Habari zako za kinafik nafik. Hao wahindi hizo pesa walizitowa wapi? Au wao wanauwezo wa kuzitafuta zaidi yako? Majumba ya Upanga yalijengwa na wahindi na yakadhulumiwa na nyerere na wapangaji ambao si wahindi huziuza kwa shida zao za pesa.
Au hujui kuwa wengi wetu hata tukifiwa Dar basi hata kama kuuza flat tutauza ili tusafirishe maiti Kilimanjaro au Kagera au Mbeya? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukiwa na kipaimara basi hata flat tutauza ili tukifanye cha nguvu? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukimcheza mwari tutauza hata flat?
Ujinga wetu ndio maradhi yetu.
Wahindi ni wachapa kazi, wametoka walikotoka wakaanza kuuza bajia, chachamawa, kachori lakini tazama baada ya muda wako wapi? Na hausikii wanamcheza mtoto, wanakipaimara, wana harusi za kifahari, wana maziko ya kuleweshana. Wao kazi, kazi, kazi. Ndio maana unawaona wao ndio wana mafanikio. Wahindi huanza kula maraha wakishajijenga kimaisha na si kabla.
Tusitake kuwalaumu wahindi kwa uzembe wetu.
Msechu ni mtu mwenye mshikamano na wahindi toka anafanya kazi bank , kwa hiyo mara alipokabidhiwa NHC basi ni wakati wake wa kulipa fadhila kwa wahindi jinsi walivyokuwa nae toka zamani. Huyu mtu badala ya kupandisha kodi ya nyumba za UPANGA yeye anaziuza. cha msingi ilikuwa kuzipandisha nyumba hizi bei ili shirika lipate fedha nyingi
Hivi hawa wahindi wanatutafuta nini?
Ubaya ni kwamba wanawatumia watanzania wenye uroho wa fedha kutuhujumu.
Yani daktari wa muhimbili anaishi kiluvya wakati muhindi ananing'iniza miguu na kula pariki pale upanga,halafu tunajiuliza vifo vya kina mama na watoto vitapungua vipi.
Nchi hii?!!
ukiangalia vizuri serikali inaendeshwa na kodi zetulakini mkuu tukiangalia upande wapili wa shilingi zile nyumba nyingi utaona zemejengwa miaka ya 50`s kwa juu ina ajina.. zilikuwa za kwao kabla nyerere hajawapokonya ..
Wewe ni nani alikukataza kuishi katikati ya jiji? Au gharama zimekushinda?
Habari zako za kinafik nafik. Hao wahindi hizo pesa walizitowa wapi? Au wao wanauwezo wa kuzitafuta zaidi yako? Majumba ya Upanga yalijengwa na wahindi na yakadhulumiwa na nyerere na wapangaji ambao si wahindi huziuza kwa shida zao za pesa.
Au hujui kuwa wengi wetu hata tukifiwa Dar basi hata kama kuuza flat tutauza ili tusafirishe maiti Kilimanjaro au Kagera au Mbeya? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukiwa na kipaimara basi hata flat tutauza ili tukifanye cha nguvu? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukimcheza mwari tutauza hata flat?
Ujinga wetu ndio maradhi yetu.
Wahindi ni wachapa kazi, wametoka walikotoka wakaanza kuuza bajia, chachamawa, kachori lakini tazama baada ya muda wako wapi? Na hausikii wanamcheza mtoto, wanakipaimara, wana harusi za kifahari, wana maziko ya kuleweshana. Wao kazi, kazi, kazi. Ndio maana unawaona wao ndio wana mafanikio. Wahindi huanza kula maraha wakishajijenga kimaisha na si kabla.
Tusitake kuwalaumu wahindi kwa uzembe wetu.
FaizaFoxy said:Wahindi ni wachapa kazi, wametoka walikotoka wakaanza kuuza bajia, chachamawa, kachori lakini tazama baada ya muda wako wapi? Na hausikii wanamcheza mtoto, wanakipaimara, wana harusi za kifahari, wana maziko ya kuleweshana. Wao kazi, kazi, kazi. Ndio maana unawaona wao ndio wana mafanikio. Wahindi huanza kula maraha wakishajijenga kimaisha na si kabla.
Msechu ni mtu mwenye mshikamano na wahindi toka anafanya kazi bank , kwa hiyo mara alipokabidhiwa NHC basi ni wakati wake wa kulipa fadhila kwa wahindi jinsi walivyokuwa nae toka zamani. Huyu mtu badala ya kupandisha kodi ya nyumba za UPANGA yeye anaziuza. cha msingi ilikuwa kuzipandisha nyumba hizi bei ili shirika lipate fedha nyingi
FaizaFoxy,
..ulioleza ni kweli, but not the whole story.
..mafanikio ya kibiashara kwa kiasi fulani yanachangiwa na muendelezo wa colonial legacy.
..wakati wa ukoloni kulikuwa na sheria ya kuwazuia wazawa/native kupata mikopo kwenye mabenki au mahali popote.
..sheria ilikuwa inaelekeza kwamba ukimkopesha mzawa na akashindwa kulipa basi sheria haitakusaidia kwasababu mzawa/native ni mtu dhalili asiyekuwa na umakini kulingana na sheria za wakati huo.
..kwa msingi huo wakati wa ukoloni Mzungu alikuwa ni mtawala, Mhindi na Muarabu wakaachiwa watambe kwenye biashara, na sisi wazawa tukabakia kuhangaika kutafuta kodi ya kichwa na kuishi kwa kuchumia tumbo.
..in 1967, miaka 6 baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere alileta azimio la Arusha ambalo naweza kusema lilikuwa pigo lingine kwa mzawa yeyote yule aliyejaribu kujiingiza ktk shughuli za biashara.
..kuna mambo ya KIHISTORIA na KISOSHOLOJIA ambayo inabidi kuyaangalia ili kuweza kuelewa kwanini WAZAWA tumeachwa nyuma ktk umiliki wa BIASHARA kubwakubwa.
mimi ninaishi katikati ya mji,mdogo wangu anaishi msoga umeshawahi kuona muhindi anayeishi msoga au kijiji kinachofanana nacho?ukienda longido kuna wazungu,hawa wahindi wamerundikana upanga tu.
kama walinyanganywa mbona mpaka leo wapo?
kama ni wachapa kazi si wangetusaidia sana na hii sera yetu ya kilimo kwanza?waende vijijini wakejenge uchumi, upanga wawaachie watumishi wa umma kama madaktari na watumishi wa wizara.
Mchapakazi hanenepi kama walivyo wahindi acha dhihaka wewe!
Habari zako za kinafik nafik.
Au hujui kuwa wengi wetu hata tukifiwa Dar basi hata kama kuuza flat tutauza ili tusafirishe maiti Kilimanjaro au Kagera au Mbeya? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukiwa na kipaimara basi hata flat tutauza ili tukifanye cha nguvu? Au hujuwi kuwa wengi wetu tukimcheza mwari tutauza hata flat?
Wahindi ni wachapa kazi, wametoka walikotoka wakaanza kuuza bajia, chachamawa, kachori lakini tazama baada ya muda wako wapi?
Ujinga wetu ndio maradhi yetu.
Tusitake kuwalaumu wahindi kwa uzembe wetu.