Wahitimu wa vyuo walioko mtaani

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Nchini Tanzania inaaminika kuwa kuna wasomi wachache,kwa tatizo ili la wasomi wachache basi hao waliopo wangekuwa wanatumika kwa fujo sana katika maeneo mbalimbali yanayoitaji taaluma.

Sasa cha kushangaza kwanini nchi yenye wasomi wachache, kati ya hao wachache wengi wanasemekana hawana ajira maalumu(wanafanya kazi kwenye sekta isiyo rasmi).Tatizo ni nini la kutokuajiri wasomi? Au wanachosoma hakina maana kwa taifa?
 
Serikali yetu haina mpango maalumu wa kutengeneza nafasi za ajira ingawa kuna wizara ya Kazi na Ajira.Kabla ya kujiunga na chuo hapa Tanzania ni vema mhusika akafanya japo utafiti kidogo ili kujua sekta zinazotoa ajira. Ajira binafsi ni ngumu kwa sababu mitaala yetu haiwaandai vijana wetu kujiajiri pia mitaji ni tatizo kwani mpaka uwe na hati ya nyumba, shamba, nk. Nchi hii ngumu ati!
 
Serikali yetu haina mpango maalumu wa kutengeneza nafasi za ajira ingawa kuna wizara ya Kazi na Ajira.Kabla ya kujiunga na chuo hapa Tanzania ni vema mhusika akafanya japo utafiti kidogo ili kujua sekta zinazotoa ajira. Ajira binafsi ni ngumu kwa sababu mitaala yetu haiwaandai vijana wetu kujiajiri pia mitaji ni tatizo kwani mpaka uwe na hati ya nyumba, shamba, nk. Nchi hii ngumu ati!

umetoa maelezo mazuri na yenye kueleweka,lakini katika swala la kufanya tafiti kabla ya mwanafunzi kujiunga na chuo ilo litawezekana kwa waliopo mijini tu,ila tukiongelea wale ndugu zetu wa mbali na miji hizi taarifa za taaluma fulani kukosa fursa ya ajira hawana kabisa,kwa ushauri wako mkuu ni taaluma gani ambazo bado zina vipaumbele katika soko la ajira kwa uharaka?
 
hahaha bora nicheke,mwenzio nimemaliza diploma ya electonics & talecom engineering mwezi wa nne sasa kila sehemu ukienda kazi hamna sasa nampango wa kufanya kazi yeyote hata kuuza duka tu ntauza.ha ha ha ha hi ndo bongo ndugu
mi nilijua fani ya engineering ningepona kumbe nilipata tabu bure tu kusoma mambo magumu tu,dah ndo ishakula kwangu
 
hahaha bora nicheke,mwenzio nimemaliza diploma ya electonics & talecom engineering mwezi wa nne sasa kila sehemu ukienda kazi hamna sasa nampango wa kufanya kazi yeyote hata kuuza duka tu ntauza.ha ha ha ha hi ndo bongo ndugu
mi nilijua fani ya engineering ningepona kumbe nilipata tabu bure tu kusoma mambo magumu tu,dah ndo ishakula kwangu

kwa hali hii iliopo hivi sasa inabidi wanafunzi wajikite kwenye kazi za kuhudumia jamii(wito) kama nurses na maofisa ogani,Maana haya macourse yetu ya biashara na uhandisi hayatupi deal kabisa,Tenda kubwakubwa za serikali wanapewa wajapani,sasa sababu ya kufundisha uhandisi Tanzania ni nini? Makampuni ya simu nayo yanakaza hata field na ajira zimekuwa replaced na machines.Fani nazoona bado zinaajira za uhakika ni udaktari na maafisa ardhi na watu wa kilimo.
 
Hebu nipeni sababu kuu zinazopelekea watu kusugua benchi hawana kazi wakimaliza chuo.
 
