Jimmy19823
Member
- Jun 9, 2009
- 28
- 8
Habari zebu wana JF,
Ninaomba msaada wenu, ukiacha wajasiriamali maarufu kama R.A Mengi na Said Salim Bakhresa, ni wajasiriamali wengine wapi maarufu wenye biashara zenye ushindani hapa Tanzania au hata Africa mmashariki kwa ujumla?
nawasilisha
Ninaomba msaada wenu, ukiacha wajasiriamali maarufu kama R.A Mengi na Said Salim Bakhresa, ni wajasiriamali wengine wapi maarufu wenye biashara zenye ushindani hapa Tanzania au hata Africa mmashariki kwa ujumla?
nawasilisha