Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Ni hapo juzi tu waislamu kwa mbwembwe na kwa kutumwa na kikwete na ccm walipowataka maaskofu na chadema kutii mamlaka iliyopo kisheria kwani hakuna mamlaka isiyotika kwa mungu............najiuliza mao waislamu na masheikh wao uchwara pamoja na ccm wangewaambia kauli km hiyo ya kishenzi watunisia,wamisri,wayemen na kwingineko wangefanywa nini?
Maoni tafadhari!
Maoni tafadhari!