SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,714
- 60,721
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete kwa mbegu yako ya udini uliyopanda ili utugawe watanzania ili mafisadi muendeleze utawala wenu dhalimu.Lakini nakuhakikishia JK kuwa wewe ndiyo utakuwa mhanga wa kwanza wa sera yako hii ya UDINI kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu