SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Wana JF jana nikiwa ktk mkutano wa dini wa kiislamu uku shehe akitoa mafundisho ya dini ila kilichonipelekea mpaka kuleta hoja hii ni mashehe wanampinga vikali yule babu wa Loliondo uku wakimkashifu kwa dini yake ya kikristo wakisema waislamu wasiende uko uku leo asubuhi nikisikiliza radio IMANI ikisema uyo babu ni FREEMASON kwa iyo waislamu wasiende uko.
Kwa kauli iyo je ndugu zangu waislamu ni sahihi?
NAWASILISHA HOJA
Kwa kauli iyo je ndugu zangu waislamu ni sahihi?
NAWASILISHA HOJA