WAJALUO kulala na wakweze, kwanini? siri yake ni nini jamani?

Hii ni tamaa tu ya wanaume wa kiluo kujihalalishia utamu. yaani je akiwa na watoto wa kiume kumi huoni hilo zee litafaidi sana. tena utasikia linauliza mbona likizo hii hamji au linatishia kutoa laana.
 
Nimeuliza wajalu rafiki zangu wa karibu sana wanaozidi 10 ( Jaluos both from Kenya & Tz) wote wamekiri hii habari ya baba na mwana ni kweli kabisaaa.
Usitusingizie eti Wa-Tz wengi intelligence yetu ni ndogo. May be wewe hapo!
Kuhusu mtu kuwa na university degree na akasema Musoma ni mkoa sio big deal kwani hata ukienda Harvard waliowengi wanasema Africa ni nchi na wengine wanasema Alaska iko Asia!!
Punguza jazba na kubali ukweli

mnh... urongo tu??!!!:twitch:
 
teh teh teh.....utawajuwa tu wajaluo,ila kama ni kweli hii mila ipo ujaluoni,nawaonea huruma mabint walioolewa ujaluoni,wanalo ilo limewaganda:clap2:
 
:) jaluo they are very proud,utasikia jaluo anajisifu, Mimi ni Jhaluo wa Asili na Tabia :)
ni watani zangu

IF YOU ARE NOT PROUD OF YOUR TRIBE THATS UP TO YOU.

AM PROUD TO BE A LUO, PURE ONE FROM KENYAN LUO FATHER AND TANZANIAN LUO MOTHER...

watani zangu... THEN YOU MUST BE A HAYA.
 
jamani, wanakula wakwe ni kweli kabisa, mbona mnabishaa, fanyeni utafiti. mtashangaa wenyewe. lakini hata hivyo wako biased, baba tu ndo anamla mke wa mtoto wake wa kike, mama hawezi kuliwa na mme wa binti yake....hapo hawako sahihi..
 
asante kwa taarifa. Bora waoane wao kwa wao, wengine tutaweza wapi? Uchafu na laana tupu, ninaomba mungu nisimpende mjaluo wala mkurya.

watu wengine bwana mnapenda sifa. Na hata ingekuwa kweli kwa hiyo watu wote wa kabila lako watakatifu..
 
jamani, wanakula wakwe ni kweli kabisa, mbona mnabishaa, fanyeni utafiti. Mtashangaa wenyewe. Lakini hata hivyo wako biased, baba tu ndo anamla mke wa mtoto wake wa kike, mama hawezi kuliwa na mme wa binti yake....hapo hawako sahihi..


hongera naona unajitahidi.
 
Jamani na wasihi msiconclude tabia ya mzee mmoja sijui kafanyaje, kuwa ndo tabia ya wajaluo,na nyinyi mnaosema mmewauliza sijui wajaluo kumi rafiki zenu wote wanafiki na waongo,hiyo tabia hawana wajaluo!tafadhali mtuombe msamaha kwa kashfa hii
 
wenye nyumba ntobhu ni wakurya hiyo haina ubishi...ila kwa baba mkwe kulamba dume la mwanae, ni wajaluo...hata ubishe vipi, ni kweli. ongea wazi ili watu wapone mkuu. kanisa la kisabato litafanya nini? mbona halina effect yoyote nchini Tanzania, mbona pamoja na usabato watu wanafanya mambo ya ajabu bado huko ujaluoni, usabato haujafuta kufyatuana mapanga? usabato haujafuta kupigana mangumi?

Is the source that credible au ni stori za kitaa.... Mbona hii imekaa ovyo sana??
 
jamani, wanakula wakwe ni kweli kabisa, mbona mnabishaa, fanyeni utafiti. mtashangaa wenyewe. lakini hata hivyo wako biased, baba tu ndo anamla mke wa mtoto wake wa kike, mama hawezi kuliwa na mme wa binti yake....hapo hawako sahihi..

Leta utafiti wako tuujadili....
 
Jamani, naomba kutoboa jibu, samahani kwa wajaluo walioko humu ndani.

ninaye rafiki wa kike ambaye niko karibu sana naye, na ameolewa kwa mjaluo. mwaka jana alienda kusalimia wakwe, babamkwe wake akamwambia kuwa "kiuno chake kizuri", yeye alipomwambia mmewe, jamaa akasema awe makini wazee wa huko huwa hawajatulia...kwasababu yeye ni msukuma, alipata shida kidogo itakuwaje babamkwe akamwambia neno hilo...sitanii, hii story ni ya kweli. ikabidi uchunguzi ufanyike, akagundua kuwa, kume kabila hilo babamkwe huwa wanalala na wake za watoto wao walau mara moja ati ili kuunganisha kwenye ukoo.

alimpressure jamaa akarudi haraka Dar. aliponiambia (don't ask me kwanini yuko karibu nami na kwanini ananiambia), mimi sikuamini. nikamwambia uyo mzee alilewa labda au hana akili timamu.

