Nchini Tanzania inaaminika kuwa kuna wasomi wachache,kwa tatizo ili la wasomi wachache basi hao waliopo wangekuwa wanatumika kwa fujo sana katika maeneo mbalimbali yanayoitaji taaluma.
Sasa cha kushangaza kwanini nchi yenye wasomi wachache, kati ya hao wachache wengi wanasemekana hawana ajira maalumu(wanafanya kazi kwenye sekta isiyo rasmi).Tatizo ni nini la kutokuajiri wasomi? Au wanachosoma hakina maana kwa taifa?
Sasa cha kushangaza kwanini nchi yenye wasomi wachache, kati ya hao wachache wengi wanasemekana hawana ajira maalumu(wanafanya kazi kwenye sekta isiyo rasmi).Tatizo ni nini la kutokuajiri wasomi? Au wanachosoma hakina maana kwa taifa?