TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Semi final tutaona kama wameboresha kiwango.
He! Mkuu, yaani hutaki kabisa kukubali kuwa Boniface Mkwasa"Master" kaku'prove wrong'! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Semi final tutaona kama wameboresha kiwango.
Mkwasa namkubali,ila tatizo alikubali 'kukaliwa' na Julio,matokeo akachagua timu mbovu ya wachezaji wengi wa Simba.He! Mkuu, yaani hutaki kabisa kukubali kuwa Boniface Mkwasa"Master" kaku'prove wrong'! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Jionee haya kwenye Kili Stars:
1.Juma Kaseja-Simba
2.Shomari Kapombe-Simba
3.Juma Nyoso-Simba
4.Juma Jabu-Simba
5.Mwinyi Kazimoto-Simba
6.Haruna Moshi-Simba
7.Ramadhani Chombo-Azam/Simba
8.Saidi Mauluid-Simba/Yanga
9.Nurdin Bakari-Simba/Yanga
10.Mbwana Samatta-TP Mazembe/Simba
11.Mussa Mgosi-DC Motema Pembe/Simba
12Said Morad-Azam/Simba
13.Shaaban Nditi-Mtibwa/Simba
14.Wachezaji wa Coastal-Julio/Simba
Kwa nini watu wasizomee timu ya upendeleo ya Julio?
Kwa kifupi Julio is not national team coach material.Kumbe timu ilikuwa hivi! Akh! Lazima watu wazomee. Na nasikia Julio aliwahi kuropoka kwamba Yanga hawachagui kwa kuwa hawana vipaji! Labda amchague Mwape na Asamoah. Kauli na matendo ya Julio pia vili haribu umoja uliotakikana.