Matunda ya mbegu za udini ambao JK ni mwasisi wake yameanza kuonekana..............JK asijivunge aingie shambani akayavune..................
Mchungaji masanilo leo umesexual molest watoto wangapi?na wanakwaya je?..bgup kwa kuwasambazia kondoo wa bwana mijiukimwi hahaha mtamalizana nyinyi wenyewe.
Au we ni GAY afu rev wa kike?HONGERA MAMA MCHUNGAJI MASANILO
Jamani, hivi what is going on na matamko haya?
kumekucha!! Inferiority complex is still hunting these guys, they blame RC, they defend JK who appointed RC!!! what a joke!
Whats wrong with inferior Islamic? Waislamu kweli mnatakiwa mjitenge na kukemea Muislamu mwingine kutumia dini yenu namna hii. Kitu hatari ni kwamba hii doctrine itakuwa na kuzaa chuki na matunda ni radicalization ndani ya uislamu. Tumeona hii trend sehemu nyingine watu fulani kuwajaza watu wengine maneno na kuunganisha na dini fulani, ni hatari. Ushahidi nilionao Tanzania, leo hakuna Mtanzania yeyote yule aneye baguliwa kupitia dini wala kabila katika kupata kazi na huduma. In Tanzania we are enjoying harmonic environmental tulionayo siku nyingi.
Na ajiandae na kapu la kutosha kuvuna hayo matunda maana amepalilia na kukuzia mbolea nyingi sana.
Terrefied
Terrefied
Duh..... hii ina maana gani.......?
mkiitwa vilaza... mnabisha.....
Haya mambo si bure, naona sasa kuna watu wanatumiwa kugawa Watanzania kwa ajili ya uongozi 2015. Siamini kama kweli hili la mambo ya kidini kukamata kasi ni akili za Watanzania, lazima litakuwa lina akili za wachache (wahamiaji wa upendo waTZ) kwa kupandikiza kwa kundi la watu wachache. Naogopa kama ni kweli, na kama ni kweli basi upande wa pili ukichukua hatua kama hiyo sijui nini kitatokea. Busara iwangie viongozi wetu wa dini wakemee hv vijikundi kwa manufaa ya nchi yetu na hili walifanye katika umoja wao na akili zao.
Mungu ibariki Tanzania, mungu waepushe hawa Wadanganyika na akili finyu za kubebewa!
Je hiyo si ni demokrasia au?
Au Waislamu(kwa umoja wao, au kwa wingi wao) hawana haki ya kutoa maoni yao katika nchi hii, hata kama hamyapendi?
Ni kifungu gani cha Kanuni za Sheria au Katiba walichovunja kwa kutoa maoni yao?
Mimi nawashangaa baadhi ya WanaJF kujifanya wameenda shule, kumbe wameishia kupata vyeti tu lakini kuelimika hawajaelimika, utamzuiaje mtanzania kutoa maoni yake katika nchi hii ilhali havunji sheria za nchi?, huu ni ugreat thinker wa namna gani!!
Waislamu siyo makondoo, ni watu wenye msimamo usioyumba, wakitaka kitu wanaweza kukitafuta mpaka wakakipata. msidhani kwa dharau zenu, mtaweza kuwarudisha nyuma kudai au kusimamia kile wanachokiamini bila kuvunja sheria za nchi.
Falsafa mojawapo ya uislamu ni kutokumuonea mtu, na kutokubali kuonewa kamwe.
Msidhani kwa vijembe vyenu, dharau zenu, matusi yenu, mtawanyamazisha Waislamu wasidai haki zao, au kutolea matamko yale ambayo wanayathamini kwa dhati hata kama wewe unayadharau.
Waislamu hawatanyamaza katika nchi hii mpaka serikali itakapojibu hoja na madai yao kwa ushahidi ulio maridhawa kabisa kwamba hakuna ubaguzi wowote ule FORMAL au INFORMAL juu ya waislamu.
Ni Haki kwa Mwananchi yoyote kutaka majibu kutoka kwa viongozi wao, na ni heshima kwa viongozi kutoa majibu yenye kujitosheleza. hii haki ni watu, either awe mmoja mmoja, au katika wingi wao.
Na kwa wale Wanasiasa wanaojifanya kufumba macho juu ya kuwepo kwa udini Tanzania, ni lazima mtafute dawa ya hili tatizo, hili tatizo lipo, na hisia kwa wananchi kuhusu huu udini upo, mfano mzuri ni matamko haya ya waislamu, mkijifanya kukaa kwenye comfort zone na kufumba macho msione hili tatizo, Kamwe hamtakuja kuukwaa uongozi wa juu wa Taifa hili, kwa sababu mko nje ya reality, na kundi moja la kijamii katika nchi hii litawaona kama mnaojaribu kulinda status quo ili kunufaisha kundi linalowaunga mkono.
HAKUNA MWENYE HAKI YA KUSILENCE WAISLAMU, NI HAKI YAO KUTOA MAONI YAO, MATAMKO YAO, HOJA ZAO, HATA KAMA HAMZIPENDI.
Watu wa vibaragarashia na kanzu kuu kuu wakikosa hoja huanza matusi kama mtume wao!
Sakata la UDINI hapa nchini, linanikumbusha ngoma ya wazaramo aina ya mdundiko , ni ngoma niipendayo toka nikiwa mdogo japo mimi si mzaramo. Ngoma hii inapigwa huku wapigaji na wachezaji wakitembea (ingawa hata uwanjani upigwa pia) inaweza kuanzia mbagala lakini shughuli inaenda kufanyikia Bunju. Wapigaji wanaanza kuipiga na kuanza safari ya kuelekea Bunju toka mbagala wachezaji uingia ktk msafara, hata watu wasiohusika na ngoma hiyo uingia kucheza pindi ipitapo mtaani kwao wakati wa safari, hivyo wakina mama macho yote huwa kwa watoto maana wakilogwa tu kujitumbukiza ktk ngoma hiyo watakuwa wameshapotea. maana wakijatahamaki wapo BUNJU.
Sakata la Udini alilolianzisha JK ili kufanikisha ushindi wake sasa limegeuka kuwa ngoma ya mdundiko kila lipitapo watu wanajitosa kucheza bila kujua ngoma hiyo inaelekea wapi. Muanzisha ngoma yeye safari yake imeshafika IKULU lakini wachezaji wamenogewa wanaendelea na safari maana wameshapotea, mama zao hawakuwashika mikono kuwazuia wasiingie ktk ngoma hiyo na wao hawajagungua kuwa wamepotea hivyo wanaendelea tu kuimba na kucheza, na msafara unaendelea wakija tahamaki mambo yameshakuwa kama SOMALIA.
JK kwa ufahamu wake hakutambua athari za kupandikiza mbegu za udini ktk nchi, yeye alidhani ni jambo rahisi tu uchaguzi ukiisha mambo yamekwisha kumbe ...................
MWL NYERERE alisema mwanasiasa akifilisika kisiasa atanza kutumia UDINI na UKABILA kuwa mtaji wake na akabainisha wazi wanasiasa wa jinsi hiyo ni wakuwapuuza........................ Hivyo tutafakari kisha tuchukue hatua
zamani nilkuwa nakuona una busara,kumbe bure kabisa