Naomba niwasaidie kuhusu hii mada kwani mimi ni mjaluo!
Kabla sijaendelea naomba kutoa angalizo;
Watz wengi hawako makini na hawapendi kufanya tafiti kuhusu mambo ya msingi!
Huyu bwana aliyeandika hii thread hawajui vizuri wajaluo!
Kwa mila na desturi za wajaluo si rahisi hata kwa baba mkwe kufikiria kumtongoza mkwewe! Kwa mila za wajaluo watu hawa hueshimiana hata kufikia hatua za kuogopana!
Na pia wajaluo huwa hawakeketi wanawake,hiyo ni mila ya WAKURYA ila sishangai kwa sababu inteligencia ya watanzania walio wengi ni ndogo sana utakuta mtu mzima tena anajiita msomi wa University lakini anataja mikoa atataja mkoa wa MUSOMA,au atafikiri kuwa watu wote wanaotokea Mara ni KABILA la WAKURYA!
Ni aibu mtu kukurupuka na topic usiyoielewa vizuri!
Aliye toa thread hii inaonekana ni MBEAAAA,kwani haiwezekani mtu umelala ndani kumbe unapiga chabo kupitia masikio yake .
Kingine inaonekana huyo demu aliyeenda kijijini ni WARU WARU,tatizo la kuokota mademu CORNER BAR mnapeleka vijijini kuwatambulisha kwa wazazi!
Hawawezi kutofautisha kati ya BABA na MTOTO! wako kibiashara zaidi!
KUWENI MAKINI ,FANYENI UTAFITI
si kweli!
Wahaya ndio wenye tabia ya baba mkwe kumtafuna mke wa mwanae na ndio maana UKIMWI ulikuwa ukiingia ndani ya familia unaia nyumba nzima!
mkuu nambie mambo niaje DJ Babu? tumemiss midundo yako mkuuuuuuuuuuuuu
Ukistaajabu ya Mkwere......? malizia...
jamani, naomba kutoboa jibu, samahani kwa wajaluo walioko humu ndani.
Ninaye rafiki wa kike ambaye niko karibu sana naye, na ameolewa kwa mjaluo. Mwaka jana alienda kusalimia wakwe, babamkwe wake akamwambia kuwa "kiuno chake kizuri", yeye alipomwambia mmewe, jamaa akasema awe makini wazee wa huko huwa hawajatulia...kwasababu yeye ni msukuma, alipata shida kidogo itakuwaje babamkwe akamwambia neno hilo...sitanii, hii story ni ya kweli. Ikabidi uchunguzi ufanyike, akagundua kuwa, kume kabila hilo babamkwe huwa wanalala na wake za watoto wao walau mara moja ati ili kuunganisha kwenye ukoo.
Alimpressure jamaa akarudi haraka dar. Aliponiambia (don't ask me kwanini yuko karibu nami na kwanini ananiambia), mimi sikuamini. Nikamwambia uyo mzee alilewa labda au hana akili timamu.
Jana, nimekaa sikwenda kazini, nikalala. Mama jirani mkurya na mkewangu wakawa wamekaa nje bila yeye kujua niko ndani nimelala...wakawa wanapiga story, bahati mbaya alijiachia nikawanasikiliza story zao zote...ilikuwa hivi...
Alijieleza kuwa yeye mkurya, lazima kwao wakekete, wife kamwuliza kwahiyo hata wewe umekeketwa, akasema ndiyo! Akamwambia hivi hamu mnajisikiaje? Akasema, sijisikii hamu, naweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya hilo tendo kwanza mi nawashangaa hata wanawake malaya...mimi huwa sijisikii sana...hata nikingiliwa, huwa sifurahii sana. Wife kamwambia duh,
walipofika kwenye issue ya wajaluo, mama kasisitiza kuwa, mwanamke wa kijaluo lazima akeketwe, ndio maana huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe kwasababu huwa tunaona aibu kwa makabila mengine, na pia, hata kama mwanaume ataoa kabila lingine, akipata mimba akaenda kijijini, wanapomzalisha huwa wanafyeka kisimii bila yeye kujua...akafika kwenye issue sasa, halafu wajaluo wachafu sana, baba mkwe lazima alale na mke wa mtoto wake, kama hatafanya hivyo atamchukia sana mtoto wake wa kiume...hata mke/mkwe huwa anaweka mazingira ya binti kulalwa na mmewe/mkwe....
1. Wanakeketa
2. Kama hujakeketwa wa kabila lingine, watademand ukiw ana mimba
ukajifungulie kwao, ukienda tu, wakati wa kujifungua
wanafyeka kisimii....utakujastuka una kidonda.
3. Wakwe wanalala na wake za watoto wao.
4. Kaka akisafiri, mdogo anaweza kuhamia kwa mke wa kaka hadi arudi..its normal
5. Wanaoana wao kwa wao.
6. Wanaoana wanawake kwa wanawake, wanachagua dume la mbegu alafu anamzalisha yule mdada, wakurya pia...
issue inayodisturb hapa ni, kulala na wakwe, kwanini wanafanya hivyo?
