mbona ambao hawana dini hamjawaweka ?, Hindu Je ?..
Acheni hizo dini pelekeni misikitini na makanisani kwenye issue za nchi sidhani kama unatakiwa kujua mistari ya Quran au Biblia.., katiba tu na utendaji kazi wako ndio unatakiwa
sipendi kweli mimi haya mambo!! hii ilianza tume ya katiba na tamko la mzee mtei .. JF watu wakaanzisha thread badala ya thread kumtetea mzee mtei kwamba hajateleza...!!
Kila asemalo kichaa, mwendawazimu au mtu asiyetakia mema nchi sio lazima tuli-report au kuliongelea.., sababu tutakuwa tunaendelea kutema sumu na kuchafua hali ya hewa
waislam wengi wameonekana hawawezi, shule tatizo, na kufanya mambo kiimani zaidi kuliko uhalisia...hata hivyo amewahurumia kuwaweka hao, kwasababu hata hao waliopo, hawawezi kazi kabisa...
Thats aout of EMOTIONAL and myopic thinking. Kila jambo linalotokea wanaliangalia kwa jicho la UDINI. Hata sijui presenters wa hiyo radio/ tv wamesomea vyuo gani. Lazima itakuwa ni madrass tu!!!!
Nao wanajiunga group la Mtei. Wanataka kusema watanzania lazima wapewe kazi kwa kuangalia rangi au dini zao hata kama hawana uwezo wa kufanya kazi hizo. Hoja haina mashiko....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.