kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Katika kuelekea kupata takwimu zao za idadi ya wauumini wa dini ya Kiislamu Tanzania baada ya serikali kugoma kuweka kipengere cha idni na ukabila katika dodoso la sensa, Waislamu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar wameanza utaratibu wa kupita nyumba kwa nyumba kuhakiki wauimini wa dini ya kiislamu.Utaratibu huo ulionekana jana katika mitaa ya Magomeni Mwinyi Mkuu ambapo baadhi ya watu wenye kujitambulisha kuwa viongozi wa dini ya kiisalamu walikuwa wakipita nyumba moja baada ya nyingine na kuulizia kama kuna waislamu na kuandika maelezo yao yakihusu jinsi,jina na umri kweny madaftari.Katika Maeneo zoezi ilo lilionekana kwenda tambarare bila fujo au misuguano pengine ni kwa sababu maeneo na wakzi wengi wa sehemu hiyo ni waislam.Pia Moja ya nyumba walioingia kuna wapangaji wakiristo na hawakuweza kuwauliza taarifa zozote.
Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.
Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.