Aliekuwa mgombea wa udiwani kwenye uchaguzi wa mwaka 2010 Bwana Celisi Mosha kwa tiketi ya cmm tarafa ya Vunjo (kilema kati) amejeruhiwa na watu wasiojulikana kwa kumkata sehemu kubwa ya mwili wake pamoja na kumchoma sindano yenye sumu usiku wa kuamkiableo.Bwana Mosha ni mjasiriamali na alikuwa anaelekea mnadani kwa ajili ya ununuzi wa ngombe .Hivyo basi ukiwa kama mwana Vunjo unaombwa mchango wako ili kuweza kufanikisha ujenzi wa kituo cha polisi ambacho kitakuwa kinatoa huduma kwa wanavunjo wote bila kujali itakadi zetu.Zinahitajika takribani shilingi milioni hamsini ili kuweza kamalizi ujenzi wa hiki kituo cha polisi pale kilema kati karibia na hospitali teule ya Vunjo.Mwanavunjo yoyote mwenye hamasa ya kutaka kuchangia anaombwa kuwasilisha mchango wake kupitia account number 0550124315 Benki ya Akiba commercial Bank ( Kilema Division Develipment Trust Fund)