Mbali ya hayo ya night support, supu ya pweza ni tamu jamani.
Wakuu supu ya pweza siku hizi inatwa night support
Kazi kwenu mnaohitaji sapoti wakati wa usiku teh teh teeh
View attachment 45454
Ila kuwa natural ni vema zaidi kuliko manjonjo coz siku ukiyakosa utaumbuka mazima....na hakuna fedheha kubwa km kushindwa kazi za nyumbani usiku.+ konyagi hy mechi ya....................e!!! Ya kweli lkn????
Mimi nilikatiza mitaa ya ilala na mshkaji anakaa pande hizo, akanambia tushtue supu kidogo yapweza
wakati tunaendele kila anaekuja anaagiza naomba "night support". kuuliza nikaambiwa naam kwani we hujui kuwa hii ni night support