Waislam walalamika Wakristo kujaa kwenye baraza la mawaziri!

Status
Not open for further replies.
yani tanzania tunapoelekea kubaya sikuwahi sikia mambo kama haya kipindi cha nyuma,
Nachijiuliza hivi tunachohitaji ni flani ni dini gani au flani ana uwezo wa kufanya kazi kiasi gani. Mimi sitojali hata kama baraza lote waislamu au wakristo as long as utendaji wao wa kazi ni safi.
Haya mambo yasipoangaliwa kwa upana yataleta tatizo siku za mbeleni maana sasa imegeuka udini kila sekta wakristo wanasema na waislamu wanasema hivi
 
waislam wengi wameonekana hawawezi, shule tatizo, na kufanya mambo kiimani zaidi kuliko uhalisia...hata hivyo amewahurumia kuwaweka hao, kwasababu hata hao waliopo, hawawezi kazi kabisa...

Acha uchochezi mkuu.Mambo yatakapoharibika haijalishi wewe ni dini gani sote tutakuwa victims.
 
Mawaziri Wakristo 21, Waislam 9. Manaibu Wakristo 17, Waislam 8.

YALEYALEEEEEEEEEEEEEEEEEeeeeeeeeeeeeee...................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

radio IMANI nomaaaaaa du!! Waislam wenye itikadi kama ya redio imani milele watakufa maskini.
 
Wakristo wakiwa wengi, kawaida fanyeni kazi acheni udini! Waislamu wakiwa wengi, Kikwete mdini etc! Pumbafffff
 
Ebu twende mbele turudi nyuma, uyo anaelalamika, atueleze utendaji wa hawa waislam walioondolewa na atueleze kama wameonewa au wameshindwa kuperfom, Tusikae kuendekeza udini tuangalie utendaji wa Mtu, kama mkristo anafaa apewe nafasi na kama muislam anafaa apewe nafasi, Mbona Prof Lipumba ni muislam lakini hata nchi za kikristo zinamgombania kumtumia? Hacheni upuuzi wenu wa Kidini! Jitume soma na fanya kazi uone kama hautatafutwa pasipo kuangalia dini yako. Wanaoongelea Dini Masaburi yao.................................
 
Jamani mambo ya udini karibu sasa itanikwaza humu jamvini.

Tujenge Nchi yetu na kila mtu akae kwa IMANI yake!
 
Hivi ni kwanini Watanzania tunaelekea huku jamani?! This is not right at all!!!!!!!! Tusipende kujadili upumbavu kama huu kweli utatupeleka pabaya sana,cha msingi tuwe tunapotezea. Hiyo radio kama kweli wanaongea hayo,tuwasamehe tu kuliko kuanza malumbano maana ndio itachochea zaidi. Habari ya Mtei naona nilipitwa lakini kama na yeye aliongelea swala la udini alikosea.

Si vyema kujiingiza kwenye magenge yanayojadili mambo kutoka na dini ya mtu,haijalishi dini yako kinachoangaliwa ni utendaji wako wa kazi na busara zako.
 
Hizi redio zingine ni hatari kwa ustawi wa taifa,maana hawa wanaenda kutumikia wananchi na si kusalisha au kuswalisha
 
Izi radio zingine bana kuna haja ya kufuatilia weledi wa wanaofanya kazi huko
Maana kama wana Elimu ya madrasa tuu izo kauli watazisema sana.
Ktk top 3 sisi moja wao mbili mbona hatulalami ie RAISI.MRAISI NA PM na hao ndo waliolichagua baraza ilo nani alaumiwe.

Alafu wataalamu waliobobea mnao
Badala ya kulaumu kwa nini Malima krudi wakati aliwadhalilisha mnalaumu vitu visivyo na mantik
 
m nadhan hata mheshimiwa kaona upande wake jamaaa shule hakuna ikabdi aingie upande wa pil achue majembe yaliyoenda shule sio wakaaji wa kunywa kahawa kwenye vijiwe hao wasingemsaidia somen ndugu zetu uongoz hauji hv hv mnavyofikil
 
Status
Not open for further replies.
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom