Si kuamini kama Mwigulu naye muilboru kwasababu hakuna Muilboru mchemkaji kama Mwigulu.
Mimi bweni langu lilikuwa Rungwe je wewe bweni lilikuwa lipi?
Wakati najiunga ilboru 1997 mwigulu alikuwa form four nadhani na alikuwa kiranja wakati Gaki akiwa ndio kaka mkuu.Gaki alikuwa mnoko sana mpaka waalimu walikuwa wanamuogopa!Na mwigulu alikuwa mnoko sema alikuwa haongei sana maana siunajua Kiingereza tena kwenye matangazo ya asubuhi hahaha.Na Advance mwigulu nadhani alienda kitu kama mazengo au shycom.mimi nimesoma ilboru 1997-2000 bweni langu lilikuwa Hanang.kuna mtu anajua Gaki yuko wapi?jamaa alikuwa mkali kwenye kupanga hoja kamaBenjamine william Mkapa.
na sisi wa Azania High School tusemaje?