Ili kufupisha yasije yakawa mengine, mtoa mada anaficha ujinga wake waonekane kweli waislam ni hovyo, hao waislam nchi hii wamekaa lini na wapi wakaweza kutuma huo ujumbe. Kama wapo ni kundi ambalo haliwakilishi waislam bali baadhi ya waislam kwa hiyo alitaje hilo kundi au akae kimya tusije tukawaonea wailslam tukawapa vidonge vyao.
acha mbwembwe wewe .... waislamu wote nchini tanzania walikaa lini wakasema mwezi haujaandama na kwamba redio imani inapotosha ....!
ficha upumbavu wako na busara yako itaonekana