Waionaje Kili Stars ya kina Julio/Master?

He! Mkuu, yaani hutaki kabisa kukubali kuwa Boniface Mkwasa"Master" kaku'prove wrong'! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Mkwasa namkubali,ila tatizo alikubali 'kukaliwa' na Julio,matokeo akachagua timu mbovu ya wachezaji wengi wa Simba.
 
Jionee haya kwenye Kili Stars:
1.Juma Kaseja-Simba
2.Shomari Kapombe-Simba
3.Juma Nyoso-Simba
4.Juma Jabu-Simba
5.Mwinyi Kazimoto-Simba
6.Haruna Moshi-Simba
7.Ramadhani Chombo-Azam/Simba
8.Saidi Mauluid-Simba/Yanga
9.Nurdin Bakari-Simba/Yanga
10.Mbwana Samatta-TP Mazembe/Simba
11.Mussa Mgosi-DC Motema Pembe/Simba
12Said Morad-Azam/Simba
13.Shaaban Nditi-Mtibwa/Simba
14.Wachezaji wa Coastal-Julio/Simba
Kwa nini watu wasizomee timu ya upendeleo ya Julio?

Kumbe timu ilikuwa hivi! Akh! Lazima watu wazomee. Na nasikia Julio aliwahi kuropoka kwamba Yanga hawachagui kwa kuwa hawana vipaji! Labda amchague Mwape na Asamoah. Kauli na matendo ya Julio pia vili haribu umoja uliotakikana.
 
wachezaji wetu hata pasi hawawezi kupiga! Mashuti hawajajifunza! Samaki mkunje angali mbichi bwana! Zanzibar kwenda Egypt kumewasaidia..umeona pasi,uwezo wa kujiamini wawapo na mpira? Nawaombea siku moja wawe na uwakilishi wa peke yao FIFA!!!! Ikiwezekana sisi ndo tuondolewe.. Kwanza timu yetu haikujulikana ilikuwa ya nchi gani! Jezi za timu zote zilitangaza nchi yao! Kwa maandishi makubwa! Rwanda,Uganda,Zanzibar,n.k. Sisi je?
 
Kumbe timu ilikuwa hivi! Akh! Lazima watu wazomee. Na nasikia Julio aliwahi kuropoka kwamba Yanga hawachagui kwa kuwa hawana vipaji! Labda amchague Mwape na Asamoah. Kauli na matendo ya Julio pia vili haribu umoja uliotakikana.
Kwa kifupi Julio is not national team coach material.
 
Back
Top Bottom