Black Devil
Member
- Mar 16, 2011
- 58
- 8
Crap...
Amma kweli, mfamaji haishi kutapatapa, na sasa tunahakikisha wakuja haishiki tena hii nchi. Halafu mkaungane na wooote wanaotuzunguka. Kuna zaidi ya Mkatoliki?
Nyie mnaojidai wakiristo ambao sio wakatoliki, niambieni, ni yupi kati yenu asiye Mkatoliki akashika uongozi wa nchi yoyote kati ya hizi za Afrika Mashariki? Mkisha jibu ntawapa mkasa.