wajue Kina Dada wa Ki-Nigeria wanaowika ktk movie..so good!

Hizi elimu za Nigeria, ni kama kumaliza secondary za Lowassa.

My bratha, can u boro mi a buket ohh!!!!!

Elimu ya chuo kikuu, mhh!!!!!!!

Ila kuna wengine wameshiba hao? Sijui wamechanganya na ka Uzungu?
Rita_Dominic6.jpg
 
Mkuu hata hawa hapa kwetu mbona wanatudanganya sana na make up zao hasa zile wanaita foundation powder? Sasa wewe mshtukize kwao asubuhi hajaoga na kuanza kupaka hiyo lukaria yake ndipo hutamtambua kabisa. Sana sana utabaki kusema namtafuta fulani, kumbe yeye ndiye fulani mwenyewe!!! Natural is always the case!!! Articial hizo ni temporary and are damaging, they are skin aging agent!!! Mwishowe unaanza tena kupambana na akina Loreal anti-aging creams!! Yote ya nini?
Mbona wakati mwingine wanaact kama hausigelis na wanaonekana bomba tu? ni miili yao tu bana.Kwenye sifa hebu tuwape sifa zao.
 
Sasa huyo Omotola je???! nilisoma habari zake kama miaka 5 imepita alikuwa na 40 hivi.Lakin ukimuona bado binti kabisa halafu sahizi ndo amepungua zaidi.
Yani wakitembea na Cheusi mangala,cheusi anaamkiwa na yule anapewa mambo anti!

hahaa charity!ni kweli sisi wa 20 something tunaonekana kama vikongwe sbb ya dhiki zetu mama!lol
 
yaani bestlady anaonekana mbichi kabisa.....
all in all hawa wadada wanajua kuigiza bana....na wana fit chaacters mabali mbali



hahaaaa Cheusi umesikia hiyo....???
hahaa nimeisikia shosti,wifi yako mchokozi!
 
Hizi elimu za Nigeria, ni kama kumaliza secondary za Lowassa.

My bratha, can u boro mi a buket ohh!!!!!

Elimu ya chuo kikuu, mhh!!!!!!!

Ila kuna wengine wameshiba hao? Sijui wamechanganya na ka Uzungu?
Hapo mkuu Sikonge sijakubaliana nawewe.Wanaija wanajituma sana kwenye vitu vingi.Huwezi fananisha elimu ya kibongo na naijeria.Tena nasikia ni wachapakazi sana hata wakiwa nje ya nchi.Na huko marekani nasikia ni matajiri sana ukifananisha na waafrika wengine.
Lafudhi yao sio kigezo cha elimu duni.
 
naskia huyo Genevive kabla hajaingia kwenye filamu alikuwa anafanya bisinesi ya ukahaba sijui kuna ukweli?
 
Sasa huyo Omotola je???! nilisoma habari zake kama miaka 5 imepita alikuwa na 40 hivi.Lakin ukimuona bado binti kabisa halafu sahizi ndo amepungua zaidi.
Yani wakitembea na Cheusi mangala,cheusi anaamkiwa na yule anapewa mambo anti!

hahahah Ngoja nimcheki kwa sasa ana age ngapi lakini bado mrembo anashindanishwa na Genevieve inaonekana anaelekea kumpiku Mrembo genevieve
 
Mbona wakati mwingine wanaact kama hausigelis na wanaonekana bomba tu? ni miili yao tu bana.Kwenye sifa hebu tuwape sifa zao.
Dont you know Charity?

Anakuwa Housigeli, lakini amesheheni makemiko ya hatari mwilini!...Makemiko ya kumfanya aonekane kaja juzi toka IRINGA, yapo FYI!...

Chemicals are killing you LADIES slowly(but surely!)
 
Hizi elimu za Nigeria, ni kama kumaliza secondary za Lowassa.

My bratha, can u boro mi a buket ohh!!!!!

Elimu ya chuo kikuu, mhh!!!!!!!

Ila kuna wengine wameshiba hao? Sijui wamechanganya na ka Uzungu?
Rita_Dominic6.jpg

shem jamani si lafudhi yao tu hiyoo
ila ni kweli elimu yao ya juu huwa ina utata...wafoji sana vyeti i hear (hearsay tu)

bottom line ni kwamba sanaa yao iko poa......
 