Hebu nipeni sababu kuu zinazopelekea watu kusugua benchi hawana kazi wakimaliza chuo.

sababu kuu zinazopelekea watu kusugua bench nitazielezea kwa makundi kama ifuatavyo;

1.mfumo mpya wa kuajiri uliongia Tanzania,kwa mfumo huu wa KAMLETE umesababisha vijana wengi kumaliza chuo na kukaa nyumbani huku taaluma zao zikizidi kufifia,hili limekuwa jambo la kawaida sana.Kama hauna mtu wa kukushika mkono basi hapo inategemea na ukali wa nyota ila sio uwezo kabisa utakao kupa ajira.

2.kiwango cha ufaulu wa muhitimu,hapa naongelea GPA,mtu akiwa amepata GPA kubwa anakuwa na nafasi pana katika mchakato wa ajira maana anaweza kupata fursa hata ya kufundisha chuo na vipaumbele vingine vingi.Ila yule aliye pata gpa ya kawaida anakuwa katika hatari kubwa ya kukosa kazi.

3.Course aliyoisomea chuoni,hapa ndio kuna tatizo kubwa,unakuta mtu anachagua course pasipo kufanya tafiti za kutosha juu ya mahitaji ya hiyo course kwenye soko la ajira,kuna course zingine zinaitajiwa na makampuni machache tu na hayo makampuni ajira yanatoa finyu may be kwa mwaka post 2,na huyu muhitimu hana taaluma zingine.

Hitimisho ni kusomea fani zenye maitaji,kuongeza juhudi katika kusoma na la mwisho kujitahidi kujuana na watu maana hujui yupi atakusaidia.Nawasilisha.
 
sababu kuu zinazopelekea watu kusugua bench nitazielezea kwa makundi kama ifuatavyo;

1.mfumo mpya wa kuajiri uliongia Tanzania,kwa mfumo huu wa KAMLETE umesababisha vijana wengi kumaliza chuo na kukaa nyumbani huku taaluma zao zikizidi kufifia,hili limekuwa jambo la kawaida sana.Kama hauna mtu wa kukushika mkono basi hapo inategemea na ukali wa nyota ila sio uwezo kabisa utakao kupa ajira.

2.kiwango cha ufaulu wa muhitimu,hapa naongelea GPA,mtu akiwa amepata GPA kubwa anakuwa na nafasi pana katika mchakato wa ajira maana anaweza kupata fursa hata ya kufundisha chuo na vipaumbele vingine vingi.Ila yule aliye pata gpa ya kawaida anakuwa katika hatari kubwa ya kukosa kazi.

3.Course aliyoisomea chuoni,hapa ndio kuna tatizo kubwa,unakuta mtu anachagua course pasipo kufanya tafiti za kutosha juu ya mahitaji ya hiyo course kwenye soko la ajira,kuna course zingine zinaitajiwa na makampuni machache tu na hayo makampuni ajira yanatoa finyu may be kwa mwaka post 2,na huyu muhitimu hana taaluma zingine.

Hitimisho ni kusomea fani zenye maitaji,kuongeza juhudi katika kusoma na la mwisho kujitahidi kujuana na watu maana hujui yupi atakusaidia.Nawasilisha.

unakuta mtu anasoma archeology,political sciance au co-operative,cjui huyo mtu anakuwa na mpango gan na maisha yake?
 
Hivi kumbe watu huwa wanasoma ili waje kuajiriwa na wala siyo kutumia elimu yao kujiajiri wenyewe?
kumbe watu wanategemea Kikwete awatafutie ajira baada ya wao kumaliza chuo?
 
kuchagua course kuna matter sana,bora mtu usome education,ajira nje nje!kama sio u daktari!huku tunakoelekea ma bek 3 majumban watakua ma graduate!lets wait n see
 
Hivi kumbe watu huwa wanasoma ili waje kuajiriwa na wala siyo kutumia elimu yao kujiajiri wenyewe?
kumbe watu wanategemea Kikwete awatafutie ajira baada ya wao kumaliza chuo?

