NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Baada ya mh Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoa speech kwenye baraza la Idd mjini dodoma kwenye msikiti wa Gaddaf. Waislam wametaharuki na kusema kamwe hawakuamini masikio yao kwa nyundo alizoshusha JK na sio kama walivyoahidiwa kwenye kampeni za CCM.
Tayari wameandika barua ya kumuomba kukutana na Rais ili kumshawishi arudie hotuba yake na kama yuko busy watamwandikia nyingine. Timu iliyochaguliwa kumwona Rais iliwasili ikulu leo saa 9 mchana na juhudi za kumpata mh Rais ziligonga mwamba.
Wanadai kama mh Dr. JK hata ridhia mapendekezo yao basi wataandamana nchi nzima kumpinga kwa kuwageuka.
Source. Nguli JF
Tayari wameandika barua ya kumuomba kukutana na Rais ili kumshawishi arudie hotuba yake na kama yuko busy watamwandikia nyingine. Timu iliyochaguliwa kumwona Rais iliwasili ikulu leo saa 9 mchana na juhudi za kumpata mh Rais ziligonga mwamba.
Wanadai kama mh Dr. JK hata ridhia mapendekezo yao basi wataandamana nchi nzima kumpinga kwa kuwageuka.
Source. Nguli JF