Mbona wakati mwingine wanaact kama hausigelis na wanaonekana bomba tu? ni miili yao tu bana.Kwenye sifa hebu tuwape sifa zao.
Ni kweli Charity hawa wadada ni warembo na wanaenda na wakati kila postions wanayowekwa inafiti kabisa
Big up kwao
 
Hapo mkuu Sikonge sijakubaliana nawewe.Wanaija wanajituma sana kwenye vitu vingi.Huwezi fananisha elimu ya kibongo na naijeria.Tena nasikia ni wachapakazi sana hata wakiwa nje ya nchi.Na huko marekani nasikia ni matajiri sana ukifananisha na waafrika wengine.
Lafudhi yao sio kigezo cha elimu duni.

Hahaaa, wanajituma ni sawa. Wachapa kazi nayo ni sawa. Ila kazi gani inawapa utajiri, hapo ndiyo kasheshe inaanza.

Kila Mnigeria hujisifu alivyo tajiri. Atakuambia jinsi jumba lake Nigeria lilivyokubwa kama Ikulu ya Tanzania. Atakuambia gari analotembelea. Atakuambia hiki na kile. Ikipita siku mbili tatu unasikia walimdaka huko Uholanzi.

Wengi wao ni Pusher na Minyororo yao shingoni na kutembelea magari ya bei mbaya. Ukikutana na Mnigeria, basi kengele ya JIHADHARI kichwani lazima ianze kufanya kazi. Kuna wachapa kazi kweli na waaminifu. Ila Hao matajiri, wengi ukiwaambia wakupe karatasi za kodi kuonyesha walipofikia hapo walipanda vipi, basi utashangaa akisema anaenda 9geria kuchukua mapepa, asirudi tena.
 
hawa wa kwetu mama wengi wao wakishatokea katika gazeti la uwazi mara 2 tu basi wanajiona wameshafika kileleni hawataki tena maswala ya elimu!
kwanza watapigwa danadana na mapedeshee mpaka basi,yaani hawa wanaigiza ili apate soko basi hakuna lingine.
 
Hahaaa, wanajituma ni sawa. Wachapa kazi nayo ni sawa. Ila kazi gani inawapa utajiri, hapo ndiyo kasheshe inaanza.

Kila Mnigeria hujisifu alivyo tajiri. Atakuambia jinsi jumba lake Nigeria lilivyokubwa kama Ikulu ya Tanzania. Atakuambia gari analotembelea. Atakuambia hiki na kile. Ikipita siku mbili tatu unasikia walimdaka huko Uholanzi.

Wengi wao ni Pusher na Minyororo yao shingoni na kutembelea magari ya bei mbaya. Ukikutana na Mnigeria, basi kengele ya JIHADHARI kichwani lazima ianze kufanya kazi. Kuna wachapa kazi kweli na waaminifu. Ila Hao matajiri, wengi ukiwaambia wakupe karatasi za kodi kuonyesha walipofikia hapo walipanda vipi, basi utashangaa akisema anaenda 9geria kuchukua mapepa, asirudi tena.
Ok.Na kuhusu elimu je? nayo ya kuungaunga kama TZ?
 
shem jamani si lafudhi yao tu hiyoo
ila ni kweli elimu yao ya juu huwa ina utata...wafoji sana vyeti i hear (hearsay tu)

bottom line ni kwamba sanaa yao iko poa......

Kuna kijana nilishakutana naye, wala huwezi amini ni Mnija. Kijana baba yake ni Mwana sheria na nafikiri amekuwa katika mazingira ya shule zaidi ingawa ni katikati ya Lagos. Nilitegemea akisoma basi walau Kiingereza chake kiwe kimeenda shule ila hawa hamna kitu.

Kibaya zaidi nisichokipenda Shem kutoka kwa hawa watu ni pale anapojisahau kuwa mwezi uliopita alisema yeye ni anatoka Nigeria, na leo anasema kakosana na fulani: "I will show him who i'm. You can't just mess up with a Jamaican and you go away with it....."
Hapo unashangaa, hee, mwenzangu leo kawa "rejected USA slave." aka Jamaican.
 
qualification ya huku kwetu si uwezo wa msanii, ni kwamba umelala mara ngapi na sijui wanawaita ma director wa muviz, sijui prodyuza, akimega ndo anakupa ucheze, so ndo maana industry haifiki kokote kule. nasikia yule anayejiita the greatest ni std seven hahaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom