Societa Jesuit
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 200
- 5
Hali imeanza kuwa tete ncini Israeli baada ya maandamano kuendelea nchini Misri na wananchi wengi wakiendelea kumshinikiza Hosni Mubarak kuachia ngazi bila kusubiri kipindi cha kuachia madaraka bila kusubiri muda wa uchaguzi wakiahidi ijumaa ya wiki hii ni mwisho wa kuendelea kuwepo kwa rais huyo madarakakani.
Jambo linalonishangaza wanajamiiF wananchi nchini Israeli wameanza kukaa katika vikundi vikundi na katika tv mbalimbali wakiwa na hofu juu ya kuondolewa kwa Hosni Mubarak je, hawa waisraeli wana jambo gani na hosni mubarak? na hawa wamisri wanaopingana na wamisri wanaotaka kumwondoa Hosni Mubaraki je, ni wamisri kweli?
Jambo linalonishangaza wanajamiiF wananchi nchini Israeli wameanza kukaa katika vikundi vikundi na katika tv mbalimbali wakiwa na hofu juu ya kuondolewa kwa Hosni Mubarak je, hawa waisraeli wana jambo gani na hosni mubarak? na hawa wamisri wanaopingana na wamisri wanaotaka kumwondoa Hosni Mubaraki je, ni wamisri kweli?