Sweke acha Ujinga mkuu wangu umesoma kama unavyojiita.. Swala la Muswada ambalo JK ndiye aliwaita wazee wa Dar kuwezi kulilinganisha na Sheria iliyopitishwa. CCM ina wabunge wengi wakristu na ndio walioandika na waliopitisha muswada huo Bungeni wakiongozwa na Anna Makinda, sasa unataka nambia ilikuwa swala la Wakristu?..Prof Shivji na Baregu wameipinga hii sheria tangia mwanzo na ndiyo maana walionyesha hata ujasiri wa kuipinga live kwenye tv. Hawa mashehe nao waliipinga hiyo sheria? Laiti ungeona zile kanzu, baraghashia na hijabu zilivyokuwa zinashangilia JK alipokutana na wazee wa dar. Mimi binafsi zaidi ya wewe sijaona muislam mwingine akiipinga hii sheria kandamizi. Ndiyo maana watu wanahoji busara ya hawa viongozi wenu wa dini iko wapi maana wanataka kuvunja sheria waliyoishangilia .
Pili Kanzu ni vazi hata rais wa Nigeria huvaa kanzu kinakushanga kipi?..Mbowe alivaa kanzu siku ya Idd cha ajabu nini?...Kwani hiyo Katiba ni ya Waislaam au wazee wa Dar mbona mnazidi kuonyesha ujinga wenu jamani shule gani mlokwenda?
Halafu maswala ya Katiba sio maswala ya msikiti bali Masheikh wanachoweza kufanya ni hatua kama hii ambayo mawazo ya wananchi yanatakiwa. Kupinga ama kukataa kila mmoja ana maamuzi yake isipookuwa pale swala linahusu Institution ndipo Masheikh wanaweza kuingia... Ya kaizali tunamwachia yeye ila pale ya kiimani yanapotakiwa ndipo Masheikh huingilia.. Elimu nakupa uujue Uislaam ambao Yesu katufundisha...