jana, nimekaa sikwenda kazini, nikalala. mama jirani mkurya na mkewangu wakawa wamekaa nje bila yeye kujua niko ndani nimelala...wakawa wanapiga story, bahati mbaya alijiachia nikawanasikiliza story zao zote...ilikuwa hivi...

alijieleza kuwa yeye mkurya, lazima kwao wakekete, wife kamwuliza kwahiyo hata wewe umekeketwa, akasema ndiyo! akamwambia hivi hamu mnajisikiaje? akasema, sijisikii hamu, naweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya hilo tendo kwanza mi nawashangaa hata wanawake malaya...mimi huwa sijisikii sana...hata nikingiliwa, huwa sifurahii sana. wife kamwambia duh,

walipofika kwenye issue ya wajaluo, mama kasisitiza kuwa, mwanamke wa kijaluo lazima akeketwe, ndio maana huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe kwasababu huwa tunaona aibu kwa makabila mengine, na pia, hata kama mwanaume ataoa kabila lingine, akipata mimba akaenda kijijini, wanapomzalisha huwa wanafyeka kisimii bila yeye kujua...akafika kwenye issue sasa, halafu wajaluo wachafu sana, baba mkwe lazima alale na mke wa mtoto wake, kama hatafanya hivyo atamchukia sana mtoto wake wa kiume...hata mke/mkwe huwa anaweka mazingira ya binti kulalwa na mmewe/mkwe....
1. wanakeketa
2. kama hujakeketwa wa kabila lingine, watademand ukiw ana mimba
ukajifungulie kwao, ukienda tu, wakati wa kujifungua
wanafyeka kisimii....utakujastuka una kidonda.
3. wakwe wanalala na wake za watoto wao.
4. kaka akisafiri, mdogo anaweza kuhamia kwa mke wa kaka hadi arudi..its normal
5. wanaoana wao kwa wao
.
6. wanaoana wanawake kwa wanawake, wanachagua dume la mbegu alafu anamzalisha yule mdada, wakurya pia...
issue inayodisturb hapa ni, kulala na wakwe, kwanini wanafanya hivyo?

Sidhani kama kuna cha ukweli hata kimoja hapa
Baadae hukawii kusema Wa-baba wa kichaga wana lala na wake za watoto wao
 
wenye nyumba ntobhu ni wakurya hiyo haina ubishi...ila kwa baba mkwe kulamba dume la mwanae, ni wajaluo...hata ubishe vipi, ni kweli. Ongea wazi ili watu wapone mkuu. Kanisa la kisabato litafanya nini? Mbona halina effect yoyote nchini tanzania, mbona pamoja na usabato watu wanafanya mambo ya ajabu bado huko ujaluoni, usabato haujafuta kufyatuana mapanga? Usabato haujafuta kupigana mangumi?


you must be a narrow minded person to say something like that.

Hebu tueleze wapi usabato au dhehebu lingine limeondoa hizo ngumi tanzania?
 
you must be a narrow minded person to say something like that.

Hebu tueleze wapi usabato au dhehebu lingine limeondoa hizo ngumi tanzania?
kwani mimi nimesemaje, mimi nilisema wasabato hawawezi kufanya chochote, wewe unaamini wanaweza? hakuna kanisa linaloweza kufanya chochote kama icho...ndo maana maovu yamejaa hadi Jerusalem israel. hadi dunia itaisha kutakuwa na watu wabaya na watu wema...so nafikiri mwenye akili ya maboga ni wewe, na si ajabu ni msabato wewe, umechanganyikiwa na kukariri mistari ya Bible na Mungu haumwoni katika maish ayako kwasababu unaamini sheria inaweza kukuokoa badala ya neema katika Yesu Kristo...pole sana.
 
Nachoogopa sana kuhusu wajaluo ni tamaduni za kuwanyang'anya wajane mali. Yaani kuna kijana jirani yetu ametajirika ghafla kisa kaka yake kafa kwa hiyo yeye sasa ndo mkurugenzi wa kampuni ya kaka yake. Wife anakuja kupiga magoti kuomba ela watoto waende shule. Na hii si kesi moja ziko nyingi naogopa nikizitaja humu mnaweza kuwafahamu wahusika. Hacha tu hawa jamaa waoane wao kwa wao.
 
To Hute:

Habari nyingi ulizoandika kuhusu wakurya zinaelekea kwenye ukweli. Zile za wajaluo, Unahitaji kufanya utafiti zaidi. Research huwa haifanywi kwa kusikiliza watu wawili. Kwa juu juu, mimi nafahamu kuwa makabila yote ya mara yana utamaduni wa kukeketa wanawake kasoro Wakwaya na wajaluo. Makabila yote yana utamaduni wa kutahiri wanaume kasoro kabila la wajaluo. Mkoa una makabila 23. Hata hivyo haimaanishi kuwa kila mwanamke wa Mara utayekutana naye lazima amekekektwa, na wala si kweli kuwa kila mwanaume jaluo atakuwa hajatahiriwa. Chukua hizi data hapa halafu endelea kufanya utafiti.

hii ni kweli kabisa,binafsi nimethibitisha kwa sampo zaidi ya moja toka huu mkoa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom