Dada mbasha mimi nikiwa kama mmoja kati ya fan wako nimesikitishwa sana na kitendo cha wewe kukubali kuchanganya siasa na dini wakati hata yesu mwenyewe hakupenda vitu ivyo vichanganywe. nakumbuka alisema vya kaisari mpe kaisari na mungu mpe mungu.
how can submerge urself like that sisiter, u have disapointed alot of ur fans and beginning to wonder what will happen next. are u goint to be Pastor Chrispher Mtikila. manake hatima ya kuchanganya mambo haya mawili siku zote inaishiaga kubaya.
CHONDECHONDE
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kama angeimbia Chadema ungempongeza kwavile ni chama cha wakatoliki,lakini kaimbia ccm chama cha wajanja unaona soh,huyo anaona ....Mbona padre Slaa an Rev.Mtu-killer wanagombea urais kwani si kuchanganya dini na siasa?Kuweni wakweli na si kushabikia upuuuuziiiiiiiiiiii.Sema ndio palipo ndio na Sio pasipo sio!Dada mbasha mimi nikiwa kama mmoja kati ya fan wako nimesikitishwa sana na kitendo cha wewe kukubali kuchanganya siasa na dini wakati hata yesu mwenyewe hakupenda vitu ivyo vichanganywe. nakumbuka alisema vya kaisari mpe kaisari na mungu mpe mungu.
how can submerge urself like that sisiter, u have disapointed alot of ur fans and beginning to wonder what will happen next. are u goint to be Pastor Chrispher Mtikila. manake hatima ya kuchanganya mambo haya mawili siku zote inaishiaga kubaya.
CHONDECHONDE
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kama angeimbia Chadema ungempongeza kwavile ni chama cha wakatoliki,lakini kaimbia ccm chama cha wajanja unaona soh,huyo anaona ....Mbona padre Slaa an Rev.Mtu-killer wanagombea urais kwani si kuchanganya dini na siasa?Kuweni wakweli na si kushabikia upuuuuziiiiiiiiiiii.Sema ndio palipo ndio na Sio pasipo sio!
Kama angeimbia Chadema ungempongeza kwavile ni chama cha wakatoliki,lakini kaimbia ccm chama cha wajanja unaona soh,huyo anaona ....Mbona padre Slaa an Rev.Mtu-killer wanagombea urais kwani si kuchanganya dini na siasa?Kuweni wakweli na si kushabikia upuuuuziiiiiiiiiiii.Sema ndio palipo ndio na Sio pasipo sio!
Kwani ni dhehebu gani huyu na kweli ameokoka? Basi walokole wa siku hizi kiboko!!!
Kuhusu Slaa, yeye amechagua fungu la siasa.
Ni mjukuu wa Nchungaji Mozes Kulola wa Tanzania Assemblies of GOD muulizeni askofu wake mkuu Dr Barnabas Mtokambali ameridhia hali hiyo?Kwani ni dhehebu gani huyu na kweli ameokoka? Basi walokole wa siku hizi kiboko!!!
Kuhusu Slaa, yeye amechagua fungu la siasa.