Waislamu wazindua Jukwaa la KATIBA

Ni vigumu kuingia katika imani yao, lakini pia ni ukweli kwamba japo wanaweza kuwepo baadhi yao ambao waka tayari kupotosha mafundisho ya dini kwa maslahi yao, msimamo mzima wa dini zetu haungi mkono vurugu na uharibifu mkubwa uliofanyika. Nimepata kuwasikia viongozi wa dini ya kiislamu wakinukuu vifungu katika msahafu vinavyokataza kwa wazi vitendo kama hivyo. Sioni kwa hali hiyo ni kwa nini tusiwaamini na kuruhusu uchunguzi huru ufanyike ili watakaobainika kuhusika waadhibiwe sio kama waislamu bali kama wahalifu wa kawaida. Maana, uhalifu haina dini hata kama utafanyika kwa mwanvuli wa dini.
Sasa hao baadhi wanakuwa zaidi ktk ukweli wa dini yao...

Pia ungechukua Muda kuusoma huo msahafu ungepata vifungu vingine vinavyowasupport hao uamsho....sijui utawakataza vipi kuvitumia hivyo vifungu hatari zaidi?Kwao vyote ni sehemu za ibada..nadhani hao walionukuu vifungu vya makatazo hawana vingi na vyenye Nguvu kuliko vya walifanya uharibifu.

Kwa taarifa yako haohao ukiwabana na kuwapa mistari watakuambia kitu tofauti....kuwa haya hizo ni kwa kazi maalumu na mazingira maalum...cha kujiuliza ni kuwa Hayo hayakuwa mazingira maulumu?Sasa shangaa watakavyowachomoa kwa sababu mbalimbali...kwani Basaleh..kashikwa mara ngapi na polisi kwa uchechezi na bado yupo mitaani anachochea bado?

Km unataka pata watu pious ktk dini yao nadhani mzee Mwinyi atakuwa ktk yao.Ila tazama challenges anazopata kupigwa makofi, km upo ktk meneo ya uswazi basi pitia vijiwe vya magazeti halafu usikie shutuma apatazo kila anapoandikwa akikemea hayo. Si viongozi wengi wanaweza kemea live bila kuogopa kuuwasha moto wa kidini.

Haiwezekani waislam dunia nzima wakafanana hivyo kitabia,hata sehemu walipobanwa na dola, km hakuna kitu kilichomo ktk kiini cha mafundisho yao.Uslam ni Dini, uamaduni, na mfumo wakisiasa(Mfumo mzima wa maisha).So lazima dini ipate power ili ianze kukimbizana na jitihada za kuunda taifa lake.Ni vigumu kuwa na uislam halafu ukainyima dini mamlaka.Maisha hayata kuwa as usual....
 
Sasa hao baadhi wanakuwa zaidi ktk ukweli wa dini yao...

Pia ungechukua Muda kuusoma huo msahafu ungepata vifungu vingine vinavyowasupport hao uamsho....sijui utawakataza vipi kuvitumia hivyo vifungu hatari zaidi?Kwao vyote ni sehemu za ibada..nadhani hao walionukuu vifungu vya makatazo hawana vingi na vyenye Nguvu kuliko vya walifanya uharibifu.

Kwa taarifa yako haohao ukiwabana na kuwapa mistari watakuambia kitu tofauti....kuwa haya hizo ni kwa kazi maalumu na mazingira maalum...cha kujiuliza ni kuwa Hayo hayakuwa mazingira maulumu?Sasa shangaa watakavyowachomoa kwa sababu mbalimbali...kwani Basaleh..kashikwa mara ngapi na polisi kwa uchechezi na bado yupo mitaani anachochea bado?

Km unataka pata watu pious ktk dini yao nadhani mzee Mwinyi atakuwa ktk yao.Ila tazama challenges anazopata kupigwa makofi, km upo ktk meneo ya uswazi basi pitia vijiwe vya magazeti halafu usikie shutuma apatazo kila anapoandikwa akikemea hayo. Si viongozi wengi wanaweza kemea live bila kuogopa kuuwasha moto wa kidini.

Haiwezekani waislam dunia nzima wakafanana hivyo kitabia,hata sehemu walipobanwa na dola, km hakuna kitu kilichomo ktk kiini cha mafundisho yao.Uslam ni Dini, uamaduni, na mfumo wakisiasa(Mfumo mzima wa maisha).So lazima dini ipate power ili ianze kukimbizana na jitihada za kuunda taifa lake.Ni vigumu kuwa na uislam halafu ukainyima dini mamlaka.Maisha hayata kuwa as usual....



