Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Na alaaniwe huyo Shee anayekaa na RUNGU LA POLISI,hebu tazameni hiyo meza,Rungu la polisi na Shee wapi na wapi?
hilo rungu anawaonyesha polisi kuwa hata yeye analo wasidhani ni wao tu
Na alaaniwe huyo Shee anayekaa na RUNGU LA POLISI,hebu tazameni hiyo meza,Rungu la polisi na Shee wapi na wapi?
"tunalaani wanaoeneza chuki za kidini"
"tunalaani ubaguzi wa aina yeyote ile"
"tunalaani hasira, ubinafsi na uhuni"
"tunalaani wanaochafua dini ya amani"
" tunalaani serikali isiyotenda haki"
ndo maana mimi naona tatizo la huyu bwana si muadilifu.angekuwa mwadilifu angelaani yote mabaya ikiwemo kuharibiwa makanisa na kukojolewa qur'an.sasa yeye analaani moja tu kwa kuwa limefanya na wenzake.kikwete ndo muadilifu maana kallaani yote na kasema wote wamefanya vibaya kabisa. Halafu ponda anasema jana serikali ilaani kuchafuliwa qur'an na wakati kikwete alishalaani kweli siku ya kuzima mwenge.yaani inaonekana huyu bwana anataka shari tu.si unajua mtu anae taka mgogoro hata ujitahidi vipi atakuja tu.hata ukiamua kujifungia kwako atakuja kukupigia makelele dirishani ili mradi tu mkorofishaneanalaani nini sasa huyu, mbona yuko kimya kuhusu kuchoma makanisa huyu....aaargh!
Aipe serikali siku saba kama nani? Otherwise itakuwaje...aache vitisho vya ajabu!
ndugu yangu!si kila mvaa kanzu muislam wala kila mvaa msalaba ni mkristo.kila mtu ana mambo yake na dini zinabakia kufundisha mema.kwa mfano qur'an husema; na utawakuta waliokaribu zaidi na waislam ni wanaosema ni wakristo kwa sababu miongoni wmao wapo wanazuoni na wachao mungu.na aya nyingi zinaonya juu ya kumfanyia mwenzio usiyopenda kufanyiwa.NA KUSISITIZA KUFANYIA MWENZIO KAMA UNAVYOPENDA KUFANYIWAhivi mashekh wazima wameweka rungu la mgambo hawa kama siyo criminal tuwaiteje? Hii ni dini shari kabisa.
'tunalaani chuki na chokochoko inayoenezwa na radio/tv imaan'
'tunalaani mbegu mbaya iliyopandwa na mkuu wa kaya'
'tunalaani kuacha mbegu hiyo iote mizizi na kuchipua'
'tunalaani kukosa kiongozi shupavu wa kukemea haya na hasa radio/tv imaan'
'tunalaani kufungiwa mwanahalisi na kuacha radio imaan ikikiuka maadili'
mungu ibariki tanzania.
sasa na wewe unataka kuongeza uchochezi.acha bwana si vizurihiyo kuran yenu kumbe mdebwedo tu imekojolewa na dogo hajageuka mjusi.
tunalaani wanaotoa nyaraka za uchonganishi za kidini"tunalaani wanaoeneza chuki za kidini"
"tunalaani ubaguzi wa aina yeyote ile"
"tunalaani hasira, ubinafsi na uhuni"
"tunalaani wanaochafua dini ya Amani"
" Tunalaani serikali isiyotenda haki"
uchocheziHiyo kuran yenu kumbe mdebwedo tu imekojolewa na dogo hajageuka mjusi.
MUNGU WETU WA AMANI AKUSAMEHE, HUJUI USEMALO!!! MUNGU WETU MWEMA HATORUHUSU DAMU KUMWAGIKA TANZANIA! Unaongozwa na shetani, shetani ndiye hupenda na kuchochea vita, sali, funga, mchukie shetani! TETEA AMANI!
cacico,WALAANIWE WOTE WANAOCHOCHEA VURUGU NA VITA NCHINI KWETU TANZANIA! MUNGU si mwanadamu, hatakuwa upande wao!
Tunalaani tapeli anayejiita shehe Issa Ponda mrundi anayeeneza chuki ili Tanzania iwe kama kwao Burundi.
Tulaani rais anayewalea wahuni na matapeli kama Ponda bila kuwarejesha kwao au Segerea
Tunalaani wanaotumia dini kufanya wizi hasa wa divai na jenereta
Tunalaani wote wanaojali dini zao kabla ya taifa lao
Wote hao walaaniwe.