Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
huyo hapana ... anapendwa na wengi...
chema ndivyo kilivyo............chajiuza na kinauzika.... Smile. The Finest
Last edited by a moderator:
huyo hapana ... anapendwa na wengi...
mohammed Shossi..........chungulia ujumbe mengineyo mwachie ngoswe................ Mohammed Shossi
smile funguka ili roho ya Mr Rocky ipate ahueni..............
Smile hakyanani dah.....huyo hapana ... anapendwa na wengi...
chauro naona mnafurahisa mkiwa na sauti kubwa juu yetu lengo ni kututawala...............na ndiyo maana kuna wakati unaona kidosho unampenda sana lakini ukiona mwelekeo wake ni kukuthibiti unaamua acha aende zake na ubaki na maumivu kheri ulie kulikoni akutawale baada ya kujua kuwa kumbe roho yako yadundia kwake.......... Chauro
............LOL
- :disapointed:
pole kaka......
hata mimi kuna mtu habanduki mawazoni mwangu humu jf
na kuwa nae siwezi wala sitaki ,wala yeye hataki ..... hata situation hairuhusu.... soo painful
Bado hajabanduka tu? ? ? ?
mkemee shetani
Smile hakyanani dah.....
Okay nimekuelewa ngoswe ila nadhani ulikuwa unajaribu jaribu kufanya ushairi maana umerudia mstari wa mwisho wa kila beti kwenye kila aya. Anyway jitahidi hata kina Shaaban Robert walianza hivyo hivyo.
@smile ni mimi nini? mtaje basi smile?pole kaka......
hata mimi kuna mtu habanduki mawazoni mwangu humu jf
na kuwa nae siwezi wala sitaki ,wala yeye hataki ..... hata situation hairuhusu.... soo painful
@KaungaMuimbishe kwa mashairi toka "Wimbo uliobora" utamnasa tu!
Ila pole best, uzuri unajua kujicouncil mwenyewe!