Wengi wao wanahitimu hawana mtaji so ataji ajiri kivipi?NDIO MAANA TUNATEGEMEA AJIRA ALAFU KUJIAJIRI NDO KUNAFWATA.sio kama hawajui hilo swala la kujiajiri.
 
Wengi wao wanahitimu hawana mtaji so ataji ajiri kivipi?NDIO MAANA TUNATEGEMEA AJIRA ALAFU KUJIAJIRI NDO KUNAFWATA.sio kama hawajui hilo swala la kujiajiri.
Hebu soma hii comment ya huyu mwenye Diploma hapa. Watu kama hawa nao pia wanalalamikia ugumu wa ajira?
hahaha bora nicheke,mwenzio nimemaliza diploma ya electonics & talecom engineering mwezi wa nne sasa kila sehemu ukienda kazi hamna sasa nampango wa kufanya kazi yeyote hata kuuza duka tu ntauza.ha ha ha ha hi ndo bongo ndugu
mi nilijua fani ya engineering ningepona kumbe nilipata tabu bure tu kusoma mambo magumu tu,dah ndo ishakula kwangu
 
Wengi wao wanahitimu hawana mtaji so ataji ajiri kivipi?NDIO MAANA TUNATEGEMEA AJIRA ALAFU KUJIAJIRI NDO KUNAFWATA.sio kama hawajui hilo swala la kujiajiri.

jamaa anadhani watu tunapenda kuajiriwa,Ila naamini kila graduate anamalengo ya kujiajiri ila kama ulivyosema tatizo ni mitaji,Na kuthibitisha hilo hemu ajaribu kuangalia hadha na taabu ya walioajiriwa na wengi wao walioko maofisini sanasana mabenki wanaacha kazi kwa kutumiwa na ofisi effectively while there salary vanish over nothing.There jobs get them no where.
 
sababu kuu zinazopelekea watu kusugua bench nitazielezea kwa makundi kama ifuatavyo;

1.mfumo mpya wa kuajiri uliongia Tanzania,kwa mfumo huu wa KAMLETE umesababisha vijana wengi kumaliza chuo na kukaa nyumbani huku taaluma zao zikizidi kufifia,hili limekuwa jambo la kawaida sana.Kama hauna mtu wa kukushika mkono basi hapo inategemea na ukali wa nyota ila sio uwezo kabisa utakao kupa ajira.

2.kiwango cha ufaulu wa muhitimu,hapa naongelea GPA,mtu akiwa amepata GPA kubwa anakuwa na nafasi pana katika mchakato wa ajira maana anaweza kupata fursa hata ya kufundisha chuo na vipaumbele vingine vingi.Ila yule aliye pata gpa ya kawaida anakuwa katika hatari kubwa ya kukosa kazi.

3.Course aliyoisomea chuoni,hapa ndio kuna tatizo kubwa,unakuta mtu anachagua course pasipo kufanya tafiti za kutosha juu ya mahitaji ya hiyo course kwenye soko la ajira,kuna course zingine zinaitajiwa na makampuni machache tu na hayo makampuni ajira yanatoa finyu may be kwa mwaka post 2,na huyu muhitimu hana taaluma zingine.

Hitimisho ni kusomea fani zenye maitaji,kuongeza juhudi katika kusoma na la mwisho kujitahidi kujuana na watu maana hujui yupi atakusaidia.Nawasilisha.

nashukuru sana HAMY D.. Nimekuelewa vizuri.
 
unakuta mtu anasoma archeology,political sciance au co-operative,cjui huyo mtu anakuwa na mpango gan na maisha yake?

Hapo umenigusa maana mimi nipo Archaeology...nimeichagua kwa sababu kuu...nina mtu wa kunipa shavu, ninapenda mambo ya utalii, ninaipenda Archaeology, Ina wasomi wachache hapa Tanzania, Udsm wahitimu wa Archaeology hawazidi 50 kwa mwaka.

