Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

Bora mkuu umetoa facts kwa hawa vijana. Wanagombania chuo gani zaidi...teh teh teh! Wakati kila training inaandaa mtu kwa ajiri ya kazi maalumu na sio kufanya kila kitu kama mnavyotaka tuamini hapa. Kwenye design na consultancy, UDSM wako njema sana. Ila kule kwenye kufunga na kufungua DIT wako well organized. Na ndio sababu ya kuwa na vyuo hivyo viwili. Isipokuwa wanatakiwa kujua ni lazima washirikiane ili kusaidia walengwa bila mizengwe...wao wanatafuta nani bora zaidi. Duuuh

mkuu ambaye hajaelewa hapo kwenye red ana matatizo
UDSM wanafundishwa kufikiri wakati hao DIT wanafundishwa kuwa mafundi...hata hawawezi kufanana.
 
Kuna watu kusoma UDSM tu wanajiona kuwa so special. Sijui mngekuwa M.I.T na Havard. Acheni ukiritimba. Kueni kifikra mnafikia kuwaita Vilaza ambao hawasomi Udsm.
 
ha ha ha. DIT mnajidanyanya. ni practical gani zinazowafanya muwe juu. Kwanza DIT hamproduce real engineers.

UDSM tupewa Bachelor of science in engineeering while in dit bachelor of engineering . hivi ni vitu viwili tofauti. Our

carriculum is heavy and practical. Tukizungumzia lab kubwa kabisa tanzania ni hizi:

-MECHANICAL LAB- namba moja ni udsm( kila testing ya meh.equipment nchi hii inafanyika pale na wanafunzi kwa

kiasi kikubwa wanafanya hizo.) hakuna kiwanda wala institution yenye lab kubwa kuliko hizi nchi hii

-ELECTRICAL LAB - HIGH VOLTAGE LAB( UDSM ranked number 1 in east africa)
-ELECTRICAL MACHINES LAB(Number 1 in TZ)
-POWER ELECTRONICS LAB( Number one in TZ
)

-CHEMICAL ENGINEERING LAB- kwa tanzania hii ndo maabara ya kuaminika, kabla ya kuletwa maabara ya mkemia mkuu, majaribio yote NCHI HII yalifanyika UDSM.Na hizi ni kwa ajili ya wanafunzi na matumizi ya ndani ya nchi

-CIVIL ENGINEERING LAB- udongo WA kila barabara unayotembea we kilaza wa DIT unapimwa kwenye lab hii.

-ELECTRONICS LAB- ( NUMBER 1 IN ALL INSTITUTION IN THIS COUNTRY)

-COMPUTER LAB- NI OVIASI HAKUNA CHUO HAPA TANZANIA CHENYE COMPUTER NYINGI KUZIDI UDSM
.
NISIWAANDIKIE GAZETI- IN PRACTICAL SENSE NO OTHER INSTITUTION HAVE QUALITY LABS AND EQUIPMENT THAN UDSM.
kusoma ramani its not a technical aspect- UDSM IS THE CORE OF TECHNOLOGY IN THIS COUNTRY
Baada ya kutaja ma-LAB yote hayo, hebu nifagilie mimi niliyepita kwenye hayo ma-LAB ya UDSM, na FTC halafu nilitokea TECHNICAL SCHOOL. TATIZO LA MLIO WENGI HUMU MNA INFERIORITY COMPLEX......... YAANI SHULE YAKO IKITAJWA KWA UDHAIFU BASI UNAKUJA JUU KAMA MOTO WA KIFUU
 
Kuna watu kusoma UDSM tu wanajiona kuwa so special. Sijui mngekuwa M.I.T na Havard. Acheni ukiritimba. Kueni kifikra mnafikia kuwaita Vilaza ambao hawasomi Udsm.

mkuu kama ni vilaza kwanini wasiitwe vilaza? Hivi mtu smart anaweza leta mada chovu kama hii? Inaaminika na nani na toka lini? Huko DIT inaonekana wanambwela tu sasa katika kujifariji ndiyo wanakuja na vitu ambavyo hata havina mashiko.
 
mkuu kama ni vilaza kwanini wasiitwe vilaza? Hivi mtu smart anaweza leta mada chovu kama hii? Inaaminika na nani na toka lini? Huko DIT inaonekana wanambwela tu sasa katika kujifariji ndiyo wanakuja na vitu ambavyo hata havina mashiko.

i
Ukweli wanaujua waajiri, UDSM mnameza(Mnakariri) inafahamika kote.
Kama unadhani Jina na hadhi ya chuo vitaku-favour sahau kuhusu hilo. Anza kutafuta Alternative. Msiwatishe madogo wanaoenda kuanza degree kwenye vyuo hivi.
 
Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika wao kwa theory ni noma. Hili pia limethibitishwa na mwanafunzi wa UDSM aliyewahi kukutana field na wanafunzi wa D.I.T na alikiri kuona utofauti mkubwa. Unakubaliana na hili?

Ma GEOTECH wa MRI ndio MFUNIKO WA ZEGE.

Uliza utajuzwa!
 
jamani haya mambo mengine hayana tija kuyajadili.ukweli upo palepale mtu aliyehitimu chuo kikuu kama UDSM huwezi mlinganisha na hao wengine.tofauti ni kubwa sana.kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.
 
kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.


jamani hawa ndo wanafunzi wa Udsm, yaani VICHWA, Kweli hamjisomi kaka zetu.
Una uhakika wanafunzi wa Ud wanarekodi nzuri? Ni rekodi ipi unayoi consider kuwa nzuri? Wanafunzi wa degree wa DIT wana rekodi ipi mbaya? jIPANGE!
 
hahaha! napita tu hapa! ... JF kuna ligi mbazo ni ngumu kidogo ... ccm vs pro cdm nyerere worshipers vs anti nyerere UDSM vs Others!
 
jamani haya mambo mengine hayana tija kuyajadili.ukweli upo palepale mtu aliyehitimu chuo kikuu kama UDSM huwezi mlinganisha na hao wengine.tofauti ni kubwa sana.kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.

Hata mimi niliyebahatika kuiba mitihani ya taifa kuanzia darasa la saba,form four hadi form six baadaye nikajiunga na chuo kikuu ukifuatilia academic record zangu toka nazaliwa utagundua ni nzuri tu.
 
jamani haya mambo mengine hayana tija kuyajadili.ukweli upo palepale mtu aliyehitimu chuo kikuu kama UDSM huwezi mlinganisha na hao wengine.tofauti ni kubwa sana.kwanza wa UDSM hata ukifatilia academic record yake toka anazaliwa itakua ni nzuri tu na ndomana akaweza kuchaguliwa huko.

pole sana kijana. kumbuka chuo unaanza safari yaukweli hizo academic za nyuma weka kwenye kikapu kwanza, halafu jua " higher payable engineer ni yule mwenye uzoefu(experience).
Matokeo ya secondary yanaonesha "how u care other subjects you take them" na sikuzote kumbuka o level ni level ya mother language ya course na advance ni preparation and building mind before starting a course. Iweje ujisifu umakini wakat miezi 6 hujangusa ki2.
Ndio maana unajiona ukifaulu advnc it was just a begin. Kumbuka last exam sio kipimo tosha ndio maana chuo kuna GPA inayo hesabiwa toka 1st year nasio ule mtihani wamwisho.
 
Wa2 wa ud maneno mengi sana ooh mi nasoma chuo kikongwe hayo yote ya nini wa2 wanataka production na c maneno kibao oooo mi nasoma bach of science in eng na mwingne bach of engineering in - ni vi2 viwili tofaut sana kama kuna m2 aweze kutofautisha ndo 2tajua kipi ni chuo bora in engineering.
Afu pia ud msijione nyie ndo mabingwa wa kila ki2 kwani ha2po miaka ya 40 iv sasa ha2amini maneno ya umbea
afu mi mnaniuzi sana ud ud na vyuo vingne wajiite vipi au ndo Sant Sant Joseph
 
binafsi nawafahamu jamaa zangu kama watano waliodisko UDSM.hawa wote walienda kusoma huko DIT na wakafanikiwa kumaliza.cha kushangaza sijawahi kuona mtu anadisko DIT then akapata admission UDSM.hii ni sawasawa na kwa wenzetu madaktari.huwezi linganisha daktari aliyehitimu muhimbili medicine na clinical officer au assistant medical officer ambao mtaani pia wanaitwa madaktari.tubadilike kimawazo jamani.tuondokane na mawazo mgando.
 
binafsi nawafahamu jamaa zangu kama watano waliodisko UDSM.hawa wote walienda kusoma huko DIT na wakafanikiwa kumaliza.cha kushangaza sijawahi kuona mtu anadisko DIT then akapata admission UDSM.hii ni sawasawa na kwa wenzetu madaktari.huwezi linganisha daktari aliyehitimu muhimbili medicine na clinical officer au assistant medical officer ambao mtaani pia wanaitwa madaktari.tubadilike kimawazo jamani.tuondokane na mawazo mgando.

Hii inaprove wazi kwamba wanafunzi walio UDSM ni vilaza na wanabweteka hivyo wakipewa nafasi kujumuika na wanaojua then wanasoma kweli, so jifunze kutokana na hao wenzio waliodiscko
 
hayo ni mawazo ya kufikirika tu kuwa fit katika practical inategemea na mtu mwenyewe atakavyojitune katika field anayochukuwa iwapo hata tilia maanani atatoka kapa
 
Back
Top Bottom