Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Matunda ya wizi wa mitihani sasa yanaanza kulipa.Mtakumbuka kuwa wahitimu wetu katika level mbalimbali wamekuwa wakiibuka kufaulu kwa kuiba mitihani, maana yake uwezo wao wa kujenga hoja za kitaalam unakuwa finyu matokeo yake wanatimiza majukumu yao kwa njia ya udanganyifu kama wao walivyofaulu.Matunda haya yatarigharimu sana taifa kwani tayari hata sector zingine ujinga kama huu umeanza kujitokeza.Niwakumbushe wana JF kuwa mwaka juzi kuna Doctor muhimbili alimfanyia mgonjwa wa kichwa operation ya goti na mgonjwa wa goti akafanyiwa operation ya kichwa.Maajabu kweli kweli, kwa uongo huu tutaweza hata ku-compete kwenye jumuiya ya A.Mashariki.
Tusubiri tuone
Tusubiri tuone