Wahitimu wa vyuo walioko mtaani

sio kujipa moyo.... Ndio ukweli huo. Nimeangalia future na nikaisoma vizuri. Nikimaliza degree naunganisha Masters.

teh teh teh,kweli wewe hujui haya mambo yanaendaje mkuu!!ebu maliza kwanza hyo masuala yako ndo akili itafunguka..
 
teh teh teh,kweli wewe hujui haya mambo yanaendaje mkuu!!ebu maliza kwanza hyo masuala yako ndo akili itafunguka..

utashangaa, lakini nimemwona aliyefanya hivyo. Cha msingi ni kupiga kitabu, na kuondoka na GPA za maana. Maana ninataka hata nje ya nchi nikasome. So...ni mipango tu.
 
Acheni kukatisha watu moyo, kila program ina watu wamekaa kitaa mpaka leo, sasa ipi bora? Cha msingi mtu kusoma unachokipenda na kuhakikisha unafaulu vizuri na kupiga GPA ya maana. Japokuwa kuna vitu kama bahati na kujuana....katika kuomba kazi but inabidi mtu ukomae tu. Ni changamoto.
 
Serikali yetu haina mpango maalumu wa kutengeneza nafasi za ajira ingawa kuna wizara ya Kazi na Ajira.Kabla ya kujiunga na chuo hapa Tanzania ni vema mhusika akafanya japo utafiti kidogo ili kujua sekta zinazotoa ajira. Ajira binafsi ni ngumu kwa sababu mitaala yetu haiwaandai vijana wetu kujiajiri pia mitaji ni tatizo kwani mpaka uwe na hati ya nyumba, shamba, nk. Nchi hii ngumu ati!

hah sasa kama msomi kama wewe cju dugrui holder au diploma unataka serikali ikupe ajira au uwajiliwe elimu yako imekusaidia nini?Hapo darasa la saba,form 4 na six wasemeje?Umesoma tena kwa kutumia kama sikosei kodi ya wananchi na bado unataka wakuajiri na kukulipa kutumia kodi zetu badala ya wewe kuwaajiri wao!UWO NI WIZI.!!Jiajiri na uwajiri wengine bwana.
 
hah sasa kama msomi kama wewe cju dugrui holder au diploma unataka serikali ikupe ajira au uwajiliwe elimu yako imekusaidia nini?Hapo darasa la saba,form 4 na six wasemeje?Umesoma tena kwa kutumia kama sikosei kodi ya wananchi na bado unataka wakuajiri na kukulipa kutumia kodi zetu badala ya wewe kuwaajiri wao!UWO NI WIZI.!!Jiajiri na uwajiri wengine bwana.

wewe umetoroka hodi ya vichaa nini? Hivi unajua procedures za mtu kufungua company? Cha kwanza mpaka ufanyie usajiri na sio bure,kingine inahitajika crew ambayo ni committed na lazima fund ya kutosha iwepo bila kusahau jengo la kufanyia shughuri za kampuni.Sasa kwa gladuate wa chuo atapataje pesa kama initial capital ya kutimiza yote hayo na mengine zaidi.Au unataka wapige deal za illegal maana mabenki yanakaba kweli.
 
utashangaa, lakini nimemwona aliyefanya hivyo. Cha msingi ni kupiga kitabu, na kuondoka na GPA za maana. Maana ninataka hata nje ya nchi nikasome. So...ni mipango tu.

inaonesha uko 1st year mkuu?
 
hah sasa kama msomi kama wewe cju dugrui holder au diploma unataka serikali ikupe ajira au uwajiliwe elimu yako imekusaidia nini?Hapo darasa la saba,form 4 na six wasemeje?Umesoma tena kwa kutumia kama sikosei kodi ya wananchi na bado unataka wakuajiri na kukulipa kutumia kodi zetu badala ya wewe kuwaajiri wao!UWO NI WIZI.!!Jiajiri na uwajiri wengine bwana.

we utakua na malaria kali.hata huko ulaya serikali huwa zinawawezesha wahitimu wa vyuo kwa kuwaajiri au kuwapa nyenzo za kujiajiri.usichangie tu ili nawe uonekane umechangia ndugu yangu.
 
Serikali imewasaidia kwa kuwasomesha bure sasa mnataka nini tena.!Eti mtu anamaliza chuo hawezi kuyatumia mazingira anakoishi kuanzisha ajira yake binafsi.Nimeshangaa mwana Jf mmoja anasema utaanzishaje kampuni kama hauna mtaji!Hivi kwanini mnawaza kuanza na makubwa hivyo badara ya kuanza na madogo ndo yaje yawe makubwa ndo maana mkipata kazi mnaiba mijizi tu.
 
Serikali imewasaidia kwa kuwasomesha bure sasa mnataka nini tena.!Eti mtu anamaliza chuo hawezi kuyatumia mazingira anakoishi kuanzisha ajira yake binafsi.Nimeshangaa mwana Jf mmoja anasema utaanzishaje kampuni kama hauna mtaji!Hivi kwanini mnawaza kuanza na makubwa hivyo badara ya kuanza na madogo ndo yaje yawe makubwa ndo maana mkipata kazi mnaiba mijizi tu.

Point noted and taken
 
Nchini Tanzania inaaminika kuwa kuna wasomi wachache,kwa tatizo ili la wasomi wachache basi hao waliopo wangekuwa wanatumika kwa fujo sana katika maeneo mbalimbali yanayoitaji taaluma.

