Baba Dorcas
Member
- Jan 15, 2012
- 83
- 5
Ndugu wadau mlioko jikoni, naomba kuuliza ni kwa nini hamjawapangia vituo walimu waliomaliza shahada ya Elimu katika Chuo Kikuu Cha Tumaini tawi la Makumira? Nimejaribu kufungua files zote hakuna mwanachuo aliyemaliza makumira kapangiwa kituo. In short hakuna jina la Makumira kwenye orodha ya vyuo. Kulikoni Moevt pamoja na wizara ya Ajira mna mpango gani na vijana hawa???? Au ni wenge langu la kutokujua kutumia mtandao?