Waislamu huku ni kupotosha jamii

Preta nimekapenda hako kabinti hapo kwenye avatar yako, ni wewe? Mashekhe wengi ni wachawi, wabishi, wanynysaji wa haki za binadamu, wana wivu sana, walalamikaji, wavivu, wajuaji............... kwa hiyo si ajabu kupandkiza chuki kama hizo kwa wenzao, bahati nzuri waislamu wengi siku hizi wameelimika na wanajua pumba ni zipi na mchele ni upi so waendelee tu na mambo yao:blah:
 
Cardinal Pengo hajawahi toa kauli kama hiyo labda umepoteza kumbukumbu hebu rekebisha kwanza kauli yako.

Baba Askofu Methodius Kilaini, ni kiongozi wa Wakiristu vipi nyie waumini wake mtakubali hayo maneno ya baba Askofu? nilichotaka ni kuweka sawa kwa wachangiaji wa hii thread, mkisikia sheikh yoyote kasema kitu basi kinaonekana cha Waislam wote wa Tanzania ndio kauli yao wamemtuma kama Topic ya hii thread, kaongea mtu mmoja wanashambuliwa Waislam wote
 
here we go again.jamani mungu ni mmoja,ila imani ni tofauti.haina haja ya kuona dini moja ni bora kuliko ya mwengine.wote tuwe kitu kimoja,tukiwa hivi huu ufisadi utaisha kweli?
 
huyo mtoa hiyo dawa ya 500 bado sijamkubali hata kidogo

ILA kitendo cha shehe kumkashifu kwa sababu ya dini yake si uungwana. MBONA YULE MFUGA MAJINI KIONGOZI pale mwembechai Shehe YAHYA hakosolewi au kwa kuwa majini kwao hayakatazwi.

Hivi kuna shehe asiyefuga majini?
 
[QUOTE=SeanJR;1701038]ni mtazamo wa huyo shee na ilikua mtazamo wa Pengo wala c wa Wakristo!! Napia huyo mchungaji huko Loliondo hamlazmishi mtu,anaeona inafaa kwa imani yake aende mwenye kupuuza akae kmya na asiende wenye uhitaji wataenda![/QUOTE]

Pengo hajawahi kusema upuuzi kama huo... ulitamkwa na Kilaini kwa maslahi binafsi!
 
Uislam ni dini ya kuamrisha mema na kukataza maovu. Mashehe lazima wawatahadharishe waumini wao na utapeli unaoendeshwa kwa migongo ya dini. Mfano ile taasisi ya "DECI" ilikuwa utapeli ulioendeshwa na makanisa kuwaibia wakiristo, kwakuwa waislam ni wajanja masheikh waliwakataza waislam kujiunga na DECI na waislam walinusurika kuibiwa. Hili la babu wa loliondo nalo mwishoni itagundulika ni utapeli wakati watu wame$hapoteza fedha nk. KWANi wizara ya afya inakaa kimya isifanyie uchunguzi mapema ili kuwapa uhakika watu au ndo DECI nyingine hiyo ? Uislam unasema kabla ya kufanya jambo litafakari kwanza faida/hasara zake.
 
Back
Top Bottom