Sasa cha kushangaza kwanini nchi yenye wasomi wachache, kati ya hao wachache wengi wanasemekana hawana ajira maalumu(wanafanya kazi kwenye sekta isiyo rasmi).Tatizo ni nini la kutokuajiri wasomi? Au wanachosoma hakina maana kwa taifa?

inawezekana nchi yetu ina wasomi wachache ukilinganisha na nchi nyingine. lakini kuwa na idadi ndogo ya wasomi haimaanishi kuwa wasomi wote watapata kazi. kazi hupatikana ikiwa kuna shghuli nyingi za uzalishaji. kama tuna zalisha manake tuhitaji watu wengi wa kufanya kazi ktk kampuni za uzalishaji. kwa sasa nchi yetu haizalishi inategemea kuingiza mali toka nje , sasa kazi haziwezi kupatikana. kwa mfano kufa kwa viwanda vya nguo kumepoteza ajira nyingi sana, kila kiwanda kinatakiwa kiwe na wanasheria, wahasibu, nk. lakini leo tuna vaa mitumba na nguo toka china manake kazi zimepotea hapa. hatuna viwanda vya kusindika madawa kwa mfano, manake tusitarajie ajira kwa wataalamu wa madawa , na hata hao wa fani nyingine ambazo zitasaidia kuendesha hivyo viwanda.

kwahiyo tatizo si idadi ya wasomi, tatizo ni kazi zenyewe hazipo kutokana na kukosekana shughuli za uzalishaji
 
inawezekana nchi yetu ina wasomi wachache ukilinganisha na nchi nyingine. lakini kuwa na idadi ndogo ya wasomi haimaanishi kuwa wasomi wote watapata kazi. kazi hupatikana ikiwa kuna shghuli nyingi za uzalishaji. kama tuna zalisha manake tuhitaji watu wengi wa kufanya kazi ktk kampuni za uzalishaji. kwa sasa nchi yetu haizalishi inategemea kuingiza mali toka nje , sasa kazi haziwezi kupatikana. kwa mfano kufa kwa viwanda vya nguo kumepoteza ajira nyingi sana, kila kiwanda kinatakiwa kiwe na wanasheria, wahasibu, nk. lakini leo tuna vaa mitumba na nguo toka china manake kazi zimepotea hapa. hatuna viwanda vya kusindika madawa kwa mfano, manake tusitarajie ajira kwa wataalamu wa madawa , na hata hao wa fani nyingine ambazo zitasaidia kuendesha hivyo viwanda.

kwahiyo tatizo si idadi ya wasomi, tatizo ni kazi zenyewe hazipo kutokana na kukosekana shughuli za uzalishaji

umekuja na sababu nyingine kubwa ya wasomi kula bench ambayo inaonekana wazi kabisa,viwanda vya nguo kama urafiki na vingine vingi vingekuwa msaada mkubwa wa kutoa ajira kwa wahitimu lakini ndio vimekufa,Shughuri za uzalishaji zinazoendelea hapa nchini zimeachwa kwa kiwango kikubwa kwa mataasisi binafsi na mengi ni ya kigeni na ajira zao ndio hazieleweki.Nini hatima ya watoto wa wakulima waliopigana na NECTA kufika chuo halafu wanarudi kijijini kukaa na mavyeti?
 
Kitu cha muhimu sana ni networking(kujuana) na experience kwa hiyo kama inawezekana kutafuta internship au part-time inayohusiana na unachosoma WAKATI BADO UPO SHULE ni vizuri sana.

Kama unachosoma ni kitu ambacho ni creative au rahisi kutengeneza mwenyewe bila funds kubwa ni vizuri uwe na portfolio ya vitu ulivyotengeneza kwa mfano kama ni programmer uwe na project zako ambazo umetengeneza, kama ni web designer uwe na site ulizodesign etc.

East Africa iko rich sana kwenye Archaeology kwa sababu ya Rift Valley, kuna eneo huko Kenya wameanza kuchimba akina Dr. Leakey mpaka leo wanachimba na hakuna dalili za kufikia mwisho, so usihofu sana.
 
someni corse zenye kutoa huduma ya afya... nurse , udactari........

lakini nasikitika wanaume wengi wa kibongo wana mawazo nurse lazima awe m.mke , kusema kweli ma nurse wa kiume wanahitajika sana ... tuangalie kwa jicho la pili hii ... huku ughaibuni nurses wa kiume wamejaa Tele ...
 
Kazi ziko nyingi sana kama utaamua kuvaa uso wa mbuzi, nitatoa mifano michache ya kazi za kujiajiri ambazo bado hazina wenyewe, kwa mfano ufugaji wa chura (tuna chura wazuri Mtwara for export),ziko pili pili mtama hapo Morogoro, kuna nyuki wasio uma hapo ktkt ya nchi hawana mtu,hapo Morogoro kuna samaki kafugeni,fungueni vituo vya huduma kwa watoto mitaani kwenu.

Kuna shule hazina walimu,kafundishe tuition,kila siku wanatangaza nafasi za Ma- VEO, mbona hamuombi. Moja ya matatizo ya ajira kuwa haba ni wote kubanana Dsm na miji mingine mikubwa, huku maporini tuliko wenzenu kazi ziko nyingi ajabu, hata vyeti havihitajiki huku vijijini, wewe njoo huku kijijini, anzia chini kisha upande kidogo kidogo.

Nina jamaa hapa wilayani alianza kama Revenue collector wa kata na sasa yuko halimashauri ndani ya muda mfupi, lakini alikubali kuanzia chini kabisa bila kujali vyeti vyake.
 
Back
Top Bottom