Waislam waandaa rasimu ya katiba mpya

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislaam (T), limeanza mchakato wa kuandaa rasimu ya katiba hiyo ambayo itawasilishwa serikalini ndani ya siku 30.

WanaJF mna maoni gani.
 
Maoni gani mkuu?? huwa siwaamini kabisa hawa watu.

FYI and to put record clear ni waislamu wachache sana ambao hawana inferiority complex, wengi wao ni mzigo, mzigo mkubwa mno. nikianza kusema hapa sitaeleweka na nitaonekana mdini, ila ukweli ndio huo, hawajatulia hawa, wapepewe dawa yao ni kuwa kimya tu, serikali ipokee hayo maoni yao na ikae kimya kabisa , ukisema tu kitu against ..TAYARI WANATUONEA, inaonekana ni neno la kwanza kulijua kabla ya neno mama!! waislamu wako uarabuni hawa wengine maigizo tu, ili naweza kulitetea kwa nguvu zote..mmoja aseme nianze
 
Maoni gani mkuu?? huwa siwaamini kabisa hawa watu.

FYI and to put record clear ni waislamu wachache sana ambao hawana inferiority complex, wengi wao ni mzigo, mzigo mkubwa mno. nikianza kusema hapa sitaeleweka na nitaonekana mdini, ila ukweli ndio huo, hawajatulia hawa, wapepewe dawa yao ni kuwa kimya tu, serikali ipokee hayo maoni yao na ikae kimya kabisa , ukisema tu kitu against ..TAYARI WANATUONEA, inaonekana ni neno la kwanza kulijua kabla ya neno mama!! waislamu wako uarabuni hawa wengine maigizo tu, ili naweza kulitetea kwa nguvu zote..mmoja aseme nianze

I got u Waberoya, ila wana haki kama wengine, katiba ni yetu sote, kwa hili nawapongeza sana Waislam, mm ni mkristu, ila hapa sijaona kosa lao
tusije kutoaminiana kiasi hiki, ila natoa tahadhari wasije na mada ya kupendekeza katiba mpya iingizwe kifungu cha MAHAKAMA YA KADHI, HILO TU, wasiwasi wangu ni hizo 30days ni siku chache may be wangesema 60 days hivi ningewaelea.
 
Mimi ninaamini ya kwamba kila mdau wa Katiba hatoacha kutafuta KUIMARISHA ZAIDI YALE MAMBO YANAYOTUUNGANISHA ZAIDI kama taifa kwenye rasimu zao mbali mbali na KUYAKWEPA KWA MBALI SANA MASWALA YOTE YENYE MISINGI YA KUTUGAWA KAMA TAIFA chini ya misingi ya itikadi zetu tofauti tofauti nchini.

Na kwa wenzetu Waislamu wala sipati shaka nao katika kuzingatia hilo sawa sawa na SERIKALI pia kama mdau wa katiba nao pia tunawatarajia waje na rasimu yao murua wakapendekeze kwenye mkutanowetu wa katiba kitaifa hapo baadaye kidogo. Pia, usisahau kwamba
Profesa Lipumba, Salimin Komando, Dr Shein, Mgeja, Prof Shivji, Prof Abdalla Safari na Maalim Seif nao yuko mle ndani na kwamba nina uhakika ya kwamba hatopenda kufumbia macho masuala ya kutugawa kama taifa bali lazma atashauri zaidi juu ya hayo yenye kutuunganisha zaidi kuwa kitu kimoja kuliko hata tulivyokua kabla ya kuandikwa Katiba Mpya.

Maoni gani mkuu?? huwa siwaamini kabisa hawa watu.

FYI and to put record clear ni waislamu wachache sana ambao hawana inferiority complex, wengi wao ni mzigo, mzigo mkubwa mno. nikianza kusema hapa sitaeleweka na nitaonekana mdini, ila ukweli ndio huo, hawajatulia hawa, wapepewe dawa yao ni kuwa kimya tu, serikali ipokee hayo maoni yao na ikae kimya kabisa , ukisema tu kitu against ..TAYARI WANATUONEA, inaonekana ni neno la kwanza kulijua kabla ya neno mama!! waislamu wako uarabuni hawa wengine maigizo tu, ili naweza kulitetea kwa nguvu zote..mmoja aseme nianze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom