwafrika (sio mTZ) yeye ni mweupe basi kila mara tukikutana na mweusi anasema huyu angekuwa mweupe........, au nguo hii angevaa mweupe.........., huwa ananiudhi sana. sio kwa sababu mimi ni mweusi ila sababu anavyoona weusi ndo wabaya hapa duniani. kuna siku nikamwambia nadhani ungefurahi sana ungezaliwa mzungu, maana hata kuwa mweupe (black) inakupa shida sana, alimind lakini ndo ukwelini kweli bwana inasikitisha,sasa ukishaichubua ngozi kwa kemikali na uzee pia haukawii sbb unaiharibu vibaya!
mi ni maji ya kunde lkn sio siri natamani sana kuwa mweusi kabisa kama hivi genevieve inavutia sana.
sasa ukute dada kajikoboa halafu katembea juani halafu katinga bonge la muwigi utachoka!
Kuna mmoja anaitwa Stella Damascus sijui, na mdada mwingine kila siku huwa anapangiwa part za kilokole simjamkariri jina! Wawekeni hapa.
She is good na anaiweza sana position ya kikanisa, hapa bongo sijui ni nani anaiweza hiyo position kiasi hicho. Please tell meKuna mmoja anaitwa Stella Damascus sijui, na mdada mwingine kila siku huwa anapangiwa part za kilokole simjamkariri jina! Wawekeni hapa.
kuna rafiki yangu mwafrika (sio mTZ) yeye ni mweupe basi kila mara tukikutana na mweusi anasema huyu angekuwa mweupe........, au nguo hii angevaa mweupe.........., huwa ananiudhi sana. sio kwa sababu mimi ni mweusi ila sababu anavyoona weusi ndo wabaya hapa duniani. kuna siku nikamwambia nadhani ungefurahi sana ungezaliwa mzungu, maana hata kuwa mweupe (black) inakupa shida sana, alimind lakini ndo ukweli
Masaki Kesho utapata Profile yake
Kuna mama mmoja pia huwa anajiita Mama G genaral hii ngoma nzito
Picha zote zitakuja kesho
ana matatio ya kisaikolojia!hata wamarekani weusi wapo niliona siku kwa tyra banks show,hawajipendi eti kisa ni weusi,kinachouma ukiwacheki ni wazuri ajabu lkn wanasema eti wakijitazama ktk kioo hawaoni kama ni wazuri,wengine wanachubua hadi watoto wadogo mpendwa!kuna rafiki yangu mwafrika (sio mTZ) yeye ni mweupe basi kila mara tukikutana na mweusi anasema huyu angekuwa mweupe........, au nguo hii angevaa mweupe.........., huwa ananiudhi sana. sio kwa sababu mimi ni mweusi ila sababu anavyoona weusi ndo wabaya hapa duniani. kuna siku nikamwambia nadhani ungefurahi sana ungezaliwa mzungu, maana hata kuwa mweupe (black) inakupa shida sana, alimind lakini ndo ukweli
tetetete Cheusimangala unaweza kuta mie ndo omotola ..hiki Kiswahili ni Lugha ya kujifunza tu ..ila ni mrembo sisi ukizaaa vitoto vitatu unachoka Kongoroka kwisha habari yako
Nitajimake hata nikifikisa 60 kwa kudara za mungu
Yaani kama ningekuwa siipendi rangu yangu naona ningenyanyasika sana. kwa bahati nzuri akianza kusagia watu weusi anakuta mimi nina amani tuhaha huyo nae kwani amekuwa mungu jamani watu wengine wanapenda kuboa wenzao
hahaa!Naona avatar ya cheusimangala inaweza kumfanya atwae tuzo ya Oscar........!!!
Wala hujakosea Mkubwa, imekaa vizuri sana, lakini sio sababu ya mimi kumpenda, kuna sababu nyingine lukukiNaona avatar ya cheusimangala inaweza kumfanya atwae tuzo ya Oscar........!!!
hahaa!
masaki nadhani huyu actress anayeact kilokole anaitwa nkiru sylvanus!aliact ile a cry for help,kama ndio huyo!
sasa hiyo kazi, hado watoto! wanajuaje mbele ya safari hao watoto wakipenda rangi yao ya asili itakuwaje? huku ni kumkosoa Mungu. Kuna binamu yangu alikuwa mweusi kushinda mimi wakati tunakuwa, siku hizi mweupe sasa huwa namtaniaga mwenzangu kulikoni, mbona umenipita rangi? basi anaona aibu tuana matatio ya kisaikolojia!hata wamarekani weusi wapo niliona siku kwa tyra banks show,hawajipendi eti kisa ni weusi,kinachouma ukiwacheki ni wazuri ajabu lkn wanasema eti wakijitazama ktk kioo hawaoni kama ni wazuri,wengine wanachubua hadi watoto wadogo mpendwa!
too sad!
halafu nimekujibu kumbe ulishatoa link yenye sura yake!huyo simjui kabisa bwana!Hapana siyo huyo. Huyo ni mwinine, anaitwa somebody Ngozi kama sikosei. Nimejaribu ku-google!
ICU na mimi nakupenda pia!pamoja daima!Wala hujakosea Mkubwa, imekaa vizuri sana, lakini sio sababu ya mimi kumpenda, kuna sababu nyingine lukuki
Sasa hivi ina miaka mingapi ndugu?no wonder u r my bestlady
hata anivesari yangu ya miaka hamsini ya ndoa utakuwa matroni tena.....