Mimi naona sio busara kuhitimisha hivyo kwa hisia bila kuwa na ushahidi kamili. Kwa kadili ninavyoujua uislamu hauungi mkono mambo hayo. Masuala ya vijiwe vya uswazi hayana uhusiano wowote na mambo ya dini. Sio ajabu stories zinazozungumziwa katika vijiwa vya uswasi Dar Es Salaam hayana tofauti na vijiwe vya uswazi vya majijiji na miji mikubwa mingine duniani. Kijana anapokaa kijiweni na wenzie hakai kama muislamu au mkristo bali ni kama kijana mwingine yeyote.

Kwamba uislamu ni utamaduni, siasa na jamii ni suala amablo linaenda zaidi katika falsafa ya dini. Ni suala ambalo linahusu dini karibu zote. Ukumbuke kabla hatujaingia katika mapinduzi ya kisiasa huko ulaya ya magharibi (political revolution) yaliyoendana na curcularazation dola huko ulaya magharibi zilikuwa ni dola za kidini chini ya kanisa katoliki wakati ulaya mashariki kulikuwa pia na dola za kidini chini ya kanisa la Orthodox na dola ya kiislamu kabla ya kuanguka kwa dola ya Otoman. Ndio maana baadhi ya masalia ya misingi ya dola ya kidini bado yapo katika baadhi ya nchi za ulaya magharibi.

Mimi naona tukienda katika mtizamo huo hatutafika. Kama masheikh wenyewe wamesema hadharani kwamba uislamu hauruhusu yaliyofanyika Zanzibar ni vizuri tukawaamini na kuwachukuliwa waliyofanya vurugu hizo kama wahalifu kama walivyo waharifu wengine
 
Mimi naona sio busara kuhitimisha hivyo kwa hisia bila kuwa na ushahidi kamili. Kwa kadili ninavyoujua uislamu hauungi mkono mambo hayo. Masuala ya vijiwe vya uswazi hayana uhusiano wowote na mambo ya dini. Sio ajabu stories zinazozungumziwa katika vijiwa vya uswasi Dar Es Salaam hayana tofauti na vijiwe vya uswazi vya majijiji na miji mikubwa mingine duniani. Kijana anapokaa kijiweni na wenzie hakai kama muislamu au mkristo bali ni kama kijana mwingine yeyote. [\quote] Yesi kwa unachokijua na ulichotafsiriwa ndio hivyo ila pia na wenzio nao wametafsiriwa kivyao.By the way hata mimi hizo book nimezisoma sana.n akwa kifupi kuna mambo hayajakaa kwa minajimu ya unavyotaka sema hapa.Hizi si stori za kijiweni ndugu yangu.ndio maana uislam upo vulnerable duniani kote.Kuna mkanyiko wa mambo mengi sana kiasi cha kufanya kila mtu kuweza toa tafsiri yake na mambo yakaenda.halfu watu km nyie mkabaki mkitumia mistari fulani ya kujidanganya au kudanganya wengine.Sasa wewe jaribu hesabu ktk mwaka unahitaji mara ngapi kuitetea dini .Ima katika forum km hapa ama ktk mazungumzo
Kwamba uislamu ni utamaduni, siasa na jamii ni suala amablo linaenda zaidi katika falsafa ya dini. Ni suala ambalo linahusu dini karibu zote. Ukumbuke kabla hatujaingia katika mapinduzi ya kisiasa huko ulaya ya magharibi (political revolution) yaliyoendana na curcularazation dola huko ulaya magharibi zilikuwa ni dola za kidini chini ya kanisa katoliki wakati ulaya mashariki kulikuwa pia na dola za kidini chini ya kanisa la Orthodox na dola ya kiislamu kabla ya kuanguka kwa dola ya Otoman. Ndio maana baadhi ya masalia ya misingi ya dola ya kidini bado yapo katika baadhi ya nchi za ulaya magharibi. [\quote] Off course kanisa lilijichukulia madaraka kwa kutumia ujinga wa watu kuhusu biblia,baadaya katoliki kuwa na mfumo wa wafuasi kusomewa biblia na kupewa tafsiri kwa mtazamo wa makasisi.Kwa kiasi fulani pia huwezi walaumu kwani binadamu nao kuna wengi ni wavivu wa kufikiri na laways wanapenda kudanganywa.Na hofu yao ilikuwa kuwazuia wasidanganywe na mwongo mwingine.
Lakini tofauti ya Ukristu na uislam zipo wazi.Ukristu umeleta imani ya dini kwa mtu binafsi .Yaani mahusiano ya Mungu na mwanadamu kuwa mahusiano binafsi.Ndio maana wakristu wana uhuru mkubwa wa kufuata imani na mara waangukapo wanalichukulia kama jukumu binafsi.Ukristu nao si siasa wala utamaduni kwa namna hiyo.Ukristu unaamini Biblia ni neneo la Mungu lililofunuliwa kwa bindamu pitia kwa waandishi.Waislam wengine wanaamini kuwa Quran ilishushwa,wengine aya zilishushwa, na hapa ndipo panaanza kuwa na shida kwani kuna vitu vya kutumia maarifa madogo tuu,watu wanshindwa kwa vile wanaamin hadi Nukta imetoka kwa Mwenyezi Mungu.
Mimi naona tukienda katika mtizamo huo hatutafika. Kama masheikh wenyewe wamesema hadharani kwamba uislamu hauruhusu yaliyofanyika Zanzibar ni vizuri tukawaamini na kuwachukuliwa waliyofanya vurugu hizo kama wahalifu kama walivyo waharifu wengine
Ndugu yangu unanisikitisha sana kuwampaka leo hujawahi soma Kitabu kikuongazacho kwenda ama jehanam/ama peponi,ila una muda wa kushinja JF na media zingine.Huwezi mwachia Sheikh kukuambia kila kitu.Kwanza kuna thawabu kusoma vitabu vitakatifu.Hii ni wazi kabisa.Ili uweze jihukumu vizuri kwa kusoma na kuji commit katika mkataba na mungu wako, na siku ya mwisho uhukumiwe kihalali na si kupitia wataohukumiwa kama wewe.
Rafiki yangu soma maandiko mwenyewe halafu utaweza jua ni wapi wenzio wanashikwa au hata kukosea
 
