Waholanzi watengeneza virusi vya kuua wanadamu

MpigaKura

JF-Expert Member
Jan 25, 2007
384
101
Wataalamu wa Uholanzi wametengeneza virusi vinavyotishia maisha ya nusu ya watu wote duniani. Habari hiyo imefichuliwa na gazeti la Corriere della Sera la Italia ambalo limetangaza kuwa wahakiki wa Kituo cha Tiba cha Erasmus nchini Uholanzi wametengeneza virusi vya kuambukiza vinavyoweza kuua nusu ya watu wote duniani.

Gazeti hilo limeandika kuwa virusi hivyo ni aina ya virusi vya mafua ya ndege vya H5N1 na kwamba vina uwezo wa kuambukizwa kwa kasi kubwa kwa mamilioni ya watu na kuenea haraka kote duniani.

Mtaalamu wa Kituo cha Tiba cha Erasmus nchini Uholanzi Ron Fouchier amesema kuwa kirusi hicho kimepatikana kwa kufanya mabadiliko ya kijeni katika kirusi cha H5N1. Ameongeza kuwa kirusi hicho ni miongoni mwa virusi hatari mno ambavyo vimekwishatengenezwa hadi sasa duniani.

Utengenezaji wa kirusi hicho hatari kwa maisha ya mwanadamu umezusha wasiwasi mkubwa huku wataalamu wakihoji hekima na sababu ya kupoteza mamilioni ya fedha kwa ajili ya kufanya utafiti kama huo.
--------------------------------------------------------------------------------------------
Dutch Scientists Create Highly Contagious Super-Influenza Virus

According to DoctorTipster.com a Dutch scientist successfully created a genetically modified strain of the Influenza virus. Ron Fouchier of the Erasmus Medical Center Rotterdam, Netherlands, has managed to created a super-contagious virus that is said to have the potential to kill-off half the world’s population. This sounds like a James Bond film.

Why on earth would someone fund such research? What were they hoping to accomplish? Now there’s a debate in the scientific community about what to do with this secret recipe.

I understand the need to learn everything we can about viruses, but this type of information could threaten the world’s population if fallen into the wrong hands. I’m not sure if it should have been published to begin with. Bioterrorism is a harsh reality in this world. I just hope nothing bad comes of this.

A Dutch researcher has created a virus with the potential to kill half of the planet’s population. Now, researchers and experts in bioterrorism debate whether it is a good idea to publish the virus creation ”recipe”. However, several voices argue that such research should have not happened in the first place.

The virus is a strain of avian influenza H5N1 genetically modified to be extremely contagious. It was created by researcher Ron Fouchier of the Erasmus Medical Center Rotterdam, Netherlands. The work was first presented at a conference dedicated to influenza, that took place in September in Malta.

Avian influenza emerged in Asia about 10 years ago. Since then there were fewer than 600 infection cases reported in humans. On the other hand, Fouchier’s genetically modified strain is extremely contagious and dangerous, killing about 50% of infected patients. The former strain did not represent a global threat, as transmission from human to human is rare. Or, at least, it was before Fouchier genetically modified it.

Fouchier and his team used a pair of ferrets for testing because they react in similar ways as humans, when exposed to the flu virus. Researchers transmitted the deadly virus from one ferret to another, in order to make the virus more adaptable to a new host. After 10 generations, the virus has mutated allowing it to spread through air. The result was that ferrets could get sick just being near another infected animal.

A genetic study showed that new virus strain presented five mutations, and all could be also observed in nature - but only separately, not all five combined. Fouchier’s strain is as contagious as seasonal human influenza, which kills tens of thousands of people, just that, much more lethal.

Read more: http://www.ghosttheory.com/2011/11/29/dutch-scientists-create-highly-contagious-super-influenza-virus
 
Dunia hii tunaishi kwa mashaka sana,sasa sijui ni kitu gani kimewafanya watengeneze hao wadudu?
 
mfano siku moja chupa inayotumika kuhifadhia hao wadudu ipasuke bahati mbaya afu wadudu watinge kitaa...duh!!:pray:
 
Ngoja huo uvumbuzi uangukie mikononi mwa ALShababy au Jamaa za Osama au Maadui wa Israel.
Izo ela si zingetumika kuwapa watu waishio chini ya dola moja?
 
kwan hao wazungu wanatafta nini hasa?

Yaani wakiuwa watu wao waliotengeneza hao wadudu wanafaidika na nini ?
 
kwan hao wazungu wanatafta nini hasa?

Yaani wakiuwa watu wao waliotengeneza hao wadudu wanafaidika na nini ?
Kugundua/kutengeneza ugonjwa kwao pia ni fursa mkuu. Maana lazima watagundua na tiba/chanjo yake pia.
 
Kugundua/kutengeneza ugonjwa kwao pia ni fursa mkuu. Maana lazima watagundua na tiba/chanjo yake pia.
Wasisahau kikivuja kwa bahati mbaya wahanga wa kwanza ni wao walio karibu na kichupa hicho. Sie tutafuata baadaye.
 
Manina na kitaanza kuwaua wao kama korona halafu weusi tunadunda tu.

Jogoo hafi kwa utitiri
 
Back
Top Bottom