Jamani, naomba kutoboa jibu, samahani kwa wajaluo walioko humu ndani.
ninaye rafiki wa kike ambaye niko karibu sana naye, na ameolewa kwa mjaluo. mwaka jana alienda kusalimia wakwe, babamkwe wake akamwambia kuwa "kiuno chake kizuri", yeye alipomwambia mmewe, jamaa akasema awe makini wazee wa huko huwa hawajatulia...kwasababu yeye ni msukuma, alipata shida kidogo itakuwaje babamkwe akamwambia neno hilo...sitanii, hii story ni ya kweli. ikabidi uchunguzi ufanyike, akagundua kuwa, kume kabila hilo babamkwe huwa wanalala na wake za watoto wao walau mara moja ati ili kuunganisha kwenye ukoo.
alimpressure jamaa akarudi haraka Dar. aliponiambia (don't ask me kwanini yuko karibu nami na kwanini ananiambia), mimi sikuamini. nikamwambia uyo mzee alilewa labda au hana akili timamu.
jana, nimekaa sikwenda kazini, nikalala. mama jirani mkurya na mkewangu wakawa wamekaa nje bila yeye kujua niko ndani nimelala...wakawa wanapiga story, bahati mbaya alijiachia nikawanasikiliza story zao zote...ilikuwa hivi...
alijieleza kuwa yeye mkurya, lazima kwao wakekete, wife kamwuliza kwahiyo hata wewe umekeketwa, akasema ndiyo! akamwambia hivi hamu mnajisikiaje? akasema, sijisikii hamu, naweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya hilo tendo kwanza mi nawashangaa hata wanawake malaya...mimi huwa sijisikii sana...hata nikingiliwa, huwa sifurahii sana. wife kamwambia duh,
walipofika kwenye issue ya wajaluo, mama kasisitiza kuwa, mwanamke wa kijaluo lazima akeketwe, ndio maana huwa wanaoana wenyewe kwa wenyewe kwasababu huwa tunaona aibu kwa makabila mengine, na pia, hata kama mwanaume ataoa kabila lingine, akipata mimba akaenda kijijini, wanapomzalisha huwa wanafyeka kisimii bila yeye kujua...akafika kwenye issue sasa, halafu wajaluo wachafu sana, baba mkwe lazima alale na mke wa mtoto wake, kama hatafanya hivyo atamchukia sana mtoto wake wa kiume...hata mke/mkwe huwa anaweka mazingira ya binti kulalwa na mmewe/mkwe....
1. wanakeketa
2. kama hujakeketwa wa kabila lingine, watademand ukiw ana mimba
ukajifungulie kwao, ukienda tu, wakati wa kujifungua
wanafyeka kisimii....utakujastuka una kidonda.
3. wakwe wanalala na wake za watoto wao.
4. kaka akisafiri, mdogo anaweza kuhamia kwa mke wa kaka hadi arudi..its normal
5. wanaoana wao kwa wao.
6. wanaoana wanawake kwa wanawake, wanachagua dume la mbegu alafu anamzalisha yule mdada, wakurya pia...
issue inayodisturb hapa ni, kulala na wakwe, kwanini wanafanya hivyo?[/QUOT
kama ningelikuwa msimamizi wako wa reseach uliyoifanya nafsi yangu ingenisuta kama ningekupatia zero kwa sababu alama zako stahili ni less than zero... kwanza kabisa kama akili yako inafanya kazi vizuri tuombe radhi mara 2 cc wakurya na jirani zetu waleluo mbele ya wana jf.
kuoana kwa wanawake wa kikurya unakosema sio sahihi hata kidogo.. huyo anakuwa ni bibi kizee ambaye hukujaliwa kupata mtoto na hawezi kuzaa tena, sasa kama hana mtoto akifikia hatua ya kutoweza kutoka nje mwenyewe nani amsaidie, anatafuta binti ambaye yuko radhi kuishi, anaishi nae kama mama yake kwa maana kwamba anamheshimu, unaposema kuoana una maana wanakuwa malesbian, huyo mama ana stress hakuzaa, hata nyege za kufanya ngono hana atapata wapi muda wa kuwa lesbian???
nimeuliza wajalu rafiki zangu wa karibu sana wanaozidi 10 ( jaluos both from kenya & tz) wote wamekiri hii habari ya baba na mwana ni kweli kabisaaa.
Usitusingizie eti wa-tz wengi intelligence yetu ni ndogo. May be wewe hapo!
Kuhusu mtu kuwa na university degree na akasema musoma ni mkoa sio big deal kwani hata ukienda harvard waliowengi wanasema africa ni nchi na wengine wanasema alaska iko asia!!
Punguza jazba na kubali ukweli
we talk with facts in our hands,,,, rafiki zako wanaozidi 10????????