kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
pumba? kama unajua kila mtu ana uelewa wake sasa shaka yako ni ipi kwny uelewa wangu juu ya rc? mbona la masanamu hujasema, unalopoka eti imani ndo itamuingza mtu mbinguni kwahiyo hata washirikina, waabudu sanamu wote tu wataingia mbinguni ksa wana imani na kle wanachokiabudu? ni kweli zpo baadhi ya nymbo za rc znamtukuza Mungu bt huwezi lnganisha na nymbo za sda hata kidogo, pia uache kuleta tabia za kwny familia yako humu za kuona ktu ambacho hakipo kwny ulengwa wako we useme pumba.
heshimu imani za wenzio.rc imekukosea nini?hizo ndio nyimbo zetu za kumtukuza Mungu hata ukitukana,,na ndio tuna masanamu.....so whay??