rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu kuna taarifa tumezipata muda si mrefu,Wahindi wanamtumia yule Mzee anaitwa Sabodo kutoa misaada ya hela ili kujivuta karibu na Chadema kwa sababu wameona dalili za Watanzania kuwapa Chadema madaraka siku zijazo.
Wahindi ambao wengi wao hawapendwi na Watanzania waliamua kumpa jukumu hilo Sabodo eti kwa sababu yeye ndiye msafi kuliko Wahindi wote
kilichowafanya kuchukua uamuzi huo ni woga iwapo Chadema itachukua madaraka future yao haionekani,wanachofanya ni kuwaweka Chadema sawa ili wakichukuwa madaraka waendelee na uhusiano kama walio na kwa ccm.
swali letu kwa chadema je mnalijua hilo?
kama mnalijua je ni sawa kuendelea kupokea hela za hawa wahindi?
je kesho mkikamata madaraka mtaweza kweli kupambana na rushwa na uovu unaofanywa na hawa wahindi?
Wahindi ambao wengi wao hawapendwi na Watanzania waliamua kumpa jukumu hilo Sabodo eti kwa sababu yeye ndiye msafi kuliko Wahindi wote
kilichowafanya kuchukua uamuzi huo ni woga iwapo Chadema itachukua madaraka future yao haionekani,wanachofanya ni kuwaweka Chadema sawa ili wakichukuwa madaraka waendelee na uhusiano kama walio na kwa ccm.
swali letu kwa chadema je mnalijua hilo?
kama mnalijua je ni sawa kuendelea kupokea hela za hawa wahindi?
je kesho mkikamata madaraka mtaweza kweli kupambana na rushwa na uovu unaofanywa na hawa wahindi?