What can we do now?
Je hao Jewish ni wachoyo wa siri ya mafanikio yao?
Je mtu afanyenini kibinafsi ili aweze hata kukaribia mambo wanayofanya?
Hawa ni vichwa, kwanini wanamatizo mara hawapendwi. Nk
Hawa ni vichwa, kwanini wanamatizo mara hawapendwi. Nk
Genesis 12
The Call of Abram
1 The LORD had said to Abram, "Leave your country, your people and your father's household and go to the land I will show you.
2 "I will make you into a great nation
and I will bless you;
I will make your name great,
and you will be a blessing.
3 I will bless those who bless you,
and whoever curses you I will curse;
and all peoples on earth
will be blessed through you."
KWA TAARIFA TU...Askari wa Israel aliyefariki kwenye operation Entebbe alikuwa ni Luteni Kanali Yoni Netanyahu ambaye ni kaka wa Waziri Mkuu wa sasa Benyamin Netanyahu.ThinkPad,
Hawa jamaa akili zao ni natural (baraka toka kwa MUNGU)na wanaongoza duniani. Na hili Wamarekani wanalifahamu ndo maana wanawatumia sana katika mambo yao, iwe jeshini na katika teknolojia mbalimbali. Jamaa ni genius kupita kawaida. Hakuna nchi yenye jeshi la anga lililo powerfull kama Israel. Kumbuka issue ya "90 minutes to Entebbe" ingawa walipoteza mtu wao mmoja aliyekuwa Hospitalini wengine wote waliokolewa na Nduli Iddi Amini dada akabaki mdomo wazi. Kuna mchangiaji mmoja amesema kula ngano ni mojawapo ya chanzo cha kuwa na akili. Hii ina ukweli ndani yake hata wazungu wanakula sana mikate, ndo chakula chao kikuu na tunaona mambo makubwa wanayoyafanya sisi tukibaki tumeduwaa tu. Inasemekana kuwa wakoloni walipokuja hapa TZ walifanya juu chini tusile sana ngano ili tubaki kuwa watumwa wao.
KWA TAARIFA TU...Askari wa Israel aliyefariki kwenye operation Entebbe alikuwa ni Luteni Kanali Yoni Netanyahu ambaye ni kaka wa Waziri Mkuu wa sasa Benyamin Netanyahu.