Mimi naona sio busara kuhitimisha hivyo kwa hisia bila kuwa na ushahidi kamili. Kwa kadili ninavyoujua uislamu hauungi mkono mambo hayo. Masuala ya vijiwe vya uswazi hayana uhusiano wowote na mambo ya dini. Sio ajabu stories zinazozungumziwa katika vijiwa vya uswasi Dar Es Salaam hayana tofauti na vijiwe vya uswazi vya majijiji na miji mikubwa mingine duniani. Kijana anapokaa kijiweni na wenzie hakai kama muislamu au mkristo bali ni kama kijana mwingine yeyote. [\quote] Yesi kwa unachokijua na ulichotafsiriwa ndio hivyo ila pia na wenzio nao wametafsiriwa kivyao.By the way hata mimi hizo book nimezisoma sana.n akwa kifupi kuna mambo hayajakaa kwa minajimu ya unavyotaka sema hapa.Hizi si stori za kijiweni ndugu yangu.ndio maana uislam upo vulnerable duniani kote.Kuna mkanyiko wa mambo mengi sana kiasi cha kufanya kila mtu kuweza toa tafsiri yake na mambo yakaenda.halfu watu km nyie mkabaki mkitumia mistari fulani ya kujidanganya au kudanganya wengine.Sasa wewe jaribu hesabu ktk mwaka unahitaji mara ngapi kuitetea dini .Ima katika forum km hapa ama ktk mazungumzo
Kwamba uislamu ni utamaduni, siasa na jamii ni suala amablo linaenda zaidi katika falsafa ya dini. Ni suala ambalo linahusu dini karibu zote. Ukumbuke kabla hatujaingia katika mapinduzi ya kisiasa huko ulaya ya magharibi (political revolution) yaliyoendana na curcularazation dola huko ulaya magharibi zilikuwa ni dola za kidini chini ya kanisa katoliki wakati ulaya mashariki kulikuwa pia na dola za kidini chini ya kanisa la Orthodox na dola ya kiislamu kabla ya kuanguka kwa dola ya Otoman. Ndio maana baadhi ya masalia ya misingi ya dola ya kidini bado yapo katika baadhi ya nchi za ulaya magharibi. [\quote] Off course kanisa lilijichukulia madaraka kwa kutumia ujinga wa watu kuhusu biblia,baadaya katoliki kuwa na mfumo wa wafuasi kusomewa biblia na kupewa tafsiri kwa mtazamo wa makasisi.Kwa kiasi fulani pia huwezi walaumu kwani binadamu nao kuna wengi ni wavivu wa kufikiri na laways wanapenda kudanganywa.Na hofu yao ilikuwa kuwazuia wasidanganywe na mwongo mwingine.
Lakini tofauti ya Ukristu na uislam zipo wazi.Ukristu umeleta imani ya dini kwa mtu binafsi .Yaani mahusiano ya Mungu na mwanadamu kuwa mahusiano binafsi.Ndio maana wakristu wana uhuru mkubwa wa kufuata imani na mara waangukapo wanalichukulia kama jukumu binafsi.Ukristu nao si siasa wala utamaduni kwa namna hiyo.Ukristu unaamini Biblia ni neneo la Mungu lililofunuliwa kwa bindamu pitia kwa waandishi.Waislam wengine wanaamini kuwa Quran ilishushwa,wengine aya zilishushwa, na hapa ndipo panaanza kuwa na shida kwani kuna vitu vya kutumia maarifa madogo tuu,watu wanshindwa kwa vile wanaamin hadi Nukta imetoka kwa Mwenyezi Mungu. Ndugu yangu unanisikitisha sana kuwampaka leo hujawahi soma Kitabu kikuongazacho kwenda ama jehanam/ama peponi,ila una muda wa kushinja JF na media zingine.Huwezi mwachia Sheikh kukuambia kila kitu.Kwanza kuna thawabu kusoma vitabu vitakatifu.Hii ni wazi kabisa.Ili uweze jihukumu vizuri kwa kusoma na kuji commit katika mkataba na mungu wako, na siku ya mwisho uhukumiwe kihalali na si kupitia wataohukumiwa kama wewe.
Rafiki yangu soma maandiko mwenyewe halafu utaweza jua ni wapi wenzio wanashikwa au hata kukosea


