Joachim Morgan
Member
- Sep 21, 2011
- 58
- 15
Ukweli upo ambao hauitaji itikadi kuhuelewa. Je, mbona mwanzoni hatukuwaona wakiunga mkono vyama vya upinzani. Tatizo letu sisi ngozi nyeusi kila kitu tunadhani ni siasa tu. Unadhani huyo jamaa hana ambaye ni mfanyabiashara hanatoa pesa bila kuwa na malengo.
Hebu hangalia kwenye suala la kujaza dodoso la NHC halivyokuwa mkali ilihali hayo maswali tuliyajibu tulipokuwa tunaomba mkopo HESLB na hakuna haliyesema ni ya kibaguzi ila wao.
Hebu hangalia kwenye suala la kujaza dodoso la NHC halivyokuwa mkali ilihali hayo maswali tuliyajibu tulipokuwa tunaomba mkopo HESLB na hakuna haliyesema ni ya kibaguzi ila wao.