Hebu kuwa kama msomi.. Usikariri tu, wapo watu kibao wametoka...so unataka watu wasizisome? Kutoka inategemeana na bahati ya mtu. Kwani hakuna watu waliosoma B.Com, Engineering, Law, halafu wapo kitaa?
 
Hapo umenigusa maana mimi nipo Archaeology...nimeichagua kwa sababu kuu...nina mtu wa kunipa shavu, ninapenda mambo ya utalii, ninaipenda Archaeology, Ina wasomi wachache hapa Tanzania, Udsm wahitimu wa Archaeology hawazidi 50 kwa mwaka.

Hebu kuwa kama msomi.. Usikariri tu, wapo watu kibao wametoka...so unataka watu wasizisome? Kutoka inategemeana na bahati ya mtu. Kwani hakuna watu waliosoma B.Com, Engineering, Law, halafu wapo kitaa?
siku hizi kazi za kuajiliwa zinategemea mambo kadhaa kama haya:
1.bahati ya mtu.
2.ufaulu wa mtu.
3.uhitaji wa kozi uliyosoma.
4.kujuana.
zaidi ya hapo mkuu utasugua benchi sana mikuna ndugu yangu kamaliza degrii ya computer sayanyi ila bado yuko kitaa!
 
siku hizi kazi za kuajiliwa zinategemea mambo kadhaa kama haya:
1.bahati ya mtu.
2.ufaulu wa mtu.
3.uhitaji wa kozi uliyosoma.
4.kujuana.
zaidi ya hapo mkuu utasugua benchi sana mikuna ndugu yangu kamaliza degrii ya computer sayanyi ila bado yuko kitaa!

mwache ajipe moyo tu.
 
siku hizi kazi za kuajiliwa zinategemea mambo kadhaa kama haya:
1.bahati ya mtu.
2.ufaulu wa mtu.
3.uhitaji wa kozi uliyosoma.
4.kujuana.
zaidi ya hapo mkuu utasugua benchi sana mikuna ndugu yangu kamaliza degrii ya computer sayanyi ila bado yuko kitaa!

kaka acha tu wala usiandike course maana kuna raia hawajui kazi kubishana na ukweli,walimu tu mpaka leo hawajaajiriwa wako kitaa,Hiyo cos(computer science) yani ndio kushney maana mahitaji ya soko na raia wenye vibachelor hayana uwiano hata kidogo,kuna mchizi yupo hapa kitaa na upper second yake ya cos hapo udsm anafanya project ila kaapply mpaka aliye kuwa anamuuzia bahasha kwa ajiri ya kuweka cv amenunua pikipiki kwa ela za mchizi maana kilikuwa kibanda kidogo kwa ajiri ya kuuza vibahasha na pipi.
 
soko huria na kubinafsiha kila kitu kunachangia graduate wengi kukosa job. we fikiria nimeenda kampuni moja ya simu nikakuta wamejaa wachina tupu zaidi ya 150, wabongo wapo wawili mlinzi na mfagiaji. sera za magamba zinatumaliza huwezi kuniambia kwamba hakuna mbongo anaefiti kwenye hizo nafasi mpaka ukajaza wachina. tusomeni tu lakini!!!!!!!!!!!!
 
siku hizi kazi za kuajiliwa zinategemea mambo kadhaa kama haya:
1.bahati ya mtu.
2.ufaulu wa mtu.
3.uhitaji wa kozi uliyosoma.
4.kujuana.
zaidi ya hapo mkuu utasugua benchi sana mikuna ndugu yangu kamaliza degrii ya computer sayanyi ila bado yuko kitaa!

kweli kabisa, but kwani kuna wasomi wengi wa Archaeology hapa Tanzania?
Nasikia watu wa ICT wapo kibao.
 
Back
Top Bottom