Ndugu yangu tunatofautiana sana katika staili ya kujieleza na huo ndio ubinadamu wenyewe. Kama kuna sehemu umenielewa kwamba sijawahi kusoma vitabu vya dini yangu basi utakuwa hukunielewa vizuri. Msimamo wangu mkubwa ilikuwa ni kwamba tusigeuze mjadala wa katiba kuwa mabishano ya dini ipi ni bora kuliko nyingine maana mijadala kama hiyo kila siku ipo na haina hitimisho. Mtu anaweza kujiona ni mcha Mungu sana na imani yake ni sahihi sana lakini maadamu bado tupo wote hapa duniani hamna atakayemsahihisha na kusema amepata zote au amekosa zote mpaka tutakaposimama siku ya hukumu. Ndio maana sikuona haja ya kuwachokonoa mashehe waliobainisha kwamba mafundisho ya dini ya kiislamu hayaruhusu kuchoma makanisa. Kama ilivyo Biblia, Quraani inayo maandiko mengi, mengine yaliyo katika lugha ya wazi na mengine lugha ya mafumbo. Uwezo na namna ya kutasfsiri maandaniko mara nyingine unaathiriwa na mazingira ya mtu anayoishi, mtizamo wake na uaminifu wake katika kuyatafsiri.



Suala la imani ya kidini kuwa ya mtu binafsi au ya kijamii inategemeana na aina ya dola iliyopo. Katika dola ya kisekula ni sawa. Lakini katika dola ya kidini siyo bila kujali kama dola hiyo ni ya kiislamu, kikristo, kiyahudi au kibudha. Pale uongozi wa dola ya kidini ulipomhukumu Galileo kuuwawa kwa kusaliti imani ya dini, dola ya kidini ilikuwa inatoa ujumbe kwamba suala la imani ni suala la kijamii. Ni hivyo hivyo ilivyokuwa katika dola ya kiislamu ambapo mtu alihukumiwa kwa kufanya jambo ambalo ni kinyume na dini ya kiislamu. Mabadiliko toka imani kuwa ya kijamii na mpaka kuwa binafsi kimsingi hayakutokana na dini moja kwa moja bali muingiliano wa watu wa imani na mitizamo mbalimbali katika jamii za Ulaya. Hilo lilikuwa ni zao la migogoro kati ya dini na sayansi, dini na biashara na dini na siasa. Ilibidi watu waangalie namna ya kuweka utaratibu ambao ndani yake watu wa dini ni mitizamo mbalimbali wanaweza kuco-exist na bila kuwanyima uhuru waumini kuendelea na imani zao. Ndipo hapo suala la kutenganisha imani ya kijamii na imani ya kibinafsi lilipokuja.


Suala la kuwa na tafsiri tofauti na migawanyiko katika dini ni suala la dini zote. Na hiyo ni udhihirisho wa udhaifu wetu wanaadamu. Tafsiri na mitizamo hii tofauti ndio zinasababisha madhehebu ya dini kuzaliwa kila siku.

Hoja yako kwamba kanisa lilichukua dola kutokana na ujinga wa watu linahitaji ufafanuzi zaidi ili lieleweke. Mimi ninavyojua kilichoanza ni kanisa kushika uchumi na hatimaye likashika dola. Kwa kushika uchumi inamaana kwamba lilipata nguvu iliyoliwezesha kushika dola. Kuondolewa kwa dola ya kanisa kulitokana zaidi na hili tabaka jipya lililotokana na wafanyabiashara na wasomi kupata nguvu za kiuchumi nguvu ambazo hatimaye ziliwawezesha kupata nguvu ya kisiasa na hatimaye kuing'oa dola ya kidini.
 
